Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe kweli kiazi unafatilia kesi au unabwabwajwa tu jamaa kasema alidukua Telegram na watsapp we unabishaAsante,hapo nimekuelewa,nadhani mawazo yako yanafanana na nilichosema huko juu,kwamba labda walimpokonya simu wakaona hayo mawasiliano na sio kudukua
Yani policeccm ni genge la wapumbavu na wajinga,hacker mwenyewe zero brainShahidi wa Jana wa jamuhuri kwenye kesi ya Mbowe, alisema aliweza ku-hack Telegram ya Mweshimiwa Mbowe na Kina Urio.
Kupitia ku-hack Telegram aliweza kusoma meseji za Mbowe na kuona wanavyopanga ugaid...
Alipelekewa simu nane na za Mbowe zikiwa humoAsante,hapo nimekuelewa,nadhani mawazo yako yanafanana na nilichosema huko juu,kwamba labda walimpokonya simu wakaona hayo mawasiliano na sio kudukua
Chadema mnahangangaika na vipande vipande vya ushahidi.Shahidi wa Jana wa jamuhuri kwenye kesi ya Mbowe, alisema aliweza ku-hack Telegram ya Mweshimiwa Mbowe na Kina Urio.
...
Hacking huijui wewe.Shahidi wa Jana wa jamuhuri kwenye kesi ya Mbowe, alisema aliweza ku-hack Telegram ya Mweshimiwa Mbowe na Kina Urio.
Kupitia ku-hack Telegram aliweza kusoma meseji za Mbowe na kuona wanavyopanga ugaidi.
Toka kuanzishwa kwa Telegram hakuna binadamu yeyote ashawahi hack- Telegram, serikali ya urusi ilijaribu ikashindwa, Google walijaribu wakashindwa.
So huyu Mtanzania mwenzetu aliyeweza ku-hack Telegram ya Mbowe ndo mtu wa kwanza duniani kufanya hivyo.
View attachment 2087557View attachment 2087558