Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Panya Magawa ana thamani kuliko huyu fisadi anaehamasisha ufisadi kwenye serikali yake.Ngoja waje Bavicha!
Mbona panya magawa anategua mabomu.......rip panya wa kwanza!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Panya Magawa ana thamani kuliko huyu fisadi anaehamasisha ufisadi kwenye serikali yake.Ngoja waje Bavicha!
Mbona panya magawa anategua mabomu.......rip panya wa kwanza!
Ulikua unataka kujua au kubishana?Acha kubishi zwazwa
mimi nikiwa nakutumia msg watsap , Twitter au telegram ... mtu wa tatu ( third part) ni ngumu ama haiwezekani kuona hayo mazungumzo ... angalia huu mfano nikikutumia msg ya kawaida mtu mwingine ambaye sio mimi wala huyo niliyemtumia ( third part) anaweza kuona hiyo msg mfano hao waliotoa ushahidi mtoa huduma kama Tigo ...Hebu tufafanulie hapa unamaanisha nini kwamba alikuwa na kifaa husika?
Mimi nikichukua simu yako nikaangalia msg zako unaweza kuniita upande wa tatu ...hacking ambayo ni ngumu nikuangalia nikiwa sina simu yako lakini nikiipata hiyo ni case nyingine chief tena simu zenyewe ulizisikia ni Tecno , Itel , bundy ni sekunde tu hata ikiwa na passwordKivip haiwezakani kabisa kwa hivo hapo kuna uongo mkubwa
NASA hawadeal na hayo labda NSAApelekwe NASA haraka huyo ni Genius kabisa
Sasa hapo kahack au kasoma toka kwenye simu? Hivyo kadanganya kuwa alihack hafai kuaminikamimi nikiwa nakutumia msg watsap , Twitter au telegram ... mtu wa tatu ( third part) ni ngumu ama haiwezekani kuona hayo mazungumzo ... angalia huu mfano nikikutumia msg ya kawaida mtu mwingine ambaye sio mimi wala huyo niliyemtumia ( third part) anaweza kuona hiyo msg mfano hao waliotoa ushahidi mtoa huduma kama Tigo ... lakini ukitumia telegram au watsap na mitandao yenye kaliba moja na hii ...Ni ngumu na mara nyingine haiwezekani , sasa alichofanya huyo askari ni kwamba aliletewa simu za washtakiwa kwa hiyo hapa hawi-third part maana anachofanya ni-retrieving na unaweza ukute hata msg zenyewe hawakuzifuta ...sijui umeelewa chief
Mbona hawakukataa ushahidi wakaacha UPOKELEWE ... unadhani wewe na jopo la mawakili wa utetezi nani KIAZIMjinga Sana huyo mtu
Yeye alisema ali-hackMimi nikichukua simu yako nikaangalia msg zako unaweza kuniita upande wa tatu ...hacking ambayo ni ngumu nikuangalia nikiwa sina simu yako lakini nikiipata hiyo ni case nyingine chief tena simu zenyewe ulizisikia ni Tecno , Itel , bundy ni sekunde tu hata ikiwa na password
HaaaaaPanya Magawa ana thamani kuliko huyu fisadi anaehamasisha ufisadi kwenye serikali yake.
View attachment 2087576
Usiendeleze udhaifu wetu wa kudanganywa tutendee haki basi em wewe usiyependa kudanganya tuwekee link hapa inayosema Urusi ilishawahi kuidukua telegram.Tatizo mnadanganywa sana, urusi ishindwe kuhack telegram?
Control your ego... na uwe tayari kujifunza, wamepokea ushahidi kwa sababu ni waki-science hakuna blah blah wao wameona wakashindane kwenye content ya ushahidi lakini si jinsi ulivyopatikanaKwani kwa ushaidi wa wapumbavu mbona wanaupokea tu
Simu sio yako na ume-compromise security system ya simu hiyo ni hacking alikua sahihiYeye alisema ali-hack
Jamaa ameelekeza vizuri.,lakini.bado.unaleta ujuajiYeye alisema ali-hack
Asante,hapo nimekuelewa,nadhani mawazo yako yanafanana na nilichosema huko juu,kwamba labda walimpokonya simu wakaona hayo mawasiliano na sio kudukuamimi nikiwa nakutumia msg watsap , Twitter au telegram ... mtu wa tatu ( third part) ni ngumu ama haiwezekani kuona hayo mazungumzo ... angalia huu mfano nikikutumia msg ya kawaida mtu mwingine ambaye sio mimi wala huyo niliyemtumia ( third part) anaweza kuona hiyo msg mfano hao waliotoa ushahidi mtoa huduma kama Tigo ... lakini ukitumia telegram au watsap na mitandao yenye kaliba moja na hii ...Ni ngumu na mara nyingine haiwezekani , sasa alichofanya huyo askari ni kwamba aliletewa simu za washtakiwa kwa hiyo hapa hawi-third part maana anachofanya ni-retrieving na unaweza ukute hata msg zenyewe hawakuzifuta ...sijui umeelewa chief
Ni mwendelezo tu wa askari wetu kuaibika kwa ujinga wao,hii itumiwe na upande wa utetezi km silahaShahidi wa Jana wa jamuhuri kwenye kesi ya Mbowe, alisema aliweza ku-hack Telegram ya Mweshimiwa Mbowe na Kina Urio.
Kupitia ku-hack Telegram aliweza kusoma meseji za Mbowe na kuona wanavyopanga ugaidi.
Toka kuanzishwa kwa Telegram hakuna binadamu yeyote ashawahi hack- Telegram, serikali ya urusi ilijaribu ikashindwa, Google walijaribu wakashindwa.
So huyu Mtanzania mwenzetu aliyeweza ku-hack Telegram ya Mbowe ndo mtu wa kwanza duniani kufanya hivyo.
View attachment 2087557View attachment 2087558
Mapenzi yakizidi ni ujinga unafuata. Jamaa anaamini ktk urusi kwamba hamna wanachoshindwaKwani Urusi ni maroboti mkuu?
Si binadamu kama wengine tu na vifaa watakavyotumia kudukulia ni vile vile ambavyo wadukuliwa wanavyo Sasa kinashindikana ni Nini hii Dunia Ina taasisi na kampuni zenye mfumo strong kuliko hata nchi hivyo usistaajabu!