Shahidi wa mwajiri agoma kutokea kwenye hearing

Ushahidi wa kuweka loudspeaker sijawahi kuusikia na mtu akiwa kwenye mapenzi unajuaje unakua unawachungulia au vipi? Kesi ndogo hiyo kata rufaa
Tena nilikuwa nimeshika karatasi ambayo nilikuwa nimeandika maswali yangu, nikaambiwa siruhusiwi kusoma. Swali langu je shahidi wa mwajiri anaangaliwa na nani huko aliko kama hasomi sehemu au hafundishwi. Pia nitajuaje kama ndiye yule dada au ni mtu mwingine?
 
Kama ni discipline hearing ndani ya taasisi uliyokua unafanya kazi kushinda hua ni ngumu, sababu kuu ni kwamba hawakutaki ila wanatengeneza mazingira tu kwamba ionekane umefukuzwa kihalali usiwasumbue huko mbele.

Kama unamda na nguvu nenda CMA tu.
 
Kama ni discipline hearing ndani ya taasisi uliyokua unafanya kazi kushinda hua ni ngumu, sababu kuu ni kwamba hawakutaki ila wanatengeneza mazingira tu kwamba ionekane umefukuzwa kihalali usiwasumbue huko mbele.

Kama unamda na nguvu nenda CMA tu.
Ahsante mkuu niko kwenye mchakato kwenda CMA
 
Nao
Uhamiaji walikuwa wanapewa taarifa wanakuja kisha wanaondoka, labda wanaingia nchini kihalali.
Naomba number ya HR ni mdinye kwa sababu wabongo tuna umizana sana makazini kisa wahindi na wakenya leta namba haraka
 
Miaka 20 unafanya kazi SEHEMU Moja ULIKUWA unatafuta URITHI mkuu

Nxtym usifanye kazi zaidi ya miaka 5 HATA kama wanatoa mzigoo mwisho wao haukogo MZURI mkuu take ma words

Mi nimekaa sana 7 nanyànyuka napambana kwingine 5 nanyanyuka nkapiga 6 SEHEMU nkaaga nkamaliza na kwingine 4 nkaingia uraiani kupambana na BODI haikuamini maana sikuwa kwenye mambo ya pesa huyu Nampa helà nzuri shida nn nkamwambiaa tu mkuu nahitaji changamoto ya mtaan wakaniomba miezi mitatu nisaidie anaepishana na mm nkamfundisha safi mwonyesha changamoto maisha yakaendaa...
 
Wahi CMA FASTA
HUYO N MSHENZI
HAKIKISHA UJAFIKISHA SIKU 61
IMEKULA KWAKO
UWE NA BARUA YA KUKUFUKUZW KAZI
 
Kufanya kazi kwa wahindi kazi
 
Wanaofanya kwa wahindi huwa wanapewa limbwata,niaka 20 bado uko junior position
 
Ndio hivyo mkuu nilikomaa kwenye hio kampuni wakanipandisha cheo. Mwanzo nilikuwa normal guard.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…