Shaidi wa Jamhuri kuingia na simu na notebook Kizimbani kwenye kesi ya Mbowe; umakini unaitajika kulinda taswira ya Mahakama

Shaidi wa Jamhuri kuingia na simu na notebook Kizimbani kwenye kesi ya Mbowe; umakini unaitajika kulinda taswira ya Mahakama

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,761
Reaction score
2,391
Huu NI mtego mkubwa Sana kwa Jamuhuli na Serikali na mihimili yake.

Nachojua kesi hii inatumika kuionesha dunia Jinsi Mahakama zetu zilivyo huru au hovyo.

Sijui kwanini Jaji hakutaka pande zote zijiridhishe kilichopo kwenye note book palepale. Na kuchengesha kuikagua cm kuwa NI privace ya muhusika. J, nini kinaweza kutokea baadae.

Je, mawakili wote wataamini kuwa vitu hivyo viko sehemu salama mpaka Jumatatu? Nasema hivyo sababu mpaka Sasa Kuna mvutano wa kielelezo kingine kilivyomfikia shaidi kutokea mahakamani.

Kuwepo na note book pekeyake na mwandishi yoyote Yale ata Kama yakisomwa hayataonesha uhusiano na kesi husika NI dosari kwani inawezekana shaidi kaandika na kuwasiliana kwa kutumia Lugha za kipekee(alama na ishara) anaweza akatumia neno yai kumaanisha sifuri au namna yoyote anavyojua kuweka kumbukumbu zake.

Simu Ina sehemu nyingi za kuwasiliana. Ata mtu anaweza sema nikibip tu sema sijui. Au namna yoyote ile.

Mi nadhani labda Jumatatu ije simu mbovu isiyo na laini yoyote na note book mpya isiyo na maandishi ili akinakibatala wabaki na hoja moja tu kutoamini sehemu vilipotunzwa vitu.

Ila makosa yanayofanywa na Jamhuri ni makubwa Sana.
 
Ni aibu kwa taifa kutumia resource pesa kuendesha kesi isiyo na msingi wowote na faida kitaifa uku taifa likikabiliwa na changamoto mbalimbali kama mfumuko wa bei,wananchi kukosa huduma muhimu za kijamii Kama elimu, maji, afya, ajira nk
 
itatolewa amri kila mtu aache simu nje akiingia mahakamani- ngoja mchelelee tu
 
Hawa vijana wa CHADEMA ni utumbo mtupu vichwani mwao! Hawa ni wazururaji tu hawana kazi za kufanya! Naomba watufutiwe majaruba kwani mvua zimeanza kunyesha na wasiendelee kuweka msongamano Mahakamani eti wanafuatilia kesi ya Mbowe!
Toka ameanza shule ya msingi hadi leo hili neno "jamuhuli" aliliona wapi?!!!
Eti " taswila"!!! ?? Utumbo mtupu!
 
Umeadika vizuri sana. Rekebisha zilivyo huru nadhani ulilenga kuandika zisivyo huru.

Umeandika excellently!
 
Hawa vijana wa CHADEMA ni utumbo mtupu vichwani mwao! Hawa ni wazururaji tu hawana kazi za kufanya! Naomba watufutiwe majaruba kwani mvua zimeanza kunyesha na wasiendelee kuweka msongamano Mahakamani eti wanafuatilia kesi ya Mbowe!
Toka ameanza shule ya msingi hadi leo hili neno "jamuhuli" aliliona wapi?!!!
Eti " taswila"!!! ?? Utumbo mtupu!
Wazazi tuna hasara, sasa na ewe wazazi wanasema tuna mtoto!
 
Hawa vijana wa CHADEMA ni utumbo mtupu vichwani mwao! Hawa ni wazururaji tu hawana kazi za kufanya! Naomba watufutiwe majaruba kwani mvua zimeanza kunyesha na wasiendelee kuweka msongamano Mahakamani eti wanafuatilia kesi ya Mbowe!
Toka ameanza shule ya msingi hadi leo hili neno "jamuhuli" aliliona wapi?!!!
Eti " taswila"!!! ?? Utumbo mtupu!
Kingai wewe.
 
Hawa vijana wa CHADEMA ni utumbo mtupu vichwani mwao! Hawa ni wazururaji tu hawana kazi za kufanya! Naomba watufutiwe majaruba kwani mvua zimeanza kunyesha na wasiendelee kuweka msongamano Mahakamani eti wanafuatilia kesi ya Mbowe!
Toka ameanza shule ya msingi hadi leo hili neno "jamuhuli" aliliona wapi?!!!
Eti " taswila"!!! ?? Utumbo mtupu!
Msingi wa Lugha yoyote NI kuwasiliana bila kuweka utata. Kama kosa limeadhili maana ya msingi sawa. Ila makosa ya uandishi au matamshi hayana maana yoyote kwa mtu mwelewa. Jikite kwenye hoja Madam
 
Msingi wa Lugha yoyote NI kuwasiliana bila kuweka utata. Kama kosa limeadhili maana ya msingi sawa. Ila makosa ya uandishi au matamshi hayana maana yoyote kwa mtu mwelewa. Jikite kwenye hoja Madam
Kyoma bita,Onshulile Agaba,Ninsiima,Neema,Hekima na Mugisha
 
Hawa vijana wa CHADEMA ni utumbo mtupu vichwani mwao! Hawa ni wazururaji tu hawana kazi za kufanya! Naomba watufutiwe majaruba kwani mvua zimeanza kunyesha na wasiendelee kuweka msongamano Mahakamani eti wanafuatilia kesi ya Mbowe!
Toka ameanza shule ya msingi hadi leo hili neno "jamuhuli" aliliona wapi?!!!
Eti " taswila"!!! ?? Utumbo mtupu!
Watu wapo USAID washauri wewe kula matobolwa usasele na mlenda upige ndoso...
 
Hii kesi siyo ya ugaidi.

Vinginevyo watu wote wangekuwa wanasachiwa!
Huwa nakuheshimu na uzuri hata wewe unajua nakuheshimu. Nakubaliana na wewe Kwa kiwango kikubwa maana binafsi nimewahi kuhoji yafuatayo;
1.Ni Upelelezi gani wa kusaka Gaidi aliyetoroka huku ukiambatana na Magaidi wenzie Kila mahali?
2.Ni usalama upi unajiridhisha nao Kwa afande Jumanne kumchukua Gaidi Ling'wenya na kuzunguka naye kutafuta chumba cha kuandikia maelezo Kwa zaidi ya SAA nzima huku Gaidi Huyo hajafungwa Pingu wala kamba?
3.Unamkamata Gaidi mwenye line tatu za simu zote zimesajiliwa Kwa majina yake halisi?
4.Hawa ni Magaidi watatu walioajiriwa na Mtu mmoja lakini Muda wote wako pamoja bila kuachana wakinywa na kusajili line mpya Kwa majina Yao halisi!
 
Hawa vijana wa CHADEMA ni utumbo mtupu vichwani mwao! Hawa ni wazururaji tu hawana kazi za kufanya! Naomba watufutiwe majaruba kwani mvua zimeanza kunyesha na wasiendelee kuweka msongamano Mahakamani eti wanafuatilia kesi ya Mbowe!
Toka ameanza shule ya msingi hadi leo hili neno "jamuhuli" aliliona wapi?!!!
Eti " taswila"!!! ?? Utumbo mtupu!
Wewe mbona imejiita Kalimanzila badala ya Kalumanzila? Tangu umeanza shule huko Buzebazeba uliwahi kusikia wapi Muha anaitwa Kalimanzila?
 
Back
Top Bottom