abulaaliyah77
JF-Expert Member
- Oct 13, 2021
- 1,750
- 1,158
Unamaanisha nn bwashee????
Hii kesi siyo ya ugaidi.
Vinginevyo watu wote wangekuwa wanasachiwa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kesi siyo ya ugaidi.
Vinginevyo watu wote wangekuwa wanasachiwa!
Kingai wewe.
Ila mbowe ni gaidi
Enta majnoon ya abuaaliya
Enta majnoon ya abuaaliya
Kwa nini?Ila mbowe ni gaidi
Lini?Yana mwisho...
Huu NI mtego mkubwa Sana kwa Jamuhuli na Serikali na mihimili yake.
Nachojua kesi hii inatumika kuionesha dunia Jinsi Mahakama zetu zilivyo huru au hovyo.
Sijui kwanini Jaji hakutaka pande zote zijiridhishe kilichopo kwenye note book palepale. Na kuchengesha kuikagua cm kuwa NI privace ya muhusika. J, nini kinaweza kutokea baadae.
Je, mawakili wote wataamini kuwa vitu hivyo viko sehemu salama mpaka Jumatatu? Nasema hivyo sababu mpaka Sasa Kuna mvutano wa kielelezo kingine kilivyomfikia shaidi kutokea mahakamani.
Kuwepo na note book pekeyake na mwandishi yoyote Yale ata Kama yakisomwa hayataonesha uhusiano na kesi husika NI dosari kwani inawezekana shaidi kaandika na kuwasiliana kwa kutumia Lugha za kipekee(alama na ishara) anaweza akatumia neno yai kumaanisha sifuri au namna yoyote anavyojua kuweka kumbukumbu zake.
Simu Ina sehemu nyingi za kuwasiliana. Ata mtu anaweza sema nikibip tu sema sijui. Au namna yoyote ile.
Mi nadhani labda Jumatatu ije simu mbovu isiyo na laini yoyote na note book mpya isiyo na maandishi ili akinakibatala wabaki na hoja moja tu kutoamini sehemu vilipotunzwa vitu.
Ila makosa yanayofanywa na Jamhuri ni makubwa Sana.
Kama ulikuwa na cm huwezi kusibitishwa kuwa huitumii!Pengine nisaidiwe wakuu, je huwa hairuhusiwi kwa shahidi kuwa na sim na notebook au chochot?? Hata Kama hakitumii??
itatolewa amri kila mtu aache simu nje akiingia mahakamani- ngoja mchelelee tu
We unajifanya mjuvi wa lugha, nawe pia umeandika utumbo kuwakilisha chama gani? Neno gani hili la kiswahili "watufutiwe". Acha ujinga jenga hoja.Hawa vijana wa CHADEMA ni utumbo mtupu vichwani mwao! Hawa ni wazururaji tu hawana kazi za kufanya! Naomba watufutiwe majaruba kwani mvua zimeanza kunyesha na wasiendelee kuweka msongamano Mahakamani eti wanafuatilia kesi ya Mbowe!
Toka ameanza shule ya msingi hadi leo hili neno "jamuhuli" aliliona wapi?!!!
Eti " taswila"!!! ?? Utumbo mtupu!
Kwani kuna nafasi gani ya ulaji hivi karibuni? Anafukuzia kitu hapo daaa.....kesi zenye interest za wana siasa mbaya sana.....mihemko.comHuu NI mtego mkubwa Sana kwa Jamuhuli na Serikali na mihimili yake.
Nachojua kesi hii inatumika kuionesha dunia Jinsi Mahakama zetu zilivyo huru au hovyo.
Sijui kwanini Jaji hakutaka pande zote zijiridhishe kilichopo kwenye note book palepale. Na kuchengesha kuikagua cm kuwa NI privace ya muhusika. J, nini kinaweza kutokea baadae.
Je, mawakili wote wataamini kuwa vitu hivyo viko sehemu salama mpaka Jumatatu? Nasema hivyo sababu mpaka Sasa Kuna mvutano wa kielelezo kingine kilivyomfikia shaidi kutokea mahakamani.
Kuwepo na note book pekeyake na mwandishi yoyote Yale ata Kama yakisomwa hayataonesha uhusiano na kesi husika NI dosari kwani inawezekana shaidi kaandika na kuwasiliana kwa kutumia Lugha za kipekee(alama na ishara) anaweza akatumia neno yai kumaanisha sifuri au namna yoyote anavyojua kuweka kumbukumbu zake.
Simu Ina sehemu nyingi za kuwasiliana. Ata mtu anaweza sema nikibip tu sema sijui. Au namna yoyote ile.
Mi nadhani labda Jumatatu ije simu mbovu isiyo na laini yoyote na note book mpya isiyo na maandishi ili akinakibatala wabaki na hoja moja tu kutoamini sehemu vilipotunzwa vitu.
Ila makosa yanayofanywa na Jamhuri ni makubwa Sana.
Mzee Nyundo huyo!Yana mwisho...