Shaidi wa Jamhuri kuingia na simu na notebook Kizimbani kwenye kesi ya Mbowe; umakini unaitajika kulinda taswira ya Mahakama

Shaidi wa Jamhuri kuingia na simu na notebook Kizimbani kwenye kesi ya Mbowe; umakini unaitajika kulinda taswira ya Mahakama

Huu NI mtego mkubwa Sana kwa Jamuhuli na Serikali na mihimili yake.

Nachojua kesi hii inatumika kuionesha dunia Jinsi Mahakama zetu zilivyo huru au hovyo.

Sijui kwanini Jaji hakutaka pande zote zijiridhishe kilichopo kwenye note book palepale. Na kuchengesha kuikagua cm kuwa NI privace ya muhusika. J, nini kinaweza kutokea baadae.

Je, mawakili wote wataamini kuwa vitu hivyo viko sehemu salama mpaka Jumatatu? Nasema hivyo sababu mpaka Sasa Kuna mvutano wa kielelezo kingine kilivyomfikia shaidi kutokea mahakamani.

Kuwepo na note book pekeyake na mwandishi yoyote Yale ata Kama yakisomwa hayataonesha uhusiano na kesi husika NI dosari kwani inawezekana shaidi kaandika na kuwasiliana kwa kutumia Lugha za kipekee(alama na ishara) anaweza akatumia neno yai kumaanisha sifuri au namna yoyote anavyojua kuweka kumbukumbu zake.

Simu Ina sehemu nyingi za kuwasiliana. Ata mtu anaweza sema nikibip tu sema sijui. Au namna yoyote ile.

Mi nadhani labda Jumatatu ije simu mbovu isiyo na laini yoyote na note book mpya isiyo na maandishi ili akinakibatala wabaki na hoja moja tu kutoamini sehemu vilipotunzwa vitu.

Ila makosa yanayofanywa na Jamhuri ni makubwa Sana.

Kuna siku ulikuja na uzi humu ukitaka kuonyesha hiyo mawawikili wa upande wa utetezi wawe makini sijui kesi ni ngumu. Tulikuambia hakuna kesi pale bali siasa chafu za ccm ndio zimepelekwa hadi mahakamani. Ukiacha ushahidi wa kihuni wa jamuhuri, tayari mahakama inaonyesha ina upande, na sasa wanazidi kuumbuka. Hicho kielelezo tu kuwafikia mashahidi wa jamuhuri ni kosa kubwa sana na huo ni ushahidi hakuna mahakama hapo.

Jaji anamuachia shahidi wa jamuhuri simu, wakati polisi huwa wanakamata simu za watu na hawakubali kuzirudisha mpaka itokee mivutano? Yeye amempaje shahidi simu? Si bora akina Mbowe waachiwe wawe wanafiki mahakamani tokea nyumbani?
 
itatolewa amri kila mtu aache simu nje akiingia mahakamani- ngoja mchelelee tu

Hakuna sheria inayozuia mtu kuingia na simu mahakamani, bali hiyo hairuhusiwi kwa shahidi. Hata ikitolewa amri kama hiyo ni kinyume na sheria na lengo lake ni kuficha jamuhuri kuendelea kuumbuka.
 
Hawa vijana wa CHADEMA ni utumbo mtupu vichwani mwao! Hawa ni wazururaji tu hawana kazi za kufanya! Naomba watufutiwe majaruba kwani mvua zimeanza kunyesha na wasiendelee kuweka msongamano Mahakamani eti wanafuatilia kesi ya Mbowe!
Toka ameanza shule ya msingi hadi leo hili neno "jamuhuli" aliliona wapi?!!!
Eti " taswila"!!! ?? Utumbo mtupu!
We unajifanya mjuvi wa lugha, nawe pia umeandika utumbo kuwakilisha chama gani? Neno gani hili la kiswahili "watufutiwe". Acha ujinga jenga hoja.
 
Nilimshangaa sana Jaji. Kibatala aliuliza ni wapi vielelezo hivyo vitatunzwa, Jaji kwa haraka akajibu vitatunzwa mahakamani. Nikamshangaa sana. Yaani mahakama ambayo ina-collude na upande wa mashtaka, halafu inatoa nyaraka kinyume na taratibu, eti ndiyo itunze notebook itakayokaguliwa kesho. Completely nosense.
 
Huu NI mtego mkubwa Sana kwa Jamuhuli na Serikali na mihimili yake.

Nachojua kesi hii inatumika kuionesha dunia Jinsi Mahakama zetu zilivyo huru au hovyo.

Sijui kwanini Jaji hakutaka pande zote zijiridhishe kilichopo kwenye note book palepale. Na kuchengesha kuikagua cm kuwa NI privace ya muhusika. J, nini kinaweza kutokea baadae.

Je, mawakili wote wataamini kuwa vitu hivyo viko sehemu salama mpaka Jumatatu? Nasema hivyo sababu mpaka Sasa Kuna mvutano wa kielelezo kingine kilivyomfikia shaidi kutokea mahakamani.

Kuwepo na note book pekeyake na mwandishi yoyote Yale ata Kama yakisomwa hayataonesha uhusiano na kesi husika NI dosari kwani inawezekana shaidi kaandika na kuwasiliana kwa kutumia Lugha za kipekee(alama na ishara) anaweza akatumia neno yai kumaanisha sifuri au namna yoyote anavyojua kuweka kumbukumbu zake.

Simu Ina sehemu nyingi za kuwasiliana. Ata mtu anaweza sema nikibip tu sema sijui. Au namna yoyote ile.

Mi nadhani labda Jumatatu ije simu mbovu isiyo na laini yoyote na note book mpya isiyo na maandishi ili akinakibatala wabaki na hoja moja tu kutoamini sehemu vilipotunzwa vitu.

Ila makosa yanayofanywa na Jamhuri ni makubwa Sana.
Kwani kuna nafasi gani ya ulaji hivi karibuni? Anafukuzia kitu hapo daaa.....kesi zenye interest za wana siasa mbaya sana.....mihemko.com
 
Back
Top Bottom