Shairi: Kama hamtaki ndoa, Rudisheni Pesa Zangu

Shairi: Kama hamtaki ndoa, Rudisheni Pesa Zangu

Boss la DP World

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
2,318
Reaction score
8,464
Mlikubali wenyewe, bila mtutu kichwani,
Mkaazimu nipewe, kwa udi na kwa ubani,
Akasaini mwenyewe, kwa agizo la fulani,
Kama hamtaki ndoa, rudisheni pesa zangu.

Aliyeleta mzozo, ni mtoto mtukutu,
Akavujisha uozo, ukafika hadi Mbutu,
Wakatilia mkazo, wananzengo wenye utu,
Kama hamtaki ndoa, rudisheni pesa zangu.

Mimi boss la DP, sina kinyongo rohoni,
Hata UNDP, nao wananitamani,
Similiki tu DP, nina midege angani,
Kama hamtaki ndoa, rudisheni pesa zangu.
 
Mlikubali wenyewe, bila mtutu kichwani,
Mkaazimu nipewe, kwa udi na kwa ubani,
Akasaini mwenyewe, kwa agizo la fulani,
Kama hamtaki ndoa, rudisheni pesa zangu.

Aliyeleta mzozo, ni mtoto mtukutu,
Akavujisha uozo, ukafika hadi Mbutu,
Wakatilia mkazo, wananzengo wenye utu,
Kama hamtaki ndoa, rudisheni pesa zangu.

Mimi boss la DP, sina kinyongo rohoni,
Hata UNDP, nao wananitamani,
Similiki tu DP, nina midege angani,
Kama hamtaki ndoa, rudisheni pesa zangu.
Pesa haturudishi na Bandari hupati!!
 
Ww ongea na wapemba wakupe pesa zako kwenye bandari hupati kitu
 
Mlikubali wenyewe, bila mtutu kichwani,
Mkaazimu nipewe, kwa udi na kwa ubani,
Akasaini mwenyewe, kwa agizo la fulani,
Kama hamtaki ndoa, rudisheni pesa zangu.

Aliyeleta mzozo, ni mtoto mtukutu,
Akavujisha uozo, ukafika hadi Mbutu,
Wakatilia mkazo, wananzengo wenye utu,
Kama hamtaki ndoa, rudisheni pesa zangu.

Mimi boss la DP, sina kinyongo rohoni,
Hata UNDP, nao wananitamani,
Similiki tu DP, nina midege angani,
Kama hamtaki ndoa, rudisheni pesa zangu.
Da shairi limenichekesha !
 
Wakawadai hao hao waliowapa rushwa na watuachie bandari yetu!
CCM imetufanyia wizi mkubwa sana nchi hii!
 
Mlikubali wenyewe, bila mtutu kichwani,
Mkaazimu nipewe, kwa udi na kwa ubani,
Akasaini mwenyewe, kwa agizo la fulani,
Kama hamtaki ndoa, rudisheni pesa zangu.

Aliyeleta mzozo, ni mtoto mtukutu,
Akavujisha uozo, ukafika hadi Mbutu,
Wakatilia mkazo, wananzengo wenye utu,
Kama hamtaki ndoa, rudisheni pesa zangu.

Mimi boss la DP, sina kinyongo rohoni,
Hata UNDP, nao wananitamani,
Similiki tu DP, nina midege angani,
Kama hamtaki ndoa, rudisheni pesa zangu.
shairi zuri [emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom