- Thread starter
- #21
Duuh! Kama haya ndiyo mapya tumepigwa pakubwaKubwa.zaidi miezi 6 ijayo hakuna kupeleka madawati shule wala kuchangishana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh! Kama haya ndiyo mapya tumepigwa pakubwaKubwa.zaidi miezi 6 ijayo hakuna kupeleka madawati shule wala kuchangishana
Kasomi gawiza nkoi...tule lindela mpake haha ndoho doHuenda leo atajiunga na JF ngoja tusubiri.
Wastaafu wamelipwa teh teh teh tena NSSF kwa fao la kujitoaHujasikia kwa mh.Rais akitoa hotuba ya mrejesho wa Urais wake kwa miezi 6 iliyopita na atakachofanya kwa miezi 6 ijayo?
Una matatizo ulijia jambo zito ni kulipua makombora kama ya Kim?
Miezi 6 ajira rasmi 29,900 ..nani aliajiri kama mama?
Shirika la nyumba litaanza upya kumalizia mradi wa Kawe uliokufa,regency na morroco..
Wastaafu wamelipwa mafao sh.1.45 Tilioni nk
Kubwa.zaidi miezi 6 ijayo hakuna kupeleka madawati shule wala kuchangishana michango pesa ipo,sekta ya Afya ndio kabisaa vituo vya afya 150 vinajengwa na vingine vingi vitaanza baada ya kuzindua mpango wa leo..
Ni hivi kiufupi amefauli pakubwa imagine uwekezaji wa Til 5 miradi zaidi ya 3,000 vitatoa ajira rasmi zaidi ya 42,000 ..Hapo vipi?
Nani kama Samia? Samia hoyeee
Lindaga amakanza gashike hamu akwiza kwiunga omuKasomi gawiza nkoi...tule lindela mpake haha ndoho do
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Lindaga amakanza gashike hamu akwiza kwiunga omu
Shaka siasa zake kila kichuguu kwake ni kilimanjaro 😂😂Katibu mwenezi wa CCM Taifa ndugu Shaka A. Shaka na siku chache baadaye mwanamama Ditopile waliutangazia umma kuwa Jumapili hii tutege macho na masikio Ikulu, maana Mhe Rais atakuja na jambo zito Sana
Mimi nasubiria bila kuchoka, natamani mhe Rais amalize haraka shughuli anayoifanya pale Dodoma ya kuzindua Mpango wa kupambana Uviko-19 ili aende kwenye tukio tuliloahidiwa na Shaka pamoja na Ditopile
Nitasikitika Sana kama Shaka na mwenzake Ditopile watakuwa waliuhadaa umma kwa jambo lisilokuwepo. Hii itakuwa ni kuibagaza taasisi ya Urais na Rais mwenyewe.
Hamna kitu hao.Katibu mwenezi wa CCM Taifa ndugu Shaka A. Shaka na siku chache baadaye mwanamama Ditopile waliutangazia umma kuwa Jumapili hii tutege macho na masikio Ikulu, maana Mhe Rais atakuja na jambo zito Sana
Mimi nasubiria bila kuchoka, natamani mhe Rais amalize haraka shughuli anayoifanya pale Dodoma ya kuzindua Mpango wa kupambana Uviko-19 ili aende kwenye tukio tuliloahidiwa na Shaka pamoja na Ditopile
Nitasikitika Sana kama Shaka na mwenzake Ditopile watakuwa waliuhadaa umma kwa jambo lisilokuwepo. Hii itakuwa ni kuibagaza taasisi ya Urais na Rais mwenyewe.
Waafrika ni watu wa hovyo sana. Uchaguzi uliopita hata mwaka mmoja haujapita. Badala wawaze kutuletea maendeleo wao wanawaza uchaguzi tena.Uchumi umekua kutoka 4% hadi 4.3% katika robo ya kwanza - Samia
Umeupiga mwingi sana , 2025 utapita bila kupingwa - Majaliwa
Ha ha haa Aisee.!
Suphian sijui kama atakuwa hata kibaruani anakwenda maana kavuliwa nguo
Nasikia yule mc alitolewa mkuu usiku mnene sana
Ile CAG report iliwatoa nishai vibaya sanaUnunuzi wa Ndege ndani ya Miezi 6
Haitasaidia kituChato inatangazwa rasmi kuwa Mkoa
Sijui kwanini hata dada yetu kaingia kwenye mtego wa mwendazake.Uchumi umekua kutoka 4% hadi 4.3% katika robo ya kwanza - Samia
Umeupiga mwingi sana , 2025 utapita bila kupingwa - Majaliwa
Hoyeeee👏Hujasikia kwa mh.Rais akitoa hotuba ya mrejesho wa Urais wake kwa miezi 6 iliyopita na atakachofanya kwa miezi 6 ijayo?
Una matatizo ulijia jambo zito ni kulipua makombora kama ya Kim?
Miezi 6 ajira rasmi 29,900 ..nani aliajiri kama mama?
Shirika la nyumba litaanza upya kumalizia mradi wa Kawe uliokufa,regency na morroco..
Wastaafu wamelipwa mafao sh.1.45 Tilioni nk
Kubwa.zaidi miezi 6 ijayo hakuna kupeleka madawati shule wala kuchangishana michango pesa ipo,sekta ya Afya ndio kabisaa vituo vya afya 150 vinajengwa na vingine vingi vitaanza baada ya kuzindua mpango wa leo..
Ni hivi kiufupi amefauli pakubwa imagine uwekezaji wa Til 5 miradi zaidi ya 3,000 vitatoa ajira rasmi zaidi ya 42,000 ..Hapo vipi?
Nani kama Samia? Samia hoyeee
Mkishindwa hoja mnapenda sana kudhalilisha wengine kwa uongo na uzushi.....Hivi huyo jamaa sialiwahi kuishi nje ya nchi?
Ambao utarudi kwa wananchi kwa 100%.Tumepewa Mkopo Na Mabeberu Ndiyo Jambo Lenyewe