Shaka alisema Jumapili ya leo kuna jambo zito Rais Samia atalifanya. Ni jambo gani hilo? Au alitudanganya?

Shaka alisema Jumapili ya leo kuna jambo zito Rais Samia atalifanya. Ni jambo gani hilo? Au alitudanganya?

Hujasikia kwa mh.Rais akitoa hotuba ya mrejesho wa Urais wake kwa miezi 6 iliyopita na atakachofanya kwa miezi 6 ijayo?

Una matatizo ulijia jambo zito ni kulipua makombora kama ya Kim?

Miezi 6 ajira rasmi 29,900 ..nani aliajiri kama mama?

Shirika la nyumba litaanza upya kumalizia mradi wa Kawe uliokufa,regency na morroco..

Wastaafu wamelipwa mafao sh.1.45 Tilioni nk

Kubwa.zaidi miezi 6 ijayo hakuna kupeleka madawati shule wala kuchangishana michango pesa ipo,sekta ya Afya ndio kabisaa vituo vya afya 150 vinajengwa na vingine vingi vitaanza baada ya kuzindua mpango wa leo..

Ni hivi kiufupi amefauli pakubwa imagine uwekezaji wa Til 5 miradi zaidi ya 3,000 vitatoa ajira rasmi zaidi ya 42,000 ..Hapo vipi?

Nani kama Samia? Samia hoyeee
Wastaafu wamelipwa teh teh teh tena NSSF kwa fao la kujitoa
 
Katibu mwenezi wa CCM Taifa ndugu Shaka A. Shaka na siku chache baadaye mwanamama Ditopile waliutangazia umma kuwa Jumapili hii tutege macho na masikio Ikulu, maana Mhe Rais atakuja na jambo zito Sana

Mimi nasubiria bila kuchoka, natamani mhe Rais amalize haraka shughuli anayoifanya pale Dodoma ya kuzindua Mpango wa kupambana Uviko-19 ili aende kwenye tukio tuliloahidiwa na Shaka pamoja na Ditopile

Nitasikitika Sana kama Shaka na mwenzake Ditopile watakuwa waliuhadaa umma kwa jambo lisilokuwepo. Hii itakuwa ni kuibagaza taasisi ya Urais na Rais mwenyewe.
Shaka siasa zake kila kichuguu kwake ni kilimanjaro 😂😂
 
Katibu mwenezi wa CCM Taifa ndugu Shaka A. Shaka na siku chache baadaye mwanamama Ditopile waliutangazia umma kuwa Jumapili hii tutege macho na masikio Ikulu, maana Mhe Rais atakuja na jambo zito Sana

Mimi nasubiria bila kuchoka, natamani mhe Rais amalize haraka shughuli anayoifanya pale Dodoma ya kuzindua Mpango wa kupambana Uviko-19 ili aende kwenye tukio tuliloahidiwa na Shaka pamoja na Ditopile

Nitasikitika Sana kama Shaka na mwenzake Ditopile watakuwa waliuhadaa umma kwa jambo lisilokuwepo. Hii itakuwa ni kuibagaza taasisi ya Urais na Rais mwenyewe.
Hamna kitu hao.
 
Uchumi umekua kutoka 4% hadi 4.3% katika robo ya kwanza - Samia

Umeupiga mwingi sana , 2025 utapita bila kupingwa - Majaliwa
Waafrika ni watu wa hovyo sana. Uchaguzi uliopita hata mwaka mmoja haujapita. Badala wawaze kutuletea maendeleo wao wanawaza uchaguzi tena.
 
Tumepewa Mkopo Na Mabeberu Ndiyo Jambo Lenyewe
 
Uchumi umekua kutoka 4% hadi 4.3% katika robo ya kwanza - Samia

Umeupiga mwingi sana , 2025 utapita bila kupingwa - Majaliwa
Sijui kwanini hata dada yetu kaingia kwenye mtego wa mwendazake.
 
Hujasikia kwa mh.Rais akitoa hotuba ya mrejesho wa Urais wake kwa miezi 6 iliyopita na atakachofanya kwa miezi 6 ijayo?

Una matatizo ulijia jambo zito ni kulipua makombora kama ya Kim?

Miezi 6 ajira rasmi 29,900 ..nani aliajiri kama mama?

Shirika la nyumba litaanza upya kumalizia mradi wa Kawe uliokufa,regency na morroco..

Wastaafu wamelipwa mafao sh.1.45 Tilioni nk

Kubwa.zaidi miezi 6 ijayo hakuna kupeleka madawati shule wala kuchangishana michango pesa ipo,sekta ya Afya ndio kabisaa vituo vya afya 150 vinajengwa na vingine vingi vitaanza baada ya kuzindua mpango wa leo..

Ni hivi kiufupi amefauli pakubwa imagine uwekezaji wa Til 5 miradi zaidi ya 3,000 vitatoa ajira rasmi zaidi ya 42,000 ..Hapo vipi?

Nani kama Samia? Samia hoyeee
Hoyeeee👏
 
Tumepewa Mkopo Na Mabeberu Ndiyo Jambo Lenyewe
Ambao utarudi kwa wananchi kwa 100%.

Anza kujipanga na tenda za cement na vifaa vya ujenzi kama una hardware, kama ww ni mkandarasi kamata tenda yako, kama ww ni fundi anza kutafuta connection kwa wakandarasi kama ni mama ntilie anza kutafuta chimbo la kuhudumia vibarua.

Ukipata pesa nenda kalipe wafanyakazi wa ndani, boresha gesti house yako uajiri zaidi, fungua kabiashara uajiri hata watu wawili n.k nchi inaenda kuchangamka.

Kama ww ni mwanasiasa wa upinzani endelea kuponda.
 
Brela Tukasajiri Kampuni, Serikali Imeelekea Kibra
 
Back
Top Bottom