Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Mkopo
Shaka - Chei Chei
Ditopile - Tom
Kuna Jipya kutoka kwao?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shaka - Chei Chei
Ditopile - Tom
Kuna Jipya kutoka kwao?
Tangu walipotunga na kutuimbia ule wimbo wa "CCM ni ileile" sijawahi kutegemea jipya kutoka CCM na watu wakeKatibu mwenezi wa CCM Taifa ndugu Shaka A. Shaka na siku chache baadaye mwanamama Ditopile waliutangazia umma kuwa Jumapili hii tutege macho na masikio Ikulu, maana Mhe Rais atakuja na jambo zito Sana
Mimi nasubiria bila kuchoka, natamani mhe Rais amalize haraka shughuli anayoifanya pale Dodoma ya kuzindua Mpango wa kupambana Uviko-19 ili aende kwenye tukio tuliloahidiwa na Shaka pamoja na Ditopile
Nitasikitika Sana kama Shaka na mwenzake Ditopile watakuwa waliuhadaa umma kwa jambo lisilokuwepo. Hii itakuwa ni kuibagaza taasisi ya Urais na Rais mwenyewe.
Wewe endelea kuvaa kibwaya ili upongeze na kutukuza kwa nguvu zote wakati nyumbani kwenu huna uhakika wa milo mitatu huna.Ambao utarudi kwa wananchi kwa 100%.
Anza kujipanga na tenda za cement na vifaa vya ujenzi kama una hardware, kama ww ni mkandarasi kamata tenda yako, kama ww ni fundi anza kutafuta connection kwa wakandarasi kama ni mama ntilie anza kutafuta chimbo la kuhudumia vibarua.
Ukipata pesa nenda kalipe wafanyakazi wa ndani, boresha gesti house yako uajiri zaidi, fungua kabiashara uajiri hata watu wawili n.k nchi inaenda kuchangamka.
Kama ww ni mwanasiasa wa upinzani endelea kuponda.
John Komba alikuwa anajua kuwafanyia fix mboga mbogaTangu walipotunga na kutuimbia ule wimbo wa "CCM ni ileile" sijawahi kutegemea jipya kutoka CCM na watu wake
🤣🤣🤣🤣🤣Wewe endelea kuvaa kibwaya ili upongeze na kutukuza kwa nguvu zote wakati nyumbani kwenu huna uhakika wa milo mitatu huna.
Wacha wewe kujibaraguza[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wacha we.
Una makisio yasiyo na uhalisia.Wacha wewe kujibaraguza
HahahahahahahahMkuu mbona unaheshima kubwa sana hapa jamvini?
Tangu lini Shaka akawa na jambo lililotimilika?
SawaMOKOJANIHujasikia kwa mh.Rais akitoa hotuba ya mrejesho wa Urais wake kwa miezi 6 iliyopita na atakachofanya kwa miezi 6 ijayo?
Una matatizo ulijia jambo zito ni kulipua makombora kama ya Kim?
Miezi 6 ajira rasmi 29,900 ..nani aliajiri kama mama?
Shirika la nyumba litaanza upya kumalizia mradi wa Kawe uliokufa,regency na morroco..
Wastaafu wamelipwa mafao sh.1.45 Tilioni nk
Kubwa.zaidi miezi 6 ijayo hakuna kupeleka madawati shule wala kuchangishana michango pesa ipo,sekta ya Afya ndio kabisaa vituo vya afya 150 vinajengwa na vingine vingi vitaanza baada ya kuzindua mpango wa leo..
Ni hivi kiufupi amefauli pakubwa imagine uwekezaji wa Til 5 miradi zaidi ya 3,000 vitatoa ajira rasmi zaidi ya 42,000 ..Hapo vipi?
Nani kama Samia? Samia hoyeee
Over my dead bodyUna makisio yasiyo na uhalisia.
Una miezi tisa ya kujiposition kua sehemu ya mkopo utakaolipwa na sisi wananchi, achana na mm kukisia kisia usiyoyaelewa, angalia fursa kama unaziitaji.
Dead are of no use to the living. Kila la heri.Over my dead body
"Mashaka" tupu.Jumbe Brown na CM 1774858 watasema hapa jukwaani kwa niaba ya Shaka
Jiwe sasa ni kichuguuDead are of no use to the living. Kila la heri.
Katibu mwenezi wa CCM Taifa ndugu Shaka A. Shaka na siku chache baadaye mwanamama Ditopile waliutangazia umma kuwa Jumapili hii tutege macho na masikio Ikulu, maana Mhe Rais atakuja na jambo zito Sana
Mimi nasubiria bila kuchoka, natamani mhe Rais amalize haraka shughuli anayoifanya pale Dodoma ya kuzindua Mpango wa kupambana Uviko-19 ili aende kwenye tukio tuliloahidiwa na Shaka pamoja na Ditopile
Nitasikitika Sana kama Shaka na mwenzake Ditopile watakuwa waliuhadaa umma kwa jambo lisilokuwepo. Hii itakuwa ni kuibagaza taasisi ya Urais na Rais mwenyewe.
Hayupo tangu march.Jiwe sasa ni kichuguu
Tayari bi, Chokochoko ametoa lake la rohoni , kwamba yeye anaweza mitala yake tu ya Makunduchi haya ya kuongoza nchi ni makubwa kwake na yamemshinda.Mkuu mbona unaheshima kubwa sana hapa jamvini?
Tangu lini Shaka akawa na jambo lililotimilika?
Hayo unajua weweHayupo tangu march.
Watajitokeza sanaTayari bi, Chokochoko ametoa la rohoni , kwamba yeye anaweza mitala, haya kuongoza nchi ni makubwa kwake na yamemshinda.