Shaka alisema Jumapili ya leo kuna jambo zito Rais Samia atalifanya. Ni jambo gani hilo? Au alitudanganya?

Tangu walipotunga na kutuimbia ule wimbo wa "CCM ni ileile" sijawahi kutegemea jipya kutoka CCM na watu wake
 
Wewe endelea kuvaa kibwaya ili upongeze na kutukuza kwa nguvu zote wakati nyumbani kwenu huna uhakika wa milo mitatu huna.
 
Tangu walipotunga na kutuimbia ule wimbo wa "CCM ni ileile" sijawahi kutegemea jipya kutoka CCM na watu wake
John Komba alikuwa anajua kuwafanyia fix mboga mboga
 
Wewe endelea kuvaa kibwaya ili upongeze na kutukuza kwa nguvu zote wakati nyumbani kwenu huna uhakika wa milo mitatu huna.
🤣🤣🤣🤣🤣
Wacha we. Wewe jibu lako ni jepesi tu. Una Makisio sana. Maisha ya makisio ni tabu tupu.
 
Wacha wewe kujibaraguza
Una makisio yasiyo na uhalisia.

Una miezi tisa ya kujiposition kua sehemu ya mkopo utakaolipwa na sisi wananchi, achana na mm kukisia kisia usiyoyaelewa, angalia fursa kama unaziitaji.
 
SawaMOKOJANI
 
Una makisio yasiyo na uhalisia.

Una miezi tisa ya kujiposition kua sehemu ya mkopo utakaolipwa na sisi wananchi, achana na mm kukisia kisia usiyoyaelewa, angalia fursa kama unaziitaji.
Over my dead body
 

Shaka ni msemaji wa Rais toka lini? Yeye ni msemaji wa mwenyekiti wa CCM na si Rais wa nchi unless kuna vitu vimenipita.
 
Mkuu mbona unaheshima kubwa sana hapa jamvini?

Tangu lini Shaka akawa na jambo lililotimilika?
Tayari bi, Chokochoko ametoa lake la rohoni , kwamba yeye anaweza mitala yake tu ya Makunduchi haya ya kuongoza nchi ni makubwa kwake na yamemshinda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…