Shaka Hamdu: CCM inamuunga mkono Mwenyekiti wake Samia Suluhu kuendeleza majadiliano na CHADEMA

Shaka Hamdu: CCM inamuunga mkono Mwenyekiti wake Samia Suluhu kuendeleza majadiliano na CHADEMA

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM imeunga mkono na kuridhia hatua ya Mwenyekiti wa CCM Rais Samia Suluhu Hassan ya kuendeleza majadiliano na vyama vya siasa yenye lengo la kuimarisha demokrasia kupitia maridhiano ya kisiasa kwa maslahi ya taifa.

69B1249F-AE87-4189-A79A-839C7D066D30.jpeg
090C5B63-3949-4841-A17B-075BD2628D56.jpeg


===================

Chawa wamenuna.
 
Ccm hii yasasahivi angalau ina viongozi wenye akili kuliko ile ccm ya wapenda fujo wauwaji.
 
Back
Top Bottom