Shaka Hamdu Shaka azungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma

Mikutano inafanyika mkuu acha kuwaamini chadema hawana pesa ya mikutano,
 
hivi CCM wanawachukuliaje watanzania? mbumbu sana na hatujui kusoma wala kuandika kiasi cha kutojua yanayoendelea nchini.
tatizo watu wajinga mara nyingi hawajijui ni wajinga na wanafikiri wengine wote wajinga
 
Mikutano inafanyika mkuu acha kuwaamini chadema hawana pesa ya mikutano,
Ushaona mikutano ya hadhara ya UDP, APPT, TADEA, ACT, CUF na wengine? Maana wapinzani sio Chadema pekee, wala siko hapa kuwasemea. Wana visemeo vyao
 
Ushaona mikutano ya hadhara ya UDP, APPT, TADEA, ACT, CUF na wengine? Maana wapinzani sio Chadema pekee, wala siko hapa kuwasemea. Wana visemeo vyao
Mkutano ni gharama mkuu,

Watu hawana pesa,

Sasa CCM inalaumiwa kwa lipi?
 
Mkutano ni gharama mkuu,

Watu hawana pesa,

Sasa CCM inalaumiwa kwa lipi?
Wewe ndio unaesema hawana pesa. Wataalamu wanasema kuna intelijensia inawaeleza kuwa kuna viashiria vya vurugu. Ila hio ni kw wapinzani tu, sio CCM
 
Mimi ni mwanaccm ila shaka hiki cheo kimemzidi uwezo ni empty headed, blah blah nyingi sjui wenzangu mmeona point?
 
Shaka ni Mtu na nusu yaani
 
hivi CCM wanawachukuliaje watanzania? mbumbu sana na hatujui kusoma wala kuandika kiasi cha kutojua yanayoendelea nchini.
Kama unajua na bado unaishi kwa sababu gani?
Si ujiuwe tu ili upumzike uachwe kudanganywa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…