Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,021
- 22,016
Serikali tatu zinanukia tuendelee kula mtori
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda na wewe kachukueToka Mbowe kachukua chake pale Ikulu anayeweza kusisitiza katiba ni CCM tu
wewe ndio Mbowe mwenyewe naona, CCM KATIBA MPYA NI CCM,Nenda na wewe kachukue
Ndio nasikia Leo kuwa Katiba Mpya ni ya CCM I mean ni agenda ya CCMwewe ndio Mbowe mwenyewe naona, CCM KATIBA MPYA NI CCM,
Kwani Jaji Waryoba ni chadema?Ndio nasikia Leo kuwa Katiba Mpya ni ya CCM I mean ni agenda ya CCM
Kijana hebu tulia KidogoKwani Jaji Waryoba ni chadema?
Hata uwezo wa wewe kujua kusoma na kuandika na ku-comment hapa ni CCM imekusaidiaLeo ndio nimeamini kuwa CCM ndio adui namba moja wa taifa hili.
Yan ujinga, maradhi na umaskini tunavionea tu
Hao jamaa nilishagundua kuwa ni dhaifu sana,Hata uwezo wa wewe kujua kusoma na kuandika na ku-comment hapa ni CCM imekusaidia
😀😀😀Kijana hebu tulia Kidogo
Usanii upi?Siasa za nchi hii zimezidi usanii, laah !!
Hao wote ni Wana-CCMWatakuja kushangilia hata hilo wazo lenyewe.
Hawa ndiyo wahenga wa CCM.
Na huo ndio ukweli !! Na lazima kama JPM atakuja kutokea tu !! Rohoni kwa MTU ni mbali hawataweza kumjua mpaka atakapokuwa ameshakalia kiti !! Mungu ana shani zake alitakalo ni lazima litakuwa !!Wamefika pointi inabidi wakubali.
Leo yuko samia akirudi mwingine zaidi ya Jpm atawanyosha tena hao hao ccm.
Mabadiliko ni sasa.
unawaza angle moja tu ya Urais ndio shida yakoN
Na huo ndio ukweli !! Na lazima kama JPM atakuja kutokea tu !! Rohoni kwa MTU ni mbali hawataweza kumjua mpaka atakapokuwa ameshakalia kiti !! Mungu ana shani zake alitakalo ni lazima litakuwa !!
Kabisa hii ni fursa pekee ya reform. Anaweza kutokea zaidi ya JpmN
Na huo ndio ukweli !! Na lazima kama JPM atakuja kutokea tu !! Rohoni kwa MTU ni mbali hawataweza kumjua mpaka atakapokuwa ameshakalia kiti !! Mungu ana shani zake alitakalo ni lazima litakuwa !!
The State wameshaamua na wao waliona madhara kutoka kwa bwana yule.Si mlisema sio ajenda yenu!!? KWAMBA mnataka maendeleo!!?
Thanks the state
🤣🤣🤣mada ipo toka jana naona wamejifichaWatakuja kushangilia hata hilo wazo lenyewe.
Hawa ndiyo wahenga wa CCM.
🤣🤣🤣Leo ndio nimeamini kuwa CCM ndio adui namba moja wa taifa hili.
Yan ujinga, maradhi na umaskini tunavionea tu