CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 5,621
- 5,029
- Thread starter
- #41
Fanya kazi,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fanya kazi,
🤣🤣🤣mada ipo toka jana naona wamejificha
hawa chadomo?Hao jamaa nilishagundua kuwa ni dhaifu sana,
Lazima wafungwe, kwanini wanadai katiba mpya kwani ni ajenda Yao? Huo ni ugaidi.Mbona Sasa mliwafunga watu na kuwabambikia kesi za Ugaidi wakidai KATIBA mpya?
Msitufanye sisi hamnazo mataga kubalini tuu mziki wa Chadema wa KATIBA mpya ulimfanya mpka Rais wenu kupitia mlango wa nyuma huko Marekani na asiye kubali kushindwa sio mshindani babuu
CCM ni kiongozi katiba mpya katika kuikataa. Ikumbukwe ni CCM iliovuruga bunge la katiba kwa kumtuma kikwete kwenye ufunguzi na kutoa maelekezo ya kuikataa, matokeo muda mwingi ukatumika kutunga kanuni za bunge, na uliobaki kubadiri vifungu vya katiba hiyo. Kamwe CCM haitakubali kwa dhati uwepo wa time huru ya uchaguzi inayopendekezwa kwenye katiba. Na huyo ndie anae shauri mkakati wa katiba kuanza mwanzo, a delaying tactic.Katibu wa halmashauri kuu ya Nec Itikadi & Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka amesema, " Agenda ya katiba mpya sio ngeni ndani ya CCM, na wakati wote ni CCM ndio imeratibu maswala yote, "
Aidha kiongozi huyo wa juu kabisa wa Chama cha Mapinduzi CCM Tanzania amewataka Watanzania kufahamu kuwa CCM ni chama kiongozi kwenye mambo yote likiwamo hili la katiba Mpya,
Msikilize kwa makini kiongozi huyu tegemewa kwa Taifa mpaka Mwisho,
Katiba waliikataa UKAWA, labda huna kumbukumbu sahihiCCM ni kiongozi katiba mpya katika kuikataa. Ikumbukwe ni CCM iliovuruga bunge la katiba kwa kumtuma kikwete kwenye ufunguzi na kutoa maelekezo ya kuikataa, matokeo muda mwingi ukatumika kutunga kanuni za bunge, na uliobaki kubadiri vifungu vya katiba hiyo. Kamwe CCM haitakubali kwa dhati uwepo wa time huru ya uchaguzi inayopendekezwa kwenye katiba. Na huyo ndie anae shauri mkakati wa katiba kuanza mwanzo, a delaying tactic.
Katibu wa halmashauri kuu ya Nec Itikadi & Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka amesema, " Agenda ya katiba mpya sio ngeni ndani ya CCM, na wakati wote ni CCM ndio imeratibu maswala yote, "
Aidha kiongozi huyo wa juu kabisa wa Chama cha Mapinduzi CCM Tanzania amewataka Watanzania kufahamu kuwa CCM ni chama kiongozi kwenye mambo yote likiwamo hili la katiba Mpya,
Msikilize kwa makini kiongozi huyu tegemewa kwa Taifa mpaka Mwisho,
CCM ni hatari sn imejaa matapeli tupuWaammbieni CCM wasitufanye ufala, Tuna kila ushahidi wa wao kutupinga na kutufunga na kutuumiza...halafu sasa hivi wanakuja wamebana pua huku wamepaka mkorogo wanatuambia ujinga gani?
Hadi Mbowe?!CCM ni hatari sn imejaa matapeli tupu
Katibu wa halmashauri kuu ya Nec Itikadi & Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka amesema, " Agenda ya katiba mpya sio ngeni ndani ya CCM, na wakati wote ni CCM ndio imeratibu maswala yote, "
Aidha kiongozi huyo wa juu kabisa wa Chama cha Mapinduzi CCM Tanzania amewataka Watanzania kufahamu kuwa CCM ni chama kiongozi kwenye mambo yote likiwamo hili la katiba Mpya,
Msikilize kwa makini kiongozi huyu tegemewa kwa Taifa mpaka Mwisho,
Yes, BUT Msimamizi ni CCMHuyu kijana anatakiwa kufahamu kwamba katiba ni ya watanzania na ni ajenda ya watanzania na sio CCM hakuna habari ya upya au uchakavu wa ajenda.
+ MumeoHadi Mbowe?!
Wewe Dada unamatuc sana aisee+ Mumeo
Yes, BUT Msimamizi ni CCM
Huku Shaka yuko vizuri sana aiseAhsante kwa taarifa...
Kama ya mumeoWewe Dada unamatuc sana aisee
daahKama ya mumeo
Sawa mkuudaah