MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Wanabahatisha kwenye ATM walizotuletea marafiki zetu wachina ili watanzania wajikwamue kiuchumi.
Kweli kabisa kwa sababu bei inaanzia 3,800Kiongozi mkubwa wa CCM amewataka wananchi wapuuze uzushi unaonea mitandaoni kuwa mchele umefikia 3500 kwa kilo sababu yeye mwenyewe ametembelea masoko yote makubwa nchini na hajakutana na bei hiyo tajwa.
Ameenda mbali zaidi na kudai Kuna kona kadhaa za nchi mchele upo hadi sh 1000 kwa kilo.
Amesema Kama Kuna mfanyabiashara hajui wapi pa kupata mchele wa bei nzuri basi apige simu yake binafsi apewe taarifa.
Pia amewataka wanasiasa wa upinzani wafanye siasa za kikubwa utoto ubaki Bavicha.
Alikuwa hewani UHURU digital muda si mrefu.
Huku Gamboshi hakufika...Kiongozi mkubwa wa CCM amewataka wananchi wapuuze uzushi unaonea mitandaoni kuwa mchele umefikia 3500 kwa kilo sababu yeye mwenyewe ametembelea masoko yote makubwa nchini na hajakutana na bei hiyo tajwa.
Ameenda mbali zaidi na kudai Kuna kona kadhaa za nchi mchele upo hadi sh 1000 kwa kilo.
Amesema Kama Kuna mfanyabiashara hajui wapi pa kupata mchele wa bei nzuri basi apige simu yake binafsi apewe taarifa.
Pia amewataka wanasiasa wa upinzani wafanye siasa za kikubwa utoto ubaki Bavicha.
Alikuwa hewani UHURU digital muda si mrefu.
Maendeleo hayana jinsia🤣🤣🤣🤣
She is one of the best users of "kijiko" to nourish her skin in order to attract investors.Who is she by the way?
A disgusted baboonWho is she by the way?
Hahahaahahhaaa I love! Aende Pale Kigamboni mwembetogwa juzi nimenunua Kwa 4100Kweli kabisa kwa sababu bei inaanzia 3,800
Aje soko la Tegeta NyukiKiongozi mkubwa wa CCM amewataka wananchi wapuuze uzushi unaonea mitandaoni kuwa mchele umefikia 3500 kwa kilo sababu yeye mwenyewe ametembelea masoko yote makubwa nchini na hajakutana na bei hiyo tajwa.
Ameenda mbali zaidi na kudai Kuna kona kadhaa za nchi mchele upo hadi sh 1000 kwa kilo.
Amesema Kama Kuna mfanyabiashara hajui wapi pa kupata mchele wa bei nzuri basi apige simu yake binafsi apewe taarifa.
Pia amewataka wanasiasa wa upinzani wafanye siasa za kikubwa utoto ubaki Bavicha.
Alikuwa hewani UHURU digital muda si mrefu.