butron
JF-Expert Member
- Jun 3, 2013
- 5,640
- 7,943
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]She is one of the best users of "kijiko" to nourish her skin in order to attract investors.
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]She is one of the best users of "kijiko" to nourish her skin in order to attract investors.
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Anasema madai hayo ni ya bei ya kupimia inayowekwa na wanaoionea wivu Tanzania ya Dr. Samia Suluhu Hassan.Hahahaahahhaaa I love! Aende Pale Kigamboni mwembetogwa juzi nimenunua Kwa 4100
Hata Ifakara hakuna mchele wa 1,000 kwa kilo mm Ifakara ndio home na juzi tu nilikuwa huko.Anataja bei kwenye maeneo yanayozalisha ,mfano ifakara ,vijana wa ccm bwana
Hawa Jamaa wanakuaga na akili vichwani mwao kweli?Anasema madai hayo ni ya bei ya kupimia inayowekwa na wanaoionea wivu Tanzania ya Dr. Samia Suluhu Hassan.
Wana ubongo wa kunguni, kunguni wanauma siku zote lakini hawapati mafanikio kwenye maendeleo.Hawa Jamaa wanakuaga na akili vichwani mwao kweli?
1. Ameonge kama nani?Kiongozi mkubwa wa CCM amewataka wananchi wapuuze uzushi unaonea mitandaoni kuwa mchele umefikia 3500 kwa kilo sababu yeye mwenyewe ametembelea masoko yote makubwa nchini na hajakutana na bei hiyo tajwa.
Sawa ungesema bei basi ni Tshs ngapHata Ifakara hakuna mchele wa 1,000 kwa kilo mm Ifakara ndio home na juzi tu nilikuwa huko.
Huyo shaka ni mpumbavu aliyevimbiwa. Mwambie saiz michele ni 3600Kiongozi mkubwa wa CCM amewataka wananchi wapuuze uzushi unaonea mitandaoni kuwa mchele umefikia 3500 kwa kilo sababu yeye mwenyewe ametembelea masoko yote makubwa nchini na hajakutana na bei hiyo tajwa.
Ameenda mbali zaidi na kudai Kuna kona kadhaa za nchi mchele upo hadi sh 1000 kwa kilo.
Amesema Kama Kuna mfanyabiashara hajui wapi pa kupata mchele wa bei nzuri basi apige simu yake binafsi apewe taarifa.
Pia amewataka wanasiasa wa upinzani wafanye siasa za kikubwa utoto ubaki Bavicha.
Alikuwa hewani UHURU digital muda si mrefu.
Kuwa jinsia ya tatu lazima ujitoe ufahamuJamaa kajizima data.