Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Sawa ungesema bei basi ni Tshs ngap
Chenga za mchele 2000 mchele mzuri kuanzia 2700 kwa kilo.Sawa ungesema bei basi ni Tshs ngap
Sasa hapo Kuna siasa Gani?Fanya siasa za kistaarabu.
Nilikuwa Kidatu juzi,Hata Michele wa 2500/- hakunaHata Ifakara hakuna mchele wa 1,000 kwa kilo mm Ifakara ndio home na juzi tu nilikuwa huko.
Itakuwa ni hangover tu ya uenezi.Huyu aende Mwembemchomeke akapumzike tu maana kanyang'anywa uenezi. Sasa anaongea kama nani!
Kama Shaka anasema ukweli, basi watoto wangu jana wamenipiga. Waliniambia wamenunua mchele kg. 3,000/=katika soko mojawapo Jijini Mwanza! Ebu Shaka niambie ukweli mwaya walinunua shilingi ngapi niwadai chenji!!?Kiongozi mkubwa wa CCM amewataka wananchi wapuuze uzushi unaonea mitandaoni kuwa mchele umefikia 3500 kwa kilo sababu yeye mwenyewe ametembelea masoko yote makubwa nchini na hajakutana na bei hiyo tajwa.
Ameenda mbali zaidi na kudai Kuna kona kadhaa za nchi mchele upo hadi sh 1000 kwa kilo.
Amesema Kama Kuna mfanyabiashara hajui wapi pa kupata mchele wa bei nzuri basi apige simu yake binafsi apewe taarifa.
Pia amewataka wanasiasa wa upinzani wafanye siasa za kikubwa utoto ubaki Bavicha.
Alikuwa hewani UHURU digital muda si mrefu.
Jinga hilo linaleta propaganda za kingese.Nilikuwa Kidatu juzi,Hata Michele wa 2500/- hakuna
Just like tundu lisu, or what?She is one of the best users of "kijiko" to nourish her skin in order to attract investors.
Kweli kabisa kwa sababu bei inaanzia 3,800
Nakuomba usije ukapiga watoto ,shaka mwenyewe ni babyKama Shaka anasema ukweli, basi watoto wangu jana wamenipiga. Waliniambia wamenunua mchele kg. 3,000/=katika soko mojawapo Jijini Mwanza! Ebu Shaka niambie ukweli mwaya walinunua shilingi ngapi niwadai chenji!!?
Huyo mke wa mtu tunampuuza tuKiongozi mkubwa wa CCM amewataka wananchi wapuuze uzushi unaonea mitandaoni kuwa mchele umefikia 3500 kwa kilo sababu yeye mwenyewe ametembelea masoko yote makubwa nchini na hajakutana na bei hiyo tajwa.
Ameenda mbali zaidi na kudai Kuna kona kadhaa za nchi mchele upo hadi sh 1000 kwa kilo.
Amesema Kama Kuna mfanyabiashara hajui wapi pa kupata mchele wa bei nzuri basi apige simu yake binafsi apewe taarifa.
Pia amewataka wanasiasa wa upinzani wafanye siasa za kikubwa utoto ubaki Bavicha.
Alikuwa hewani UHURU digital muda si mrefu.
No wonder "she" was replacedKiongozi mkubwa wa CCM amewataka wananchi wapuuze uzushi unaonea mitandaoni kuwa mchele umefikia 3500 kwa kilo sababu yeye mwenyewe ametembelea masoko yote makubwa nchini na hajakutana na bei hiyo tajwa.
Ameenda mbali zaidi na kudai Kuna kona kadhaa za nchi mchele upo hadi sh 1000 kwa kilo.
Amesema Kama Kuna mfanyabiashara hajui wapi pa kupata mchele wa bei nzuri basi apige simu yake binafsi apewe taarifa.
Pia amewataka wanasiasa wa upinzani wafanye siasa za kikubwa utoto ubaki Bavicha.
Alikuwa hewani UHURU digital muda si mrefu.
Wanabahatisha kwenye ATM walizotuletea marafiki zetu wachina ili watanzania wajikwamue kiuchumi.
She is a Queen 👑 of SengeliWho is she by the way?
huyo mjinga ni wa kuachana naye sababu akili zake bado hazimtoshi.bei ya mchele kote iko juu.aende pale kagera soko la rwamishenyi halafu aje na hizo hoja za kipumbavu.huu ni mfano mdogo tu na akitaka tutamtajia bei ya mchele ktk masoko mengi hapa nchini.aliyeshiba hamjui mwenye njaa na siasa zinawapeleka pabaya na huo ndo uchawa wenyewe.Kiongozi mkubwa wa CCM amewataka wananchi wapuuze uzushi unaonea mitandaoni kuwa mchele umefikia 3500 kwa kilo sababu yeye mwenyewe ametembelea masoko yote makubwa nchini na hajakutana na bei hiyo tajwa.
Ameenda mbali zaidi na kudai Kuna kona kadhaa za nchi mchele upo hadi sh 1000 kwa kilo.
Amesema Kama Kuna mfanyabiashara hajui wapi pa kupata mchele wa bei nzuri basi apige simu yake binafsi apewe taarifa.
Pia amewataka wanasiasa wa upinzani wafanye siasa za kikubwa utoto ubaki Bavicha.
Alikuwa hewani UHURU digital muda si mrefu.