Shaka Hamdu Shaka: Rais Samia amewanyima hoja wapinzani wake ndio maana wamekimbilia kwenye mfumo dume"Wapuuzeni"

Tanzania inakwenda vizuri hao wapinzani wanaotegemea Rais Samia atakwama watasubiri mno,
 
Chawa kindakindaki wa Rais Samia,, njaa mbaya sana

Hawa hawakawii kugeuza maneno awamu nyinginezo!

Utaskia, awamu ya sita , serikali ilikuwa inakopa sana na kuwakandamiza wananchi Tozo zilizo nje ya uwezo wao, for sure,, time will tell
Mbona hata wewe ni Chawa wa Mbowe??!
 
Na bado mwaka huu mpaka mtoane roho na tena mpo wenyewe, msitafute mchawi.
 
Mbona hata wewe ni Chawa wa Mbowe??!
Mim always Nasimamia Haki, sipend na nachukia sana kuona mtu akionewa ,,,

Uonevu ni kazi ya shetani,,, shetani hajawah kukubalika katika jamii zote Duniani,,,
 
Mim always Nasimamia Haki, sipend na nachukia sana kuona mtu akionewa ,,,

Uonevu ni kazi ya shetani,,, shetani hajawah kukubalika katika jamii zote Duniani,,,
Mbowe anavyochota pesa za ruzuku na kupeleka kwenye familia yake huko siko kuonea wanachama wengine?
 
Mbowe anavyochota pesa za ruzuku na kupeleka kwenye familia yake huko siko kuonea wanachama wengine?
Weka ushahidi hapa hewan,, pia mim Sina chama,, Wala si mwanachama wa chama chochote kile

Lowasa alivyoingia CHADEMA nilipinga na kura nkampa Magu, so sifungani na chama chochote ndg
 
Weka ushahidi hapa hewan,, pia mim Sina chama,, Wala si mwanachama wa chama chochote kile

Lowasa alivyoingia CHADEMA nilipinga na kura nkampa Magu, so sifungani na chama chochote ndg
Nenda pale makao makuu Ufipa watakupa ushahidi mkuu
 
ana maana gani kusema mfumo dume
Bado sijaamini kwamba huyu ndio waliomwamini.
Sidhani Kama huyu bwana mdogo anasoma vitabu/magazeti/journals mbali mbali au hata Kama anaangalia serious channels za tiivii zenye maudhui yanayomjenga mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…