Shaka Hamdu Shaka: Rais Samia amewanyima hoja wapinzani wake ndio maana wamekimbilia kwenye mfumo dume"Wapuuzeni"

Shaka Hamdu Shaka: Rais Samia amewanyima hoja wapinzani wake ndio maana wamekimbilia kwenye mfumo dume"Wapuuzeni"

Wakati wa kampeni๐Ÿ‘‡๐Ÿ˜
Baada ya kuingia Ikulu๐Ÿ‘‡๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’
 
Wewe ni mchonganishi tu
Mchonganishi ni Rais ambae wakati wa kampeni anasema kuwa kufunga umeme ni TZS 27,000/= halafu akishaingia Ikulu anabadilika na kudai kuwa gharama ya kufunga umeme ni TZS 500,000/=๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’
 
Mchonganishi ni Rais ambae wakati wa kampeni anasema kuwa kufunga umeme ni TZS 27,000/= halafu akishaingia Ikulu anabadilika na kudai kuwa gharama ya kufunga umeme ni TZS 500,000/=๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’
Bei za bidhaa duniani hazijawahi kuwa static Behaviourist
 
Chawa kindakindaki wa Rais Samia,, njaa mbaya sana

Hawa hawakawii kugeuza maneno awamu nyinginezo!

Utaskia, awamu ya sita , serikali ilikuwa inakopa sana na kuwakandamiza wananchi Tozo zilizo nje ya uwezo wao, for sure,, time will tell
Umenikumbusha ya awamu ya nne masuala ya safari na mikopo Hadi jamaa akasema anatembea huko Ili wajue kuwa nchi Ina Rais mwingine baadaye akasema hakuna nchi inayoendelea bila kukopa
 
Umenikumbusha ya awamu ya nne masuala ya safari na mikopo Hadi jamaa akasema anatembea huko Ili wajue kuwa nchi Ina Rais mwingine baadaye akasema hakuna nchi inayoendelea bila kukopa
Politics is never static
 
Bei za bidhaa duniani hazijawahi kuwa static Behaviourist
Kwa hiyo vitu vikipanda bei mfano Sukari kilo ikawa TZS 10,000/=,nyama kilo moja ikawa TZS 30,000/=,unga wa kula kilo moja ukawa TZS 10,000=, nauli ya daladala ikawa TZS 5000/= na kadhalika kisha Rais akaibuka na kusema kuwa bei za bidhaa duniani hazijawahi kuwa static ndugu wananchi.Ungemuelewa Rais na kuikubali kauli yake hiyo?
 
Back
Top Bottom