Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM ni waongo waongo, mtaletewa hadithi nyingine.
Ni ngumu sana kampuni Saba kudai TZS 1Bl net,CCM ni waongo waongo, mtaletewa hadithi nyingine.
Wanataka kupiga.CCM ni waongo waongo, mtaletewa hadithi nyingine.
😀😀😀😀Wakate deni kwenye kiinua mgongo cha shujaa...maendeleo hayana chama
Siku hizi kuwa muongo muongo nayo ni sifa ya uongozi?CCM ni waongo waongo, mtaletewa hadithi nyingine.
Muongo CCM au hao wazabuni wa kuchongwa?Siku hizi kuwa muongo muongo nayo ni sifa ya uongozi?
😀😀Yes kule ufipaSiku hizi kuwa muongo muongo nayo ni sifa ya uongozi?
Shujaa kila kona ni kumchafua ila itawagharimuWakate deni kwenye kiinua mgongo cha shujaa...maendeleo hayana chama
Uongo ni sifa ya kuwa kiongozi?Muongo CCM au hao wazabuni wa kuchongwa?
Wacha tuhakiki madeni kama ni ya kweli,
CCM sio Chama cha kukosa 1BL,
Wanatafuta namna ya kukwepaCCM ni waongo waongo, mtaletewa hadithi nyingine.
Hao jamaa nia yao kutupiga tu aise,Muongo CCM au hao wazabuni wa kuchongwa?
Wacha tuhakiki madeni kama ni ya kweli,
CCM sio Chama cha kukosa 1BL,
Ccm haina shida, wafanyabiashara waliofukuzwa na Magufuli wamerudi kufadhiri chama !! Kama wakina Rostam wameweza kufadhiri Royal Tour ya matrimoni hawawezi kushindwa kuwalipa billioni moja!!Dawa ya deni ni kulipa!
Ngoja Chama kipate ripoti kwanza, Huenda ni malaghai tuCcm haina shida, wafanyabiashara waliofukuzwa na Magufuli wamerudi kufadhiri chama !! Kama wakina Rostam wameweza kufadhiri Royal Tour ya matrimoni hawawezi kushindwa kuwalipa billioni moja!!
Alijichafua mwenyewe kwa matendo akeShujaa kila kona ni kumchafua ila itawagharimu