Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unazungumzia Bima ya Afya au bima ya nyumba na gari?Rais anayetoa BIMA kwa kila Mtanzania,
Kisha ukishautoa huo ufahamu uupake kinyesi. Hapo utaweza.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila kumtetea huyu bibi inahitaji ujitoe ufahamu haswa.
Msamehe Bwana Sheee, Leo kituo wapi?Mimi huwa ni Mtu mvumilivu sana ila Januwari ameanza kuniboa.
Ingekuwa vema kama ungejibu hoja zake za kijingaHuyu mswahili ni mjinga sn na tapeli
Hasa kuwa Chawa halafu Huna hela ata ya Msosi kama vijana wa UfipaKuwa chawa inatakiwa uwe huna akili nzuri kumbe!
Hasa kuwa Chawa halafu Huna hela ata ya Msosi kama vijana wa Ufipa
Sio kazi aliyoajiriwa Ila Samia anastahili pongezi,Lazima akazane kusifia ndiyo kazi aliyajiriwa...
Zanzibar ni Tanzania so Sema Tanzania oyeeeZanzibar oyee
Zanzibar ni Tanzania so Sema Tanzania oyeee
Rais ambaye umeme unawaka mpaka vijijini hsukatiki.Maji tele kila mahali DsmUnajitoaje Ufahamu.
Rais anatoe elimu bure kindagateni Mpaka kidato cha 06.
Rais anayetoa RUZUKU ya mbolea kwa zaidi ya 150bln
Rais anayefungulia Wapinzani wote toka magerezani akiwe Mbowe.
Rais anayekusanya zaidi TZS 2T za Kodi kwa Mwezi.
Rais anayeongeza mishahara na Madaraja kwa watumishi wote.
Rais anayetoa BIMA kwa kila Mtanzania,.
Yaaani unasema ni kazi kumtetea huyu mtu?
Umeme na maji ni swala la muda tuRais ambaye umeme unawaka mpaka vijijini hsukatiki.Maji tele kila mahali Dsm