Shaka: Rais Samia ameua ndoto za wasaka Urais wote kwa kazi nzuri na kubwa anazozifanya kwa ubunifu na uhodari wake

Shaka: Rais Samia ameua ndoto za wasaka Urais wote kwa kazi nzuri na kubwa anazozifanya kwa ubunifu na uhodari wake

View attachment 2425515

SHAKA ANAANZA KWA KUSEMA KUWA, RAIS SAMIA NI KIOO KINACHOAKISI THAMANI YA TANZANIA NA WATANZANIA,

KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, amesema Rais Samia Suluhu Hassan ni kioo kinachoakisi utu na thamani ya Watanzania.

View attachment 2425517

Shaka ameyasema hayo leo mjini Babati, mkoani Manyara wakati akisalimia wananchi kwenye mkutano wa hadhara uliohutubiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hasaan ambae alikuwa katika ziara ya siku ya mwisho ya ziara yake ya siku mbili mkoani humo.

View attachment 2425518

"Samia Suluhu Hassan ni kioo kinachoakisi utu na thamani ya Watanzania kipaji chake cha siasa, kipaji chake katika uongozi ni chachu ya maendeleo endelevu, lakini ubunifu wake umeleta ari mpya ya kusukuma kasi ya maendeleo ndani ya taifa letu," amesema Shaka.

View attachment 2425521

Shaka anaendelea kwa kusema kuwa Rais Samia kwa Uchapakazi wake tayari ameshaua ndoto nyingi za Wasaka Urais ifikapo Mwaka 2025 kwani kwa Umoja na Mshikamano wetu kama CCM kamwe hatuwezi kumwacha mtu anayefanya mambo makubwa kama Rais Samia Suluhu Hassan.

Shaka anasmea "imekwisha hiyo Tukutane 2030 ishallah kwa Majaliwa ya Mwenyezi Mungu,

Sikiliza hiyo video Mpaka Mwisho

View attachment 2425513
Shaka kazi nzuri Sana
 
Kama amefanya hayo wanayo yasema mbona wanatumia nguvu kubwa kumkingia kifua na kumpigia kampeni kabla hata ya uchaguzi kufika? Waache matendo yake yajieleze kwa uma
Nguvu kubwa ipi?
 
Huyu pusti amekomaa na hiyo point ya urais wa hadi 2030 smells like kuna mgogoro juu ya hilo swal huko CCM.
 
Huyu muenezi vipi? Badala ya kupambana kupunguza damage inayofanywa kwa kukatwa umeme usiku kipindi hiki cha world cup anahangaika na mambo yanayo jisemea yenyewe.
 
Kuwa chawa inatakiwa uwe huna akili nzuri kumbe!
Huyo sio chawa anatekeleza majukumu yake kama mwenezi, Moja ya sharti la kazi yake ni Hilo, so halishangazi Sana,
Ila Kwa wengine kujifanya kutekeleza majukumu ya mwenezi ni uchawa, Kwa sababu Nia yao ni kupata maslahi Yao
 
Huyu muenezi vipi? Badala ya kupambana kupunguza damage inayofanywa kwa kukatwa umeme usiku kipindi hiki cha world cup anahangaika na mambo yanayo jisemea yenyewe.
Kazi ya Waziri wa Nishati itakuwa ni nini?
 
View attachment 2425515

SHAKA ANAANZA KWA KUSEMA KUWA, RAIS SAMIA NI KIOO KINACHOAKISI THAMANI YA TANZANIA NA WATANZANIA,

KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, amesema Rais Samia Suluhu Hassan ni kioo kinachoakisi utu na thamani ya Watanzania.

View attachment 2425517

Shaka ameyasema hayo leo mjini Babati, mkoani Manyara wakati akisalimia wananchi kwenye mkutano wa hadhara uliohutubiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hasaan ambae alikuwa katika ziara ya siku ya mwisho ya ziara yake ya siku mbili mkoani humo.

View attachment 2425518

"Samia Suluhu Hassan ni kioo kinachoakisi utu na thamani ya Watanzania kipaji chake cha siasa, kipaji chake katika uongozi ni chachu ya maendeleo endelevu, lakini ubunifu wake umeleta ari mpya ya kusukuma kasi ya maendeleo ndani ya taifa letu," amesema Shaka.

View attachment 2425521

Shaka anaendelea kwa kusema kuwa Rais Samia kwa Uchapakazi wake tayari ameshaua ndoto nyingi za Wasaka Urais ifikapo Mwaka 2025 kwani kwa Umoja na Mshikamano wetu kama CCM kamwe hatuwezi kumwacha mtu anayefanya mambo makubwa kama Rais Samia Suluhu Hassan.

Shaka anasmea "imekwisha hiyo Tukutane 2030 ishallah kwa Majaliwa ya Mwenyezi Mungu,

Sikiliza hiyo video Mpaka Mwisho

View attachment 2425513
Siasa Ni kipaji kwa kweli. Yaani mtu unakuwa Kama robotic. Yaani ubongo wako unampatia mtu. So hapa hawezi kukosoa hata siku moja kila Jambo yeye Ni zuri ndio ujira wake
 
Siasa Ni kipaji kwa kweli. Yaani mtu unakuwa Kama robotic. Yaani ubongo wako unampatia mtu. So hapa hawezi kukosoa hata siku moja kila Jambo yeye Ni zuri ndio ujira wake
Unataka ukusoe wazo lako mwenyewe, Shaka ni mshauri wa Rais Samia anamkosoje tena badala ya kumshauri?
 
Back
Top Bottom