Shaka: TFS mkimaliza kuwavunja miguu vijana wote nguvu kazi ya Taifa itatoka wapi?

Ngoja wale pinga pinga wakitoka msalani na kuikuta habari hii... lazima watakuja na mawazo tofauti ya kupingana na Shaka. Na la kushangaza zaidi watawatetea wakala wa misitu ilimradi tu waende njia tofauti na ile ya CCM na Serikali yake.
Hilo sio jambo lakupigia porojo zakulalamika kwenye majukwaa wakati sheria na taratibu ziko wazi na wanaofanya hayo wanajulikana na yeye ni kiongozi wa chama chenye serikali yenye hicho chombo.Wakati Tfs wanaingia kwenye mfumo wakijeshi mambo kama hayo tuliyatarijia sasa ilikua ni jukumu la serikali kupitia wizara husika kufunza hao watumishi watende kuendana na sheria za nchi nasio vinginevyo.ila sasa ukiona wanajichukulia sheria mkononi unatakiwa ujue kuna shida mahali na ata wewe iko siku yaweza kukukuta.Wewe endelea kusifia hadi zamu yako yakuvunjwa itakapofika.
 
Ngoja wale pinga pinga wakitoka msalani na kuikuta habari hii... lazima watakuja na mawazo tofauti ya kupingana na Shaka. Na la kushangaza zaidi watawatetea wakala wa misitu ilimradi tu waende njia tofauti na ile ya CCM na Serikali yake.
🀣🀣

BAK na ERYTHROCYTE wao kupinga tu kimsukure.....
 
Komredi Shaka HAKUOKOTWA JALALANI.....
 
Tuendelee kuwatetea wananchi wetu,

Nikweli Shaka ni kiongozi mzuri na nimwadilifu sana ,

#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
Haturudi nyuma.....

Ni DHIMA iliyochukuliwa na serikali sikivu ya awamu ya 6πŸ’ͺ
 
Amekusoma vema mkuu,

Tuendelee kumwombea Rais wetu


#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
 
Swadakta mkuu....πŸ‘
 
#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAI


Mkuu I salute you
 
Wamewashika wangapi na wangapi wamewajibishwa ? Bila kufanya hivyo hizi ni Siasa tu...
 
Ngoja wale pinga pinga wakitoka msalani na kuikuta habari hii... lazima watakuja na mawazo tofauti ya kupingana na Shaka. Na la kushangaza zaidi watawatetea wakala wa misitu ilimradi tu waende njia tofauti na ile ya CCM na Serikali yake.
😍😍😍 Fact aise
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…