Shaka: TFS mkimaliza kuwavunja miguu vijana wote nguvu kazi ya Taifa itatoka wapi?

Shaka: TFS mkimaliza kuwavunja miguu vijana wote nguvu kazi ya Taifa itatoka wapi?

FB_IMG_16307140795615105.jpg
 

Shaka : TFS mkimaliza kuwavunja miguu vijana wote nguvu kazi ya Taifa hili itatoka wapi? | CCM haitakubali watanzania walioko maeneo ya hifadhi kuishi Kama wakimbizi kwenye nchi yao,​


|Kumekuwa na malalamiko ya muda mrefu yanayowahusu wakala wa misitu Tanzania (TFS) kupiga wananchi wetu hadi kuwavunja miguu kwa kisingizo cha kuwakamata na mkaa au kuwabambikizia kesi zisizo na msingi wowote wa kisheria,Kuanzia leo iwe mwanzo na mwisho, Serikali ya Mama Samia imejipambanua tusimamie sheria bila kuleta mateso|manyanyaso na hata udhalilishaji uliopitiliza|

|Chama Cha Mapinduzi kitamuelekeza Waziri Wa Maliasili na Utali Dk Ndumbaro juu ya kadhia hii, Vijana wake wakishawamaliza kuwavunja miguu vijana wote nguvu kazi ya Taifa hili itatoka wapi? Nyakati zote Rais Samia amekuwa akisimama na Wananchi wake kamwe hatuwezi kufumbia macho uchonganishi huu kwa kisingizio eti kuvunja sheria|

|CCM haitakubali kuona wananchi kwenye maeneo ya hifadhi ya misitu wakiishi kama wakimbizi katika kwenye nchi yao. TFS acheni uonevu na unyanyasaji wa wananchi wanaopakana na misitu hususan hapa Jimbo la Ushetu| alisema Shaka

Shaka Hamdu Shaka
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa
Kahama Kampeni CCM.

View attachment 1968067

View attachment 1968068

View attachment 1968070

View attachment 1968071

View attachment 1968072

View attachment 1968074
Huyu mwamba anakuja vizuri Sana kwenye siasa,

Shaka hongera sana mkubwa,

Usirudi nyuma kabisa
 
CCM ni mafisiii..lakini huyu Shaka atleast anaonekana ni kiongozi anayejielewa kwenye haya mambo ordinary..

Kudos kwake.
 

Shaka : TFS mkimaliza kuwavunja miguu vijana wote nguvu kazi ya Taifa hili itatoka wapi? | CCM haitakubali watanzania walioko maeneo ya hifadhi kuishi Kama wakimbizi kwenye nchi yao,​


|Kumekuwa na malalamiko ya muda mrefu yanayowahusu wakala wa misitu Tanzania (TFS) kupiga wananchi wetu hadi kuwavunja miguu kwa kisingizo cha kuwakamata na mkaa au kuwabambikizia kesi zisizo na msingi wowote wa kisheria,Kuanzia leo iwe mwanzo na mwisho, Serikali ya Mama Samia imejipambanua tusimamie sheria bila kuleta mateso|manyanyaso na hata udhalilishaji uliopitiliza|

|Chama Cha Mapinduzi kitamuelekeza Waziri Wa Maliasili na Utali Dk Ndumbaro juu ya kadhia hii, Vijana wake wakishawamaliza kuwavunja miguu vijana wote nguvu kazi ya Taifa hili itatoka wapi? Nyakati zote Rais Samia amekuwa akisimama na Wananchi wake kamwe hatuwezi kufumbia macho uchonganishi huu kwa kisingizio eti kuvunja sheria|

|CCM haitakubali kuona wananchi kwenye maeneo ya hifadhi ya misitu wakiishi kama wakimbizi katika kwenye nchi yao. TFS acheni uonevu na unyanyasaji wa wananchi wanaopakana na misitu hususan hapa Jimbo la Ushetu| alisema Shaka

Shaka Hamdu Shaka
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa
Kahama Kampeni CCM.

View attachment 1968067

View attachment 1968068

View attachment 1968070

View attachment 1968071

View attachment 1968072

View attachment 1968074
Degree ya unafiki. Laanaturah
 
TFS tunawakumbusha.....

Moja ya MAJUKUMU ya AFISA WANYAMAPORI ni:-

Kufuatilia utekelezaji wa miongozo mbalimbali ya uhifadhi wa wanyamapori.

Hapo juu haliko KUVUNJA RAIA MIGUU......
Hapo juu haliko KUUA RAIA WALIPA KODI NA MISHAHARA YENU.......


Kongole kwake komredi El Comandante Shaka Hamdu Shaka👏👊😍

#SiempreJMT
#NchiKwanza
CCM na CCM mnagombania nini enyi wanafiki
 
CCM na CCM mnagombania nini enyi wanafiki
Relax mkuu....

Basi huna hoja yenye mantiki....TFS ni lini ikawa CCM?!!! Khaaa 😲😲

Kweli UPINGAJI huweza kuwa ni kilema cha maumbile......🤣
 
Relax mkuu....

Basi huna hoja yenye mantiki....TFS ni lini ikawa CCM?!!! Khaaa 😲😲

Kweli UPINGAJI huweza kuwa ni kilema cha maumbile......🤣
Kwani ccm si ndio Dola na dola ndio ccm.

Acheni unafiki kujilizaliza watanzania sii wajinga wanajua unafiki mnaofanya
 
Kwani ccm si ndio Dola na dola ndio ccm.

Acheni unafiki kujilizaliza watanzania sii wajinga wanajua unafiki mnaofanya
Bado hujarelax tu mkuu wangu?!!! 🤣

CCM ni chama kilichopewa dhamana ya kuunda SERIKALI....CCM si serikali....ugumu wa kuelewa hilo unatokea wapi kaka?!! 🤣🤣
 
Bado hujarelax tu mkuu wangu?!!! 🤣

CCM ni chama kilichopewa dhamana ya kuunda SERIKALI....CCM si serikali....ugumu wa kuelewa hilo unatokea wapi kaka?!! 🤣🤣
Chama kilipewa dhamana na polisi jeshi na usalama sio wananchi. Ndio maana tunawashangaa hiyo kuhilizaliza ya kinafiki
 
Chama kilipewa dhamana na polisi jeshi na usalama sio wananchi. Ndio maana tunawashangaa hiyo kuhilizaliza ya kinafiki
Naongelea CCM....

Hao wengine ni serikali....

Hebu ona hapa CHINI CCM inapotaka kuongea na TAASISI YA SERIKALI juu ya kadhia za TFS.....
2957590_Screenshot_20211008-160457_1.jpg
 
Back
Top Bottom