ABC ZA 2025
JF-Expert Member
- May 2, 2018
- 1,299
- 832
watu hawafahamu mfumo wa Utawala TanzaniaCCM ndiyo iliyochukua ahadi ya kulinda maslahi ya watanzania.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
watu hawafahamu mfumo wa Utawala TanzaniaCCM ndiyo iliyochukua ahadi ya kulinda maslahi ya watanzania.....
Nimepende namna jamaa alivyoserious aiseNi lazima viongozi wa serikali wajue kuwa tunapozitafuta kura za watanzania tunapata tabu sana....mno kuwashawishi watanzania wenzetu.....mwishowe hutupa DHIMA....hatuwezi kuwasaliti kile WALICHOTUAMINI.....
#SiempreCCM
#NchiKwanza
Mtu haswa💪Nimepende namna jamaa alivyoserious aise
Wewe kwa Nini ukakate miti na kua wanyama pori huku una ngo'ombe wako ama mifugo mwingine kwako? Tuache siasa tuheshimu Sheria ili kulinda urithi wa vizazi vijavyo. Hatuwezi endelea kuwa waharibifu wa mazingira harafu tusifiane, Hilo hapana. Nafikiri ulimwengu kwa Sasa unakabili athari nzito zitokanazo na uharibifu wa mazingira unaotokana na kauli za wanasiasa uchwara Kama huyu. Wananchi tunzeni mazingira yatutunze. Ukukutwa unawinda porini huku umeacha kuku ama mbuzi ama ng'ombe zizini kwako, wewe Ni haki ya pori.Shaka anasiasa safi sana huyu jamaa,
Lazima tuwe na viongozi watakao simama na wananchi wakati wote,
Shaka anahuruma sana ndio maana anaweza kusimama upande wa wananchi
Magemu ni wanyama kabisa hawa watu,
Shaka fukuza hao watu
Kwani ndg.Shaka hayathamini mazingira hayo?!!!Wewe kwa Nini ukakate miti na kua wanyama pori huku una ngo'ombe wako ama mifugo mwingine kwako? Tuache siasa tuheshimu Sheria ili kulinda urithi wa vizazi vijavyo. Hatuwezi endelea kuwa waharibifu wa mazingira harafu tusifiane, Hilo hapana. Nafikiri ulimwengu kwa Sasa unakabili athari nzito zitokanazo na uharibifu wa mazingira unaotokana na kauli za wanasiasa uchwara Kama huyu. Wananchi tunzeni mazingira yatutunze. Ukukutwa unawinda porini huku umeacha kuku ama mbuzi ama ng'ombe zizini kwako, wewe Ni haki ya pori.
Labda kwa kuwa Faru wanatoweka kwa kasi sana hapa nchiniMimi nashangaa sana.Sasa hivi wanyama (Faru/Tembo) wanathaminiwa kuliko binadamu,sijui tunaelekea wapi?gharama ya Matunzo ya Faru Moja hifadhini yanaweza lisha Kijiji kizima!
Tembo nao wanatoka hifadhini.Wanaua watu na kuharibu mazao Yao.Kama wamezidi kwanini wasipunguzwe na kufanywa kitoweo?Labda kwa kuwa Faru wanatoweka kwa kasi sana hapa nchini
Shaka kiungo muhimu sana kwa sasa kati ya chama na serikali, Nahii ndio maana halisi ya" Itikadi na uenezi 'Hao Tfs wamekuwa kama askari wa wanyama pori Kazi yao kukimbizana na watu wa mikaa.
Bora umewasemea wasio na sauti kiongozi
😍😍😍 Fukuza wote wenye hizo tabia tunae rais mchamungu sana wasimuharibie kabisaHao Tfs wamekuwa kama askari wa wanyama pori Kazi yao kukimbizana na watu wa mikaa.
Bora umewasemea wasio na sauti kiongozi
Wanarudishwa hifazini sio kuliwa mkuu wangu 😍😍😍Tembo nao wanatoka hifadhini.Wanaua watu na kuharibu mazao Yao.Kama wamezidi kwanini wasipunguzwe na kufanywa kitoweo?
😍😍😍 Shaka ni mtu na nusuShaka kiungo muhimu sana kwa sasa kati ya chama na serikali, Nahii ndio maana halisi ya" Itikadi na uenezi '
Hao tembo wanaotoka hifadhini na kuvamia makazi ya wananchi bila shaka wanastahili kugeuzwa kitoweo.Tembo nao wanatoka hifadhini.Wanaua watu na kuharibu mazao Yao.Kama wamezidi kwanini wasipunguzwe na kufanywa kitoweo?
Comment of the dayWatu hawashtuki tu Serikali ya Rais Samia niya "UTU" sana, Lazima waache mambo ya kuwabambika watanzania kesi na kuwavunja miguu halikubaliki kabisa,
Shaka amekuwa kiongozi mwenye utu sana nafsini mwake kwenye hili tunamuunga mkono 100%,Tusikubali watu wamchonganishe Rais na wananchi wake,
Chadema shida ni ukata tuCcm wanatumia nguvu kubwa sana kwa uchaguzi wanaoshindana wenyewe kwa wenyewe. Kwa nn lakini?
Nikweli hawana helaChadema shida ni ukata tu
"mfano wa kuigwa" kwenye nini na nani!!??Komredi Shaka ni mfano wa kuigwa.....