Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Kauli ya Shaka kutengua amri ya mkuu wa mkoa inaonesha umuhimu wa ulazima wa katiba mpya, serikali za nchi zenye mfumo wa vyama vingi serikali ndiyo huongoza nchi na wananchi tunatakiwa tuisikilize serikali na si vinginevyo.
Bahati mbaya hivi sasa CCM imejipa jeuri ya kuidharau serikali na kutuaminisha sisi kuwa CCM ndiyo yenye amri zote nchini!
Kitendo cha CCM kinaondoa uhalali wa serikali kuwepo jambo ambalo halina afya kwa taifa.
Pia soma:
Thread 'Shaka apiga ‘stop’ agizo la kuzuia bodaboda, bajaji kuingia katikati ya Mji wa Dar' Shaka apiga ‘stop’ agizo la kuzuia bodaboda, bajaji kuingia katikati ya Mji wa Dar
Bahati mbaya hivi sasa CCM imejipa jeuri ya kuidharau serikali na kutuaminisha sisi kuwa CCM ndiyo yenye amri zote nchini!
Kitendo cha CCM kinaondoa uhalali wa serikali kuwepo jambo ambalo halina afya kwa taifa.
Pia soma:
Thread 'Shaka apiga ‘stop’ agizo la kuzuia bodaboda, bajaji kuingia katikati ya Mji wa Dar' Shaka apiga ‘stop’ agizo la kuzuia bodaboda, bajaji kuingia katikati ya Mji wa Dar