Shaka, tukusikilize wewe na CCM au Serikali?

Shaka, tukusikilize wewe na CCM au Serikali?

Isikilize CCM. CCM ndio walipita mitaani kuomba kura na mkawapa kura, ccm ikaunda serikali

Stup.id!! Ni kweli huwezi kuona hata mantiki ya unachosema?? Kuna sehemu yoyote mwananchi alisema baada ya kupiga kura aongozwe na chama hata baada ya serikali kuundwa? Yaani mwenyekiti wa chama wa wilaya awe juu ya Mkuu wa wilaya??
 
Kauli ya Shaka kutengua amri ya mkuu wa mkoa inaonesha umuhimu wa ulazima wa katiba mpya, serikali za nchi zenye mfumo wa vyama vingi serikali ndiyo huongoza nchi na wananchi tunatakiwa tuisikilize serikali na si vinginevyo.

Bahati mbaya hivi sasa CCM imejipa jeuri ya kuidhsrsu serikali na kutuaminisha sisi kuwa CCM ndiyo yenye amri zote nchini!

Kitendo cha CCM kinaondoa uhalali wa serikali kuwepo jambo ambalo halina afya kwa taifa.

Pia soma:

Thread 'Shaka apiga ‘stop’ agizo la kuzuia bodaboda, bajaji kuingia katikati ya Mji wa Dar' Shaka apiga ‘stop’ agizo la kuzuia bodaboda, bajaji kuingia katikati ya Mji wa Dar
Waliwatukana MABEBERU
 
Watz tusiwe wasahaulifu sana, huyu Shaka ndioyule alituhumiwa na rais kuwa alikula rushwa wakati wakimchagua Meya wa morogoro!!
Taasisi kuuubwa imekutuhumu kuwa mlarushwa Leo anapewa ukatibu uenezi aeneze rushwa ama?? Hahahhahhaaa siasa zetu zakipuuzi kweli.

Utakuta kunamama alisema mimiii mwenezi wangu awe kale katoto ka mologolo kaleee, kanaitwa nani tenaa? kapolekapole hivi,kanamacho mazuri yakurembua hivi mi nakahusdu kale katoto! Em kapeni tupate kukaona bwana...
 
Kauli ya Shaka kutengua amri ya mkuu wa mkoa inaonesha umuhimu wa ulazima wa katiba mpya, serikali za nchi zenye mfumo wa vyama vingi serikali ndiyo huongoza nchi na wananchi tunatakiwa tuisikilize serikali na si vinginevyo.

Bahati mbaya hivi sasa CCM imejipa jeuri ya kuidhsrsu serikali na kutuaminisha sisi kuwa CCM ndiyo yenye amri zote nchini!

Kitendo cha CCM kinaondoa uhalali wa serikali kuwepo jambo ambalo halina afya kwa taifa.

Pia soma:

Thread 'Shaka apiga ‘stop’ agizo la kuzuia bodaboda, bajaji kuingia katikati ya Mji wa Dar' Shaka apiga ‘stop’ agizo la kuzuia bodaboda, bajaji kuingia katikati ya Mji wa Dar
Huyu dogo achukue likizo aende Mombasa akapunguzwe stress
 
Serikali inashikiliwa na ccm kwa sasa maana ndo walio omba dhamana kwa wananchi kwa hiyo ccm km chama kinacho iendesha serikali kikiona viongozi wake wanafanya mambo yasiyo na afya kwenye nchi ama chama lazima wakemeee maaana hata ww mleta mada mambo yakiharibika hutamlaumu mtu bali utaanza kusema ccm ni mbovu.Ni sahihii kabisa alicho fanya shaka tena akemeee kwa nguvu kabisa uonevu wa wananchi maana watakapo kuja kuanza kuomba kura chama ndo kinapata tabu sasa kwa nn wakae kimya huku kuna mtu ambaye wamemuweka wao awaharibie.
 
Kauli ya Shaka kutengua amri ya mkuu wa mkoa inaonesha umuhimu wa ulazima wa katiba mpya, serikali za nchi zenye mfumo wa vyama vingi serikali ndiyo huongoza nchi na wananchi tunatakiwa tuisikilize serikali na si vinginevyo.

Bahati mbaya hivi sasa CCM imejipa jeuri ya kuidhsrsu serikali na kutuaminisha sisi kuwa CCM ndiyo yenye amri zote nchini!

Kitendo cha CCM kinaondoa uhalali wa serikali kuwepo jambo ambalo halina afya kwa taifa.

Pia soma:

Thread 'Shaka apiga ‘stop’ agizo la kuzuia bodaboda, bajaji kuingia katikati ya Mji wa Dar' Shaka apiga ‘stop’ agizo la kuzuia bodaboda, bajaji kuingia katikati ya Mji wa Dar
Historia ya utendaji wa Shaka haumpi kibali cha kuwatetea Wamachinga wala Watanzania kwa ujumla wao. Shaka ana historia chafu ya kupokea rushwa. Hatua iliyo fikia kusimamishwa kazi.
Mama kamuokota huko na kumpa kazi kabla mamlaka hazija msafisha.
Hata sasa yaweza kuwa hawa anao watetea wamempatia kitu kidogo. Mwewe hajaacha kula vifaranga hata siku moja. You better keep kimya Shaka.
 
Kauli ya Shaka kutengua amri ya mkuu wa mkoa inaonesha umuhimu wa ulazima wa katiba mpya, serikali za nchi zenye mfumo wa vyama vingi serikali ndiyo huongoza nchi na wananchi tunatakiwa tuisikilize serikali na si vinginevyo.

Bahati mbaya hivi sasa CCM imejipa jeuri ya kuidhsrsu serikali na kutuaminisha sisi kuwa CCM ndiyo yenye amri zote nchini!

Kitendo cha CCM kinaondoa uhalali wa serikali kuwepo jambo ambalo halina afya kwa taifa.

Pia soma:

Thread 'Shaka apiga ‘stop’ agizo la kuzuia bodaboda, bajaji kuingia katikati ya Mji wa Dar' Shaka apiga ‘stop’ agizo la kuzuia bodaboda, bajaji kuingia katikati ya Mji wa Dar
Serikali ni ya CCM mzee!!!
Ulikimbia Uraia shuleni!?
Chama kinachoshinda uchaguzi ndicho kinachounda serikali.

Serikali haiombi kura Mkuu. Na CCM na viongozi wake ndiyo mabosi wa serikali. Na ndiyomaana hata serikali ikiboronga,kinachobebeshwa mzigo wa lawama ni Chama Cha Mapinduzi(CCM).

Ni ngumu sana kuitenga CCM na Serikali Mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kauli ya Shaka kutengua amri ya mkuu wa mkoa inaonesha umuhimu wa ulazima wa katiba mpya, serikali za nchi zenye mfumo wa vyama vingi serikali ndiyo huongoza nchi na wananchi tunatakiwa tuisikilize serikali na si vinginevyo.

Bahati mbaya hivi sasa CCM imejipa jeuri ya kuidhsrsu serikali na kutuaminisha sisi kuwa CCM ndiyo yenye amri zote nchini!

Kitendo cha CCM kinaondoa uhalali wa serikali kuwepo jambo ambalo halina afya kwa taifa.

Pia soma:

Thread 'Shaka apiga ‘stop’ agizo la kuzuia bodaboda, bajaji kuingia katikati ya Mji wa Dar' Shaka apiga ‘stop’ agizo la kuzuia bodaboda, bajaji kuingia katikati ya Mji wa Dar
Sasa vurugu tu
 
Shida ilianzia pale baada uchaguzi kuporwa kila kitu kikawa hovyo,, kwa sababu waliopita kuanzia ngazi ya wenyeviti wote hovyo, hata baadhi viongozi hawaeliwi wanazungumza nn,, serikali inapishana na serikali-_-- CCM wanabishana wenyewe kwa wenyewe,,
Kweli tunaserikali mbovu!!!
 
Kwa mtindo huu tutegemee vurugu tu kuhusu utendaji wa serikali ya CCM

Hivi chama tawala kinaisimamia vipi serikali yake? Mkuu wa mkoa kwa mfano wa Dar anatoa maagizo bodaboda na bajaji wasiingie mjini halafu katibu mwenezi wa CCM shaka anatoa agizo wakati huohuo uamuzi wa mkuu wa mkoa ni makosa usifuatwe huo ni mwelekeo gani kwenye utawala.

Ni CCM inaongoza nchi mambo ya siku hadi siku au wao wanaotoa sera na dira ya kufuatwa na serikali yao.

Shaka sasa anajipa madaraka ya waziri mkuu na kuleta fujo tu kwenye uongozi wa nchi. Ni mtu hata haelewi mipaka ya majukumu yake.

Kwa macho ya wajuzi wa utawala amejipa majukumu ya katibu mkuu wa CCM na sasa anajipa madaraka ya waziri mkuu. Kiutaratibu chama kupitia Katibu Mkuu wake wangeongee japo na waziri mkuu kuhusu uamuzi wa mkuu wa mkoa kama wangeona kuna kasoro sio kufuta uamuzi wa mkuu wa mkoa.

Shaka anaonekana hana weledi na ana papara na wasiwasi kulinda maslahi binafsi ya kisiasa ya aliyemteua badala ya kuacha watendaji wa serikali wafanye kazi yao
 
Back
Top Bottom