Shaka, tukusikilize wewe na CCM au Serikali?

Shaka, tukusikilize wewe na CCM au Serikali?

CCM ndicho chama kilichounda serikali hivyo viongozi wa chama wanasimamia uwendshaji wa serikali. Hata hivyo Mwenyekiti ndiye msemaji mkuu wa chama. Angesema kwa niaba ya Mwenyekiti angeeleweka.
 
CCM ndicho chama kilichounda serikali hivyo viongozi wa chama wanasimamia uwendshaji wa serikali. Hata hivyo Mwenyekiti ndiye msemaji mkuu wa chama. Angesema kwa niaba ya Mwenyekiti angeeleweka.
Msemaji mkuu wa Chama ni katibu mkuu, si mwenyekiti. Maana katibu mkuu ndiyo mtendaji na Mratibu mkuu wa shughuli za chama.
 
Kuna mijitu sijui shule ilikimbia ama kujaza mi post humu kwani ni chama gani ndo kimeshikilia serikali ama mmetumwa kuja kumchafu kijana.

CCM ndo kiko madarakani huyo mkuu wa mkoa akiharibu halalamikiwi yy ni chama kilichomuamini na kumuweka hapo.

Muwe pia mnasikiliza vizuri kijana kasema wakae washilikiane na kamati mbali mbali walijadili swala hili kwa mapana sio mtu anakaa anatoa maagizo bila kujua madhara yatakayo patikana kwenye maslahi ya taifa na chama.
 
Hizo misheni town tu mkuu usiumize akili. Wanakula keki pamoja wakishiba ndio wanaplan nenda kawashtue baadae nakuja kuwatuliza.
Watu hawajui haya ni maigizo tu kama ya Joti. Unaangalia unayaacha.

Everyday is Saturday................................😎
 
Msemaji mkuu wa Chama ni katibu mkuu, si mwenyekiti. Maana katibu mkuu ndiyo mtendaji na Mratibu mkuu wa shughuli za chama.
Shaka cheo chake ni KATIBU WA NEC, ITIKADI NA UENEZI,

1. KATIBU WA NEC,

2. KATIBU WA ITIKADI ( wamachinga)

3. KATIBU WA UENEZI -hapa ndio uhai wa chama ulipo,
 
Kuna mijitu sijui shule ilikimbia ama kujaza mi post humu kwani ni chama gani ndo kimeshikilia serikali ama mmetumwa kuja kumchafu kijana.CCM ndo kiko madarakani huyo mkuu wa mkoa akiharibu halalamikiwi yy ni chama kilichomuamini na kumuweka hapo.Muwe pia mnasikiliza vizuri kijana kasema wakae washilikiane na kamati mbali mbali walijadili swala hili kwa mapana sio mtu anakaa anatoa maagizo bila kujua madhara yatakayo patikana kwenye maslahi ya taifa na chama.

Wewe ndio ulikataa ''KUSHILIKIANA" na waalimu shuleni
 
CCM ndicho chama kilichounda serikali hivyo viongozi wa chama wanasimamia uwendshaji wa serikali. Hata hivyo Mwenyekiti ndiye msemaji mkuu wa chama. Angesema kwa niaba ya Mwenyekiti angeeleweka.
Chama kinamsemaji mkuu + mtendaji Mkuu
 
Power over power, superiority over superiority
 
Jambo moja tu, BODABODA na MACHINGA watu hawalali. Jeshi la polisi lilitoa tamko kufuatia taarifa za ki-intelijensia kwamba bodaboda wasiingie mjini, mkuu wa mkoa akaona kichwa bado kinauma sababu ya machinga akapindua tamko la polisi.

Shaka akaona Katibu mkuu wa CCM akimtangulia kusema atakosa cha kuongea akadandia kauli ya mkuu wa mkoa, msemaji wa serikali akaona mama akisikia hajaongelea akirudi itakuwa noma, na yeye akasimama juu ya kichwa cha Shaka.

Ukitokea ujambazi wa aina yoyote Posta jeshi la polisi lisilaumiwe. Wao wametumia weledi, wanasiasa wanaomba urafiki na vikundi visivyokuwa kwenye mfumo.
 
Kuna mijitu sijui shule ilikimbia ama kujaza mi post humu kwani ni chama gani ndo kimeshikilia serikali ama mmetumwa kuja kumchafu kijana.CCM ndo kiko madarakani huyo mkuu wa mkoa akiharibu halalamikiwi yy ni chama kilichomuamini na kumuweka hapo.Muwe pia mnasikiliza vizuri kijana kasema wakae washilikiane na kamati mbali mbali walijadili swala hili kwa mapana sio mtu anakaa anatoa maagizo bila kujua madhara yatakayo patikana kwenye maslahi ya taifa na chama.
Wewe mjinga tu wala huelewi namna ya utawala unavyotakiwa kuendeshwa. Ama chama kimeweka viongozi wa ovyo serikali kila wasaa inabidi waingiliwe uamuzi zao na chama. Sasa hiyo si vurugu tu? Sasa kama viongozi wa chama wanajiona wajuzi zaidi kuendesha moja kwa moja serikali basi wangepangana sahihi. Hawa kina shaka wawe wakuu wa mikoa na makala arudi ukatibu mwenezi.
 
Wewe mjinga tu wala huelewi namna ya utawala unavyotakiwa kuendeshwa. Ama chama kimeweka viongozi wa ovyo serikali kila wasaa inabidi waingiliwe uamuzi zao na chama. Sasa hiyo si vurugu tu. Sasa kama viongozi wa chama wanajiona wajuzi zaidi kuendesha moja kwa moja serikali basi wangepangana sahihi. Hawa kina shaka wawe wakuu wa mikoa na makala arudi ukatibu mwenezi.
Kwa hiyo ww na akili ya kuvukia barabara unaona chama kiache tu mambo yaharibike wakati wao ndo wanahangaika kutafuta kura kwa wananchi.Pia nenda kamsikilize vizuri alivyo sema.Mm sio ccm ila kwa hili kijana yuko sawa huwezi ona watu wanakurupuka kutoa maagizo tu huku chama kiko kimya.
 
Back
Top Bottom