Shaka: Tulikotoka ni kuzuri, tuliko ni kuzuri zaidi, tunakokwenda kila mtu atafurahi zaidi ya leo

Shaka: Tulikotoka ni kuzuri, tuliko ni kuzuri zaidi, tunakokwenda kila mtu atafurahi zaidi ya leo

CM 1774858

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2021
Posts
5,621
Reaction score
5,029


MANENO MANENO YASIKUKATISHENI TAMAA, RAIS SAMIA SULUHU HASSAN YUKO IMARA SANA

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, amesema Rais Samia Suluhu Hassan yuko imara, makini na aliyetayari kuwatumikia Watanzania.

Shaka ameyasema hayo leo Novemba 5, 2022, jijini Dar es Salaam alipokuwa mgeni rasmi katika kongamano la kumpongeza Rais Samia kwa kazi kubwa na nzuri anayoifanya kuwatumikia na kuwaletea maendeleo wananchi, lililoandaliwa na Jukwaa la Jamii Mpya na kufanyika katika ukumbi wa PTA Temeke.

"Upo msemo unaosema mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe, niwahakikishie Rais Samia Suluhu Hassan yuko makini, yuko imara na amejawa na utayari wa kuwatumikia Watanzania, manenomaneno yasiwakatishe tamaa, manenomaneno yasiwarudishe nyuma kwa Rais wenu, hakuna kurudi nyuma Rais Samia Suluhu Hassan amesimama imara," amesema.

Mwisho
 
Hapo nyuma kulikuwa na wasiojulikana leo hawapo,

Hapo nyuma hakuna aliyethubutu kumkosoa Rais Leo kutwa kumkosoa Rais,

Hapo nyuma Wapinzani walijazana magerezani leo hakuna mfugwa wa Siasa hata mmoja,

Namengine mengine,

Tutarajie mengi mazuri na Rais Samia
 
Hapo nyuma kulikuwa na wasiojulikana leo hawapo,

Hapo nyuma hakuna aliyethubutu kumkosoa Rais Leo kutwa kumkosoa Rais,

Hapo nyuma Wapinzani walijazana magerezani leo hakuna mfugwa wa Siasa hata mmoja,

Namengine mengine,

Tutarajie mengi mazuri na Rais Samia
Leo Mpaka Lissu analamba asali Mzee, Watanzania tunataka nini?
 
Ukiacha shida ya maji na Umeme nchi yetu inakwenda vizuri Sana
 
View attachment 2407938

MANENO MANENO YASIKUKATISHENI TAMAA, RAIS SAMIA SULUHU HASSAN YUKO IMARA SANA

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, amesema Rais Samia Suluhu Hassan yuko imara, makini na aliyetayari kuwatumikia Watanzania.

Shaka ameyasema hayo leo Novemba 5, 2022, jijini Dar es Salaam alipokuwa mgeni rasmi katika kongamano la kumpongeza Rais Samia kwa kazi kubwa na nzuri anayoifanya kuwatumikia na kuwaletea maendeleo wananchi, lililoandaliwa na Jukwaa la Jamii Mpya na kufanyika katika ukumbi wa PTA Temeke.

"Upo msemo unaosema mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe, niwahakikishie Rais Samia Suluhu Hassan yuko makini, yuko imara na amejawa na utayari wa kuwatumikia Watanzania, manenomaneno yasiwakatishe tamaa, manenomaneno yasiwarudishe nyuma kwa Rais wenu, hakuna kurudi nyuma Rais Samia Suluhu Hassan amesimama imara," amesema.

Mwisho
 

Attachments

  • 07CD38E4-6166-4D65-82A4-B04FA42FF48F.jpeg
    07CD38E4-6166-4D65-82A4-B04FA42FF48F.jpeg
    24.6 KB · Views: 5
Kweli tupo pazuri sana;Bei ya unga 2000/kg,mchele 3000-3500/kg, Maharage 2500-3500,Mafuta ya taa Bei juu nk.
Kazi iendelee!
 
Hapo nyuma kulikuwa na wasiojulikana leo hawapo,

Hapo nyuma hakuna aliyethubutu kumkosoa Rais Leo kutwa kumkosoa Rais,

Hapo nyuma Wapinzani walijazana magerezani leo hakuna mfugwa wa Siasa hata mmoja,

Namengine mengine,

Tutarajie mengi mazuri na Rais Samia
Matajiri waliishi kama mashetani
 
Ukiacha matukio ya uhalifu, panyaroad, ufisadi uliorudi kwa kasi ya kisulisuli, matumizi mabaya ya pesa za uma, kudorora kwa huduma za kijamii, kutojulikana mikopo inachifanyiwa. Aah nchi yetu ipo mahali pazuri sana.
 
Ukiacha matukio ya uhalifu, panyaroad, ufisadi uliorudi kwa kasi ya kisulisuli, matumizi mabaya ya pesa za uma, kudorora kwa huduma za kijamii, kutojulikana mikopo inachifanyiwa. Aah nchi yetu ipo mahali pazuri sana.
Panyaroad wako wapi?
 
Nchi inavyoliwa kilasehemu halafu anatudanganya tuko vizuri?.rais wao anakopa pesa zisizo na tija na zinaliwa na wachache halafu punguwani mmoja wa ccm anaudanganya umma kwamba tuko vizuri?.wabunge wamesema ukweli kabisa kuwa hii awamu imeoza.
 
Tumetoka pazuri kwenye uhakika wa umeme, sasa tuko pazuri zaidi penye mgao wa umeme!
 
View attachment 2407938

MANENO MANENO YASIKUKATISHENI TAMAA, RAIS SAMIA SULUHU HASSAN YUKO IMARA SANA

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, amesema Rais Samia Suluhu Hassan yuko imara, makini na aliyetayari kuwatumikia Watanzania.

Shaka ameyasema hayo leo Novemba 5, 2022, jijini Dar es Salaam alipokuwa mgeni rasmi katika kongamano la kumpongeza Rais Samia kwa kazi kubwa na nzuri anayoifanya kuwatumikia na kuwaletea maendeleo wananchi, lililoandaliwa na Jukwaa la Jamii Mpya na kufanyika katika ukumbi wa PTA Temeke.

"Upo msemo unaosema mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe, niwahakikishie Rais Samia Suluhu Hassan yuko makini, yuko imara na amejawa na utayari wa kuwatumikia Watanzania, manenomaneno yasiwakatishe tamaa, manenomaneno yasiwarudishe nyuma kwa Rais wenu, hakuna kurudi nyuma Rais Samia Suluhu Hassan amesimama imara," amesema.

Mwisho
Huyu Shaka kwakweli anafanya kazi nzuri Sana
 
Hapo nyuma kulikuwa na wasiojulikana leo hawapo,

Hapo nyuma hakuna aliyethubutu kumkosoa Rais Leo kutwa kumkosoa Rais,

Hapo nyuma Wapinzani walijazana magerezani leo hakuna mfugwa wa Siasa hata mmoja,

Namengine mengine,

Tutarajie mengi mazuri na Rais Samia
haya yawafikie BAVICHA
 
Back
Top Bottom