Shaka: Tumeahidi ajira milioni 8 kwenye Ilani ya CCM, tumetoa Tshs 157.8 Bilioni kwa ajili ya ukarabati wa bandari ya Mtwara

SIASA SIASANI ANACHOONGEA HAKITOKI MOYONI...BADO SANA BONGO.
 
Hawa ndio aina ya viongozi CCm inapaswa kuwatunza. Wamekulia chamani na sio Mamluki kama wengine. Wamewekwa pembeni kidogo wameanza mipasho na kujifanya wakosoaji.

Kwa mwenendo wa Shaka naamini chama kinaandaa viongozi makini wa Sasa na baadae. Aendelee kuchapa kazi. Na hasa aweke msisitizo kwenye hiyo bandari ya kimkakati inayoweza kuhudumia Tz,Malawi,Zambia na Kaskazini ya Msumbiji.
 
Ooh yes! Alitakiwa Shaka afanye haya;

1. Amwite mkandarasi na msimamizi wa mradi

2. Aombe program of work, je hela zimekuja, kitu gani kinakwamisha, na hatua achukue hapohapo

..mkandarasi anapokea maagizo toka kwa mamlaka iliyosaini mkataba naye, na hapo inawezekana ni mamlaka ya bandari Tanzania.

..shaka hana utaalamu unaomuwezesha kukagua mradi wa ujenzi wa bandari. nashauri kazi na maamuzi ya kitaalamu tuwaachie wataalamu.
 
Shaka nilitegemea unakuta mradi unasua sua maamuzi yanachukuliwa. Lakini kufoka haitosaidia. Unaondoka hapo wanarudi kule kule.
Ahahahaa hapa ndipo unasema tumkumbuke Legendary late Pombe, tunajua nini kingefuata baada ya kusuasua...
 
Mlituambia kuwa wapinzani ndio wanawakwamisha kuleta maendeleo na mkafanya figisu kwenye uchaguzi mkawa wenyewe, sasa malalamiko ya nini tena?
 
Mwanamke wa kwanza kuhutubia baraza kuu la Umoja wa Mataifa la 76 tangu tupate uhuru ni Mama Samia Suluhu Hassan,

We Proud on you Mama
_________________________

 
Shaka fukuza hao wezi,

Acha kucheka na kima,

Fukuza majizi,

Kamata majizi,

____________________________________
Shaka yeye anawakilisha chama tawala CCM maamuzi ya kufukuza ni ya Kiserikali zaidi hapo Shaka ni kuwataka au kupendekeza hatua zaidi kwa wenye dhamana za uteuzi kutengua na kufukuza, au mimi ndio sielewi mambo ya kiutawala?

#Mama 2025
 


nakubaliana na wewe 100%
Shaka ni hazina sana,
 
πŸ’ͺπŸ‘ŠπŸ‘‹πŸ‘πŸ˜
 
Huyu naye si alipataga kashfa ya ugasho ....
 
Nami nasubiri majibu hapa, anakagua miradi ya serikali kama nani.
Katibu mwenezi wa CCM chama ambacho ilani yake inafanyiwa kazi nchi nzima kwa sasa. Kwa maneno mengine huyo ni bosi kivuli wa serikali yote iliyo madarakani kwa sasa.
 
[|Kazi anazofanya Rais Samia zinaacha alama kwa kikazi hiki na kizazi kijacho,

Hongera sana Mama Samia wetu, ]|
 
Katibu mwenezi wa CCM chama ambacho ilani yake inafanyiwa kazi nchi nzima kwa sasa. Kwa maneno mengine huyo ni bosi kivuli wa serikali yote iliyo madarakani kwa sasa.
Kwenye muundo wa serikali, yeye ni nani? Wadhifa wake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…