Mzee makoti
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 3,482
- 4,673
Exactly, wapigwe chini wote, ibakie ccm asili ya watoto wa mjiniKumbe,sasa tutawapiga chini Ili wasake Urais vizuri na wakaoneahe huo umuhimu wao Kwa wananchi sawa mkuu,stay tuned.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Exactly, wapigwe chini wote, ibakie ccm asili ya watoto wa mjiniKumbe,sasa tutawapiga chini Ili wasake Urais vizuri na wakaoneahe huo umuhimu wao Kwa wananchi sawa mkuu,stay tuned.
Kwamba falsafa haina uhusiano na dining (imani)Hapana sina maana hiyo. Maono au Falsafa haina uhusiano na Dini wala Kabila ila yana uhusiano na natural ability.
Nataka Takwimu za Miezi 6 ya Mkapa na Magufuli sio blaa blaa zako hizo kama ramliPengine kipindi Mkapa anaingia madarakani ulikuwa mtoto wa miaka 2 hujashuhudia uongozi wa mzee Mwinyi na Mwalimu Nyerere ni kuwa umewasoma na kusimuliwa halafu unataka nipoteze mda wangu Hahahaa dah.
Vilaza wa chama dola ni laana kwa taifa.Kwa nini kila kitu mnasingizia wasaidizi? Kila mtu abebe msalaba wake.
Mbona kwenye mema hamsemi yamefanywa na wasaidizi wake?
Ajue mipaka ya kazi yake,inatosha kusema "Mwenyekiti" na si Rais.Mambo ya Rais yana msemaje wake!!SHAKA: TUTEGE MASIKIO TAREHE 09 RAIS ANA JAMBO KWA WATANZANIA.
Katibu wa NEC - Itikadi na Uenezi Ndg. Shaka Hamdu Shaka amesema mpaka kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2025 Ilani ya Uchaguzi ya 2020/25 itakua imetekelezwa kwa zaidi ya asilimia 100 kwa namna Mwenyekiti wetu na Rais wa Tanzania Ndg. Samia Suluhu Hassan alivyo na utayari na umakini kwa watanzania.
Pamoja na hayo, Shaka amesema watanzania watege sikio tarehe 09 Oktoba Dodoma, Rais ana jambo la kuwaambia watanzania.
#KaziIendelee
#TunaImaniNaSamia
View attachment 1967228
Huu uongo wa kibwege wa kusingizia wasaidizi mtatudanganya hadi lini ?Mama samia anafalsafa nzuri Sana tatizo lipo kwa wasaidizi wake
Mna chuki na Samia sababu ya dini yake kumbe kenge nyinyi, inawauma akivaa ushungi??;Wewe Leta za mvaa Maushungi kwa hapa nami nitakuletea za Magufuli na Mkapa unalinganisha wanaume wenye guts na huyu Maushungi very funny.
Hey dude umepata Breakfast ya maana kweli au umeamkia viporo vya jana kwahiyo vinalisumbua tumbo lako Hahahaa.Mna chuki na Samia sababu ya dini yake kumbe kenge nyinyi, inawauma akivaa ushungi??;
Furaha yako avae umini kichwa wazi Kama nyinyi!!?
Na mwaka 2035 akimaliza Samia, Ni zamu Ya January Makamba, au Ridhiwani Kikwete,
Tumejifunza mkiongoza Nchi mnakuwa na roho mbaya Sana!!
Nadharia kama hizi ni rahiis sana kuziandika, ugumu upo katika utendaji.Ukiona wasaidizi wanakuangusha na wewe uko hai ina maana uwezo wako unakuwa mdogo kulinganisha na wa hao wasaidizi.
Nadhani dude kala vizuri tu breakfast yake, tatizo ni dharau zilizoko ndani ya ujumbe wa maandishi yako.Hey dude umepata Breakfast ya maana kweli au umeamkia viporo vya jana kwahiyo vinalisumbua tumbo lako Hahahaa.
Utakimbia wewe mjinga mwenye chuki Samia hamuwezi..Wewe Leta za mvaa Maushungi kwa hapa nami nitakuletea za Magufuli na Mkapa unalinganisha wanaume wenye guts na huyu Maushungi very funny.
Hizo chuki zako za kidini kwa Samia zitakughalimu afya yako, Kuvaa kwake ushungi kunakukera ,unataka avae Rozali!!Hey dude umepata Breakfast ya maana kweli au umeamkia viporo vya jana kwahiyo vinalisumbua tumbo lako Hahahaa.