Shaka: Watanzania watege sikio tarehe 09 Oktoba Dodoma, Rais ana jambo la kuwaambia watanzania

Shaka: Watanzania watege sikio tarehe 09 Oktoba Dodoma, Rais ana jambo la kuwaambia watanzania

Rais wetu yuko vizuri sana.
Mungu atupe nini,
Hakika Rais Samia Suluhu Hassan ni ZAWADI kutoka kwake Mungu muumba.
Watanzania wote tunasema Ahsante sana Mungu.
 
Pengine kipindi Mkapa anaingia madarakani ulikuwa mtoto wa miaka 2 hujashuhudia uongozi wa mzee Mwinyi na Mwalimu Nyerere ni kuwa umewasoma na kusimuliwa halafu unataka nipoteze mda wangu Hahahaa dah.
Nataka Takwimu za Miezi 6 ya Mkapa na Magufuli sio blaa blaa zako hizo kama ramli
 
Kwa nini kila kitu mnasingizia wasaidizi? Kila mtu abebe msalaba wake.

Mbona kwenye mema hamsemi yamefanywa na wasaidizi wake?
Vilaza wa chama dola ni laana kwa taifa.

#MaendeleoHayanaChama
 
SHAKA: TUTEGE MASIKIO TAREHE 09 RAIS ANA JAMBO KWA WATANZANIA.

Katibu wa NEC - Itikadi na Uenezi Ndg. Shaka Hamdu Shaka amesema mpaka kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2025 Ilani ya Uchaguzi ya 2020/25 itakua imetekelezwa kwa zaidi ya asilimia 100 kwa namna Mwenyekiti wetu na Rais wa Tanzania Ndg. Samia Suluhu Hassan alivyo na utayari na umakini kwa watanzania.

Pamoja na hayo, Shaka amesema watanzania watege sikio tarehe 09 Oktoba Dodoma, Rais ana jambo la kuwaambia watanzania.

#KaziIendelee
#TunaImaniNaSamia
View attachment 1967228
Ajue mipaka ya kazi yake,inatosha kusema "Mwenyekiti" na si Rais.Mambo ya Rais yana msemaje wake!!
 
Yaan Ni sawa na kusema uchumi umekua kwenye makaratasi...wananchi mtaani maeneo mengi malalamiko Ni mengi ikiwemo vitu kupanda Bei kwa kweli hawamwelewi mama..Sasa ndio aje na story za kujenga madarasa sijui blala blaaa wananchi HAWAMWELEWI

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Wewe Leta za mvaa Maushungi kwa hapa nami nitakuletea za Magufuli na Mkapa unalinganisha wanaume wenye guts na huyu Maushungi very funny.
Mna chuki na Samia sababu ya dini yake kumbe kenge nyinyi, inawauma akivaa ushungi??;

Furaha yako avae umini na kichwa wazi Kama nyinyi!!?

Na mwaka 2035 akimaliza Samia, Ni zamu Ya January Makamba, au Ridhiwani Kikwete,

Tumejifunza mkiongoza Nchi mnakuwa na roho mbaya Sana!!
 
Mna chuki na Samia sababu ya dini yake kumbe kenge nyinyi, inawauma akivaa ushungi??;

Furaha yako avae umini kichwa wazi Kama nyinyi!!?

Na mwaka 2035 akimaliza Samia, Ni zamu Ya January Makamba, au Ridhiwani Kikwete,

Tumejifunza mkiongoza Nchi mnakuwa na roho mbaya Sana!!
Hey dude umepata Breakfast ya maana kweli au umeamkia viporo vya jana kwahiyo vinalisumbua tumbo lako Hahahaa.
 
Wewe Leta za mvaa Maushungi kwa hapa nami nitakuletea za Magufuli na Mkapa unalinganisha wanaume wenye guts na huyu Maushungi very funny.
Utakimbia wewe mjinga mwenye chuki Samia hamuwezi..

Nataka tuanze na kipindi cha miezi 6..twende Kazi 👇

Screenshot_20211008-113955.png


Screenshot_20211008-114028.png


Screenshot_20211008-114104.png


Screenshot_20211008-114130.png


IMG-20210717-WA0000.jpg
 
Hey dude umepata Breakfast ya maana kweli au umeamkia viporo vya jana kwahiyo vinalisumbua tumbo lako Hahahaa.
Hizo chuki zako za kidini kwa Samia zitakughalimu afya yako, Kuvaa kwake ushungi kunakukera ,unataka avae Rozali!!
 
Back
Top Bottom