Shaka Zulu alichinja zaidi ya watu 7000 ndani ya mwaka mmoja tu

Shaka Zulu alichinja zaidi ya watu 7000 ndani ya mwaka mmoja tu

Aisee
Akili za kiafrika zimekaa hovyohovyo tu, kuna mfalme mwingine wa Afrika kusini alikulia katika mazingira ya umasikini basi akaamuru raia wake wote nao pia wawe masikini, na ole wako ujifanye tajiri atahakikisha unaishi kama mashetani.

Maendeleo hayana chama

Hit direct to the Ntonku
 
hahaahaaa
Akili za kiafrika zimekaa hovyohovyo tu, kuna mfalme mwingine wa Afrika kusini alikulia katika mazingira ya umasikini basi akaamuru raia wake wote nao pia wawe masikini, na ole wako ujifanye tajiri atahakikisha unaishi kama mashetani.

Maendeleo hayana chama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[QUOTE="

Shaka Zulu Alikua Anampenda Sana Sana Mamayake Mzazi *'Nandi *kaBhebhe' Kiasi Kwamba Mamayake Huyo Alipofariki October 10, 1827, Shaka Akaanza Kufanya Mauwaji!.
Hilo jina la mama yake Lina uhusiano wowote na la mwanamziki wetu?
Sijui

Sent from my Huawei Mate X using Tapatalk
 
Akili za kiafrika zimekaa hovyohovyo tu, kuna mfalme mwingine wa Afrika kusini alikulia katika mazingira ya umasikini basi akaamuru raia wake wote nao pia wawe masikini, na ole wako ujifanye tajiri atahakikisha unaishi kama mashetani.
Maendeleo hayana chama
Huyo atakuwa na nasaba na malkia,nimekusamehe ocd rudi kazini.
 
Akili za kiafrika zimekaa hovyohovyo tu, kuna mfalme mwingine wa Afrika kusini alikulia katika mazingira ya umasikini basi akaamuru raia wake wote nao pia wawe masikini, na ole wako ujifanye tajiri atahakikisha unaishi kama mashetani.

Maendeleo hayana chama
ahaaa nimrmkumbukaa
 
we shauri yako utakuja kukutana na Mabeyo

unamnanga mfalume Shaka
Hahahaaaa Mambo ya Zulu Natal hayo dada Hijja,
Ila siku nyingine usiwe unapiga picha huku umenuna sana banaaaa, jitahidi uwe unatabasamu japo kidogo tu.

Maendeleo hayana chama
 
Hahahaaaa Mambo ya Zulu Natal hayo dada Hijja,
Ila siku nyingine usiwe unapiga picha huku umenuna sana banaaaa, jitahidi uwe unatabasamu japo kidogo tu.

Maendeleo hayana chama
mimi ni mwanamke wa chuma sinaga tabasam mara nyingi midume inanipitia mbali Kwer kwer
 
mimi ni mwanamke wa chuma sinaga tabasam mara nyingi midume inanipitia mbali Kwer kwer
Hahahaaa kwa hio na wewe ni jiwe kweli kweli?
Ila kwa macho tu Hijja unaonekana kabisa wewe ni mrembo haswaaa tena ni mwenye kujitambua.

Maendeleo hayana chama
 
Akili za kiafrika zimekaa hovyohovyo tu, kuna mfalme mwingine wa Afrika kusini alikulia katika mazingira ya umasikini basi akaamuru raia wake wote nao pia wawe masikini, na ole wako ujifanye tajiri atahakikisha unaishi kama mashetani.

Maendeleo hayana chama
Si umtaje tu kuwa ni Jiwe bana, unafichaficha nini!
 
Baada ya Ujauzito Mamayake Alitoroka na Kwenda Kuishi Milimani Pekeake Kwani Iliamriwa Mtoto Akizaliwa Auwawe Kwasababu Iliaminika kuwa Angekua Mkosi katika Kabila lao Kutokana na Baba Yake Kuwa Kabila Tofauti.

Na kweli alikuwa mkosi katika jamii hiyo.
 
Angalia vizuri Mkuu. Hapo mwisho kuna Hash tag
Mkuu kastory kako kana ukweli mtupu nimeingia Wikipedia ndipo napo wameeleza hivyo na ndicho kifo cha Mama yake Mzazi (hapo ndipo nduguze Shaka Dingane and Mhlangana, Shaka's half-brothers, wakamuua)
Shaka had made enough enemies among his own people to hasten his demise. It came relatively quickly after the death of his mother Nandi in October 1827, and the devastation caused by Shaka's subsequent erratic behavior. According to Donald Morris, Shaka ordered that no crops should be planted during the following year of mourning, no milk (the basis of the Zulu diet at the time) was to be used, and any woman who became pregnant was to be killed along with her husband. At least 7,000 people who were deemed to be insufficiently grief-stricken were executed, although the killing was not restricted to humans: cows were slaughtered so that their calves would know what losing a mother felt like.[11]
 
Back
Top Bottom