Shaka Zulu alichinja zaidi ya watu 7000 ndani ya mwaka mmoja tu

... ili kila mtu asikie maumivu ya umaskini aliokulia kama naye alivyokuwa ana-feel!
 
Usitudanganye wewe, unadhani sote ni dot com hatusomi vitabu eeh!Amazulu=Zulu ni neno lililobuniwa na Shaka baada ya kupigana na kushinda Vita nyingi. Sasa mama yake angeitwaje mzulu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Na hata hiyo story ya kuwa alikuwa anauwa wanawake waliojifungua na wajawazito imekaa kifitina fitina tu. Yeye alikuwa muuaji hasa kwa wale ambao alikuwa anapigana nao vitani. Ziko documentaries za Shaka Zulu.
 
Ila huyu jamaa kichwani hakuwa sawa. Alikuwa ni mental case.
 
achene kuchafua heroes wenu. wazungu hawajawahi kuchafua heroes wao, instead huwa wanadiliki hata kudanganya historia ili waonekane bora, ila waafrika hata kile kidogo kizuri tulichonacho bado tunaponda, tuna nn sisi.
 
Makaburu walikua sahihi kuinyoosha South Africa, Watu weusi ni watu wa ajabu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…