Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenzetu hawashindwi ukitaka uone tabia za wazungu utazipata kwenye porn kuna baadhi ya Porn zinaakisi maisha halisi ya wazungu utakuta mara stepmom seduces stepson,mara familia wanapiga group sex hayo ni mambo ya kawaida sana kwa wenzetu...kule kuna open Marriage ambapo mnafunga ndoa lakini mwanamke akimiss dushelele la mchepuko anakwambia kabisa naenda kwa fulan kuchakatana kwa muda wa miaka kadhaa then nitarudi kwako tuendelee na ndoa yetu😁Mnapiga story mwishowe anakwambia vipi mwanaume sii tupige group sex uje na mkeo 🤣🤣🤣🤣
Tupe pic yake tumu-assesDah! Nkitafakari yale mauno na sauti ya shakira, duh.. genye mbaya sana.
Ukiona dem aliepita nae, ni wa kawaida sana japo traqo lipo kiasi chake.
Kadiri unavyokuwa na pesa ndivyo kiwango cha uchepukaji kinaongezeka kwa sisi wanaume chukua hiyo.Siku ukiona mumeo amedaka mkwanja mrefu kaa chonjoHuu mwaka ni wa kuachana, Yani mkivuka Desemba wewe na mai wako hamjaachana mshukuru...
Kama imefeli ndoa ya Bill Gates na mihela yake, huku Shakira na miuno yake....Sisi ni nani tusiachane.🤣
Kama umemuoa ndio utajua masuala ya divorce settlement , jinsi gani utampa alimony na child support kila mwezi dadekiWazungu hawatakagi purukushani mkishindwana kila mmoja anashika 50 zake
Hulka yetu wanaume ni moja tu... Ndoa haiwezi kuwa na ustawi ikiwa mke hatulii nyumbani. Huyo shakira utaskia leo yupo colombia, mara argentina,mara USA then kwenye tour japan,china ,australia n.k halafu mumewe yupo zake daily jijini barcelona, jiji la vimwana, jiji la starehe kupita spain yote, jiji lenye watoto wakali huyo bibi kizee shakira mwenyewe anasubiri...watoto wakali kutoka latin america wanahamia barcelona kwenda kutafuta life...Piq ndo kazingua anademu timu ya Barcelona wanawake ,nimchezaji
Shakira ajiulize tu , je anatulia nyumbani au kutwa kiguu na njia kwenye tours zake za mziki duniani? Wanaume vichupa vikijaa huwa hatuna kitu kinaitwa kuvumilia, yaani pique daily anakula anashiba, anarudi mazoezini akae tu mpweke nyumbani wakati mkewe anazunguka kwenye tours huko south n nothern america?Lakin usalit inaonekana n jins
Gani unawaumiza Sana wanawake
Akigundua umemcheat na alikupenda
N ngumu Sana kuvumilia hayo mahusiano
Mapenzi ni zaidi ya viuno.. Tendo linachukua muda Mchache mnoo, kuna vingi hapo kati vya msingi zaidi..Huu mwaka ni wa kuachana, Yani mkivuka Desemba wewe na mai wako hamjaachana mshukuru...
Kama imefeli ndoa ya Bill Gates na mihela yake, huku Shakira na miuno yake....Sisi ni nani tusiachane.[emoji1787]
Mwenye masikio na asikie!Mapenzi ni zaidi ya viuno.. Tendo linachukua muda Mchache mnoo, kuna vingi hapo kati vya msingi zaidi..
Pesa.... [emoji848] Yes, pesa ni catalyst, pesa ni oil, ni muhimu sababu nature ya mwanadamu anapenda raha, ila nayo si kila kitu.
Penzi linoge ni majumuisho ya vitu kibwena, ila na pesa isikosekane, huu ni ukweli ambao sisi masikini wengi hatupendi kuusikia.
Hujawahi kumchukulia Sheria mkononi?🤣Kila nikivuta viuno vya kwenye video ya nyimbo beautiful liar natamani kumuonja Shakira,
Ukimzingua nzungu hajali cha Tina watoto wala Nini!! Tugawane Kila mmoja ajue 50 zakeKama umemuoa ndio utajua masuala ya divorce settlement , jinsi gani utampa alimony na child support kila mwezi dadeki
Hilo dem zee la nini eti nalo linaacha me kijana Loool! ningekuwa mie nakupa na nauri!!...ila nitajifanya kulia kidogo ili uone unanikomoa! lkn moyoni najua ndo mazimaaaaa!!Yale Yale..kuingia kwenye mahusiano kutokana na shinikizo la genye*
Anyway Shakira bado mrembo miaka 45! Lakini kama binti wa miaka 24!
Hilo dem zee la nini eti nalo linaacha me kijana Loool! ningekuwa mie nakupa na nauri!!...ila nitajifanya kulia kidogo ili uone unanikomoa! lkn moyoni najua ndo mazimaaaaa!!
hunijui sikujui ..........come what may!!!........ ukipita hivi mie npita hivi sinahabari kabisaa!1 nitazaa kivingine lkn pia hutajua kulikoni!