Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Mkuu wengine walioiba kwa mfano wanatakatisha pesa zao kwa matajiri wakubwaWatu wengi waoga kuwekeza ndio maana mtu analipwa mshahara lakini bado ana hali mbaya, kwanini asingewekeza kupitia mshahara wake
Kweli mkuuMkuu wengine walioiba kwa mfano wanatakatisha pesa zao kwa matajiri wakubwa
Magu alifunga money exchange na kipitia zote kwa sababu wengi ndio wwlikowekeza na wanajuana
Money laundering tu ndio wanajua
Wabongo kufungua kampuni na kuajiri watu 100 ni ndoto na sababu zenyewe ni kuwa wengi hawana exposure na kuwaza mbele
Hawezi kusema aweke akiba miaka hata 10 halafu afanye cha maana
Anauza ekari moja
Shamba heka 20 linauzwa Kikongo Mlandizi, ni sehemu nzuri sana kwa biashara na kilimo, eneo lina rotuba ya kutosha. Unaweza kulima mazao yote ya ukanda wa joto.
Pia unaweza kuwekeza katika miradi ya ufugaji, makazi nakadhalika. Fursa ni nyingi sana kuna miradi mikubwa inaendelea ikiwemo viwanda nakadhalika.
Bei ni Milioni 80 maongezi yapo.
Umbali kutoka Mlandizi Stand ni chini ya Kilometers nane.
Mawasiliano 0623745875
Hili lipo upande upi hapo kikongo?
Shamba heka 20 linauzwa Kikongo Mlandizi, ni sehemu nzuri sana kwa biashara na kilimo, eneo lina rotuba ya kutosha. Unaweza kulima mazao yote ya ukanda wa joto.
Pia unaweza kuwekeza katika miradi ya ufugaji, makazi nakadhalika. Fursa ni nyingi sana kuna miradi mikubwa inaendelea ikiwemo viwanda nakadhalika.
Bei ni Milioni 80 maongezi yapo.
Umbali kutoka Mlandizi Stand ni chini ya Kilometers nane.
Mawasiliano 0623745875
Karibu na hapo Wiwandani, ukifika Viwandani umefika mkuu, watu wamechangamkia maeneo haya baada ya kuona neema inakujaHili lipo upande upi hapo kikongo?
Kama unaelekea sangwe,mzenga,soga au ruvu?
Na kutoka eneo la viwanda la Mama Samia ni umbali gani?
Sio hilo mkuuIpo Boss njoo tufanye biashara, eneo zuri sana hili
Ahsante ngoja nijaribu kuongea na wadau wangu kama wapo interested kwa sasa.Karibu na hapo Wiwandani, ukifika Viwandani umefika mkuu, watu wamechangamkia maeneo haya baada ya kuona neema inakuja
Hata wakinunua hawatoibeba kwenda nayo China.Yaani serikali inaruhusu Wachina kununua ardhi? Tumekwisha! Katiba mpya ije mapema maana wajukuu zetu watakuwa wanalala barabarani
Ni wap hapo unapopazungumzia?Karibu na hapo Wiwandani, ukifika Viwandani umefika mkuu, watu wamechangamkia maeneo haya baada ya kuona neema inakuja