The BornAgain
JF-Expert Member
- Jun 23, 2024
- 428
- 582
Habari,
Kwa niaba ya ndugu yangu, wanauza eneo la shamba kubwa kwa uwekezaji wa kilimo.
1) Wapi? Ngalanga, njombe vijijini
2) Ukubwa? Ekari 100+
3) Umbali toka barabara kuu: 5km
4) Hali yake: halijalimwa mda kidogo
5) Bei?...600k kwa ekari 1 na linauzwa lote kwa pamoja sio kwa ekari moja
6) Linafaa kwa kilimo cha miti, parachichi, chai, viazi mviringo nk
Kwa Mwekezaji seroous, hili eneo zuri sana kwa mikakakti ya kilimo, udongo wake una rutuba asili kabisa..barabara kufika hapo ipo, maji sio tatizo, kuna mto karibu
Ni eneo lenye gentle slope na sehem zingine tambarare. (Kwa aliye serious tutapima kwa GPS bila shaka ila ni zaidi ya ekar 100). 0652656565
Kwa niaba ya ndugu yangu, wanauza eneo la shamba kubwa kwa uwekezaji wa kilimo.
1) Wapi? Ngalanga, njombe vijijini
2) Ukubwa? Ekari 100+
3) Umbali toka barabara kuu: 5km
4) Hali yake: halijalimwa mda kidogo
5) Bei?...600k kwa ekari 1 na linauzwa lote kwa pamoja sio kwa ekari moja
6) Linafaa kwa kilimo cha miti, parachichi, chai, viazi mviringo nk
Kwa Mwekezaji seroous, hili eneo zuri sana kwa mikakakti ya kilimo, udongo wake una rutuba asili kabisa..barabara kufika hapo ipo, maji sio tatizo, kuna mto karibu
Ni eneo lenye gentle slope na sehem zingine tambarare. (Kwa aliye serious tutapima kwa GPS bila shaka ila ni zaidi ya ekar 100). 0652656565