MnolelaKorosho
Member
- Nov 19, 2019
- 9
- 6
Mambo mengine ni very personal, huhitaji hata kujua! Kama unayo pesa - ingia kwenye biashara - blaaa blaaa za nini?!Sababu za kuuza ni zipi?
Kwanini unauza?
Kama nilivyo mueleza Mtamba wa Panya, haya mambo ni very personal! Mwaga mihela kama unazo na biashara iendelee! Maneno maneno ya nini Sky Eclat!?Kwanini unauza?
Asante kwa kuwa mwelewa na kunielewa mimi. Asante sana.Kama nilivyo mueleza Mtamba wa Panya, haya mambo ni very personal! Mwaga mihela kama unazo na biashara iendelee! Maneno maneno ya nini Sky Eclat!?
Lipo Mnolela, LindiKilometer nne maanake liko nyuma ya mtange?hapo nikidhani NI mashamba ya chumvi pekee?
Anha karibu na madwanga kutoka mnazimmojaLipo Mnolela, Lindi
Punguza kiburi, sio vibaya mtu kujua sababu ya kuuza, itakugharimu nini ukijishusha na kusema umetingwa! Sio lazima useme moja moja tatizo lako, umepewa akili itumie vizuri.Mambo mengine ni very personal, huhitaji hata kujua! Kama unayo pesa - ingia kwenye biashara - blaaa blaaa za nini?!
Sawa kwa mawazo yako, hakuna anayekukatalia kusema upendavyo, kwani "akili ni nywele na kila mtu ana zake"; ila kama mwenye uzi angetaka ujue sababu za kuuza mali yake ANGESEMA! Kunyamaza kwake ni dalili ya kuweka SIRI MAMBO YAKE. Kuwa mwelewa. OK hata sasa ukijua sababu ya uamuzi huo - SO WHAT!? Itashusha au itabandisha bei ya hilo shamba!?Punguza kiburi, sio vibaya mtu kujua sababu ya kuuza, itakugharimu nini ukijishusha na kusema umetingwa! Sio lazima useme moja moja tatizo lako, umepewa akili itumie vizuri.
Ndio kabla hujafika MadangwaAnha karibu na madwanga kutoka mnazimmoja