kipoma
JF-Expert Member
- Aug 27, 2012
- 370
- 296
Habari, Shamba linauzwa eneo la Ismani mkoa wa Iringa, ukanda huu sehemu nzuri sana kwa uwekezaji wa mifugo, maeneo haya mifugo inazaliana sana na kukua kwa haraka ukilinganisha na kanda zingine hasa zenye baridi. Ukanda huu una joto hivyo mifugo haikubwi na milipuko ya magonjwa. Ukihitaji shamba wasiliana nami kuanzia Ekari 1 hadi Ekari 40 utapata.
Wekeza Ukanda wa Ismani hutojutia kabisa.
0765002532
Wekeza Ukanda wa Ismani hutojutia kabisa.
0765002532