pangatulale makoga
Member
- Jun 22, 2022
- 38
- 15
- Thread starter
- #21
Ni kweli liliyumba miezi ya hapa katikati lakini lipo linarudi kwenye mstariHali imeyumba kidogo sio km mwanzo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli liliyumba miezi ya hapa katikati lakini lipo linarudi kwenye mstariHali imeyumba kidogo sio km mwanzo
Lipo linarudi kwenye mstari soko hivi sasaCcm inaua ushirika zao hili kwisha habari yake
Wewe ni mkulima kweli? Hii miti imeshaanza kutoa maua tayari ndugu na mwakani itakuwa na matundaKuvuna ni miaka mitatu, inawezekanaje miaka miwili miti ikawa hivyo?
Yupo, hakuna kesi isipokuwa ana uwekezaji mkubwa mahali pengineMwenye mali alishafariki au ana kesi?
Ndio trekta linauzwa, halina telaTrekta peke yake unaweza kuuza? Vp lina tela?
KaribuZuri sana
Pamoja [emoji120][emoji120]Tangazo limekamilika safi kabisa, hope mwenye nia atachukua hizo assets
Mweka tangazo hongera sana
OkTatizo fedha
Ndio Lina hatiIna hati mmiliki au?
SawaAhsante kwa taarifa...
Hiv mfiriga unafika madeke ipo nyuma na je nikitaka eka 10 tu mtauzaSawa
Mmeanza kuuza vilima! Mmh!Shamba linauzwa
Lipo Kijiji Cha mfriga ktk kata ya mfriga tarafa ya lupembe mkoani njombe
Lina ukubwa wa eka 50
Bei ya kila eka ni tsh laki moja na Elfu hamsini tu (150,000)
Linafaa kwa kilimo Cha parachichi, miti ya mbao na mazao mengine
Maji ya mto yapo karibu
Kwa mawasiliano zaidi nipigie 0711605570 au 0764426929View attachment 2275333
Ndio ipo nyuma ya madeke, Kama unataka kumi unauziwa usihofuHiv mfiriga unafika madeke ipo nyuma na je nikitaka eka 10 tu mtauza
KaribuBei karibu na bure