financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Unauza ukoo mzima, nyie mnahamia wapi sasa? Bei nzuri tatizo pesa tu, all the best
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaaaaa, eti ukoo mzimaUnauza ukoo mzima, nyie mnahamia wapi sasa? Bei nzuri tatizo pesa tu, all the best
Hilo trekta linafanya kazi? Je lina mpini na majembe yake?Maelezo: Shamba linauzwa Liko maeneo ya Lutukila,Madaba(Km 1 kutoka barabara ya Songea -Njombe)Ukubwa wa shamba eka 100; Mazao yaliyopo,korosho eka 20,mitiki eka 5,parachichi eka 3,Kuna bonde la eka 6 la kulima mpunga,banda la nguruwe ,banda la mbuzi.
Majengo: Godown kubwa(kubeba si chini ya Tani 300),nyumba ya mashine na ,nyumba ya wafanyakazi(wiring imefanywa ya umeme na application tayari). Bei ni million 120 na trekta ni milion 15 jumla ya vitu vyote vilivyopo shambani ni milion 135
Kwa mawasiliano zaidi nipigie 0711605570 au 0764426929
View attachment 2269393View attachment 2269394View attachment 2269396View attachment 2269397View attachment 2269398View attachment 2269399
Hili trekta ni jipya kabisaHilo trekta linafanya kazi? Je lina mpini na majembe yake?
Ipo barabara kuu ya tanroad ya kwenda morogoro, ndio unapita barazani na ni kilomita 80 kutoka njombe mjiniMfiriga , Iko upande gani? Unapita Barazani?
Ni Km ngapi kutoka Njombe mjini?
Ndio unapita barazani, ni kilomita 80Mfiriga , Iko upande gani? Unapita Barazani?
Ni Km ngapi kutoka Njombe mjini?
Hata kumi unauziwaNi km ngapi kutoka main road. Na je unauza zote 100 kwa pamoja au unaweza kuuza hata 10?
AsanteAhsante kwa taarifa...
Kilimo Cha mahindi yanakubali, Ila kulima kwa trekta ni eneo dogo sana ambalo inawezekana kwa trekta zaidi zaidi eneo kubwa ni kwa mkonoNikitaka kwa kilimo Cha mahind vp trecta inaeza kulima