Shambulio dhidi ya Mbowe: Kamanda Giles Muroto (RPC Dodoma), umewaona wa kuwakamata? Nakutajia...

Shambulio dhidi ya Mbowe: Kamanda Giles Muroto (RPC Dodoma), umewaona wa kuwakamata? Nakutajia...

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,137
Reaction score
17,908
Kuna habari kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa na Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe ameshambuliwa na 'watu wasiojulikana' jijini Dodoma alipokuwa akirejea nyumbani kwake usiku wa kuamkia jana. CHADEMA, kupitia kwa Katibu Mkuu wake John Mnyika, wakatoa taarifa ya awali kwa umma juu ya shambulio hilo la Mwenyekiti na kingozi wao huyo wa juu kabisa kwenye chama chao.

Nilipata faraja nilipokuona Kamanda Muroto ukijitokeza mbele ya wanahabari na wananchi wa Tanzania kwa ujumla kutoa kauli ya Jeshi la Polisi mkoa wa Dodoma kuhusu shambulio la Mbowe. Kwa umakini na ustadi mkubwa Kamanda Muroto ukauambia umma wa watanzania mambo makubwa matatu. Kwanza, uchunguzi dhidi ya tukio hilo umeanza na unafanywa na jeshi la polisi na vyombo vingine vya usalama.

Pili, tukio la Mbowe lisitumike kisiasa na kama mtaji wa kisiasa na yeyote. Na tatu, ni kupiga marufuku mtu yeyote kulizungumzia jambo hilo kwa minajiri ya kuingilia uchunguzi wa kipolisi. Nilikuelewa sana. Nilitamani na ninatamani kuona ukisimamia kauli zako juu ya shambulio dhidi ya Mbowe. Nikupe taarifa au nikukumbushe kama tayari unajua kuwa jana Bungeni Mbowe alikuwa gumzo kwenye mjadala wa kupitisha Azimio la kumpongeza Rais Magufuli.

Kiti cha Spika wa Bunge kikikaliwa na Job Ngugai mwenyewe kiliruhusu mjadala wa tukio la shambulizi la Mbowe. Wachangiaji walipangwa kimkakati ili kutimiza azma yao. Kuanzia kwa Spika Ndugai, Silinde, Lijualikali, Musukuma na hata Lusinde, wote walikejeli tukio hilo na kulihusianisha na ulevi. Walihitimisha kwa kusema kuwa Mbowe alikuwa amelewa na aliteleza kwenye ngazi zake na kuvunja/kutegua mguu wake. Tena akiwa na 'kimada'.

Wabunge hao niliowataja walikebehi na kumkejeli vya kutosha Mbowe na kulikejeli shambulo lake. Tayari wameshaingilia na kuvuruga uchunguzi wa Polisi kwenye tukio hilo. Wanaachwaje bila ya kukamatwa katika kutekeleza kauli ya kamanda Muroto? Wanaopaswa kukamatwa ni Spika Ndugai na Wabunge Silinde, Lusinde, Musukuma na Lijualikali. Wameshaingilia uchunguzi wa Polisi. Wameshakiuka marufuku ya Muroto.

Tunajua kuwa Mbowe anaponzwa na Lissu. Ukifika muda tutayasema yote. Kabla ya Uchaguzi Mkuu wa 2020. Kwanza tumalize hili la Mbowe.

RIP Pierre Nkurunzinza, mwanamichezo uliyeichezea hadi katiba na sheria!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kilosa, Morogoro)
 
Bht mby serikali haifanyii kazi maoni ya kwenye mitandao..
 
Mzee wangu leo umeamua kutupa kweli Kama jina lako linavyo shabihisha. Sitomkebehi wala kumkashifu bali nitajitahidi kuhoji;

1. Kiongozi Mkuu wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni saa 6 - 7 ulikua wapi bila ya kuwa na ulinzi wa ainayoyote?

2. KUB ni nani aliyemkimbiza hospitali baada ya shambulio?

3. Kauli za kujikanganya za John Mnyika Katibu Mkuu, taarifa ya kwanza hakujibu hoja ya pili taarifa ya pili katuambia wakati anashamvuliwa hakuwa peke yake!

A. Umeongozana na mtu anavamiwa na kuvunjwa mguu usipigwe hata kofi?

B. Aliongozana naye au huyu mtu wa pili alikua mbali na eneo la tukio hivyo washambuliaji hawakumuona?

IWAPO B NDIVYO ILIVYOKUA;
i. Maneno ya kwamba unaisumbua Serikali hayana ushahidi kwakua yanaweza kuwa ya kupika

ii. Hatuna shida ya kukuua ila kukuvunja mguu ili tuone kampaini zako utafanyaje?

Tuna muda gani umebaki kabla ya kuanza kampeini? Mguu unapona baada ya muda gani? Jinsi alivyoonekana jana hakupigwa antena bali POP ambalo hufungwa kwa kuteguka na si kuvunjika?

YOTE TISA KUMI DHANA YA KWAMBA SERIKALI IMEHUSIKA KWENYE TUKIO

Ni upuuzi au mpuuzi kiasi gani anayeweza kumvamia KUB ambaye muda wake uko ukingoni na kurejea ni majaaliwa?

Serikali imvamue Mbowe kwa lipi hasa? Miezi michache iliyopitwa walikua na Golden chance ya kumfunga si wangemalizana naye kule?

MUDA NI RAFIKI MWEMA, IWAPO HOJA HIZO ZITAPATIWA MAJIBU NA AFANDE MUROTTO HIYO NDIO ITAKUA PONA PONA YAKE NA IWAPO MATOKEO YATATHIBITISHA KWAMBA ALITELEZA TU!

MUNGU NDIYE AJUAYE HATIMA YAKE
 
Mungu atupe atusaidie kujua kuwatendea mema wengine, Maisha yetu ni mafupi sana, Kwa nini kumtesa mwinzio! Kwa nini kusababishia wengine kifo! Kwa nini kuwasemea na kuwazushia wengine uwongo!

Mimi, namwamini Sana Mh Mbowe ni mtu mwenye Hekima Sana, mvumilivu sana, pia mnyenyekevu Sana, ninaamini atasema Yale yaliyomtokea


Na Kwa Wakati wa usiku wa manane alikuwa wapi, atasema

Na kwamba, Kwa nini hakutembea na walinzi wake siku hiyo, Atasema

Na Kwa nini baada ya kauli Ile kipindi Mh Lisu anapigwa lisasi, Chadema Chama makini kilisema kitajilinda chenyewe, viongozi wake watalindwa na vijana shupavu waliopikwa kijeshi huko Chadema, ilikuwaje tena wakaanza kutegemea ulinzi walioukataa kama Chama' bila Shaka pia atalitolea ufafanuzi,

Hawezi kusema Uwongo
 
Kuna habari kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa na Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe ameshambuliwa na 'watu wasiojulikana' jijini Dodoma alipokuwa akirejea nyumbani kwake usiku wa kuamkia jana. CHADEMA, kupitia kwa Katibu Mkuu wake John Mnyika, wakatoa taarifa ya awali kwa umma juu ya shambulio hilo la Mwenyekiti na kingozi wao huyo wa juu kabisa kwenye chama chao.

Nilipata faraja nilipokuona Kamanda Muroto ukijitokeza mbele ya wanahabari na wananchi wa Tanzania kwa ujumla kutoa kauli ya Jeshi la Polisi mkoa wa Dodoma kuhusu shambulio la Mbowe. Kwa umakini na ustadi mkubwa Kamanda Muroto ukauambia umma wa watanzania mambo makubwa matatu. Kwanza, uchunguzi dhidi ya tukio hilo umeanza na unafanywa na jeshi la polisi na vyombo vingine vya usalama.

Pili, tukio la Mbowe lisitumike kisiasa na kama mtaji wa kisiasa na yeyote. Na tatu, ni kupiga marufuku mtu yeyote kulizungumzia jambo hilo kwa minajiri ya kuingilia uchunguzi wa kipolisi. Nilikuelewa sana. Nilitamani na ninatamani kuona ukisimamia kauli zako juu ya shambulio dhidi ya Mbowe. Nikupe taarifa au nikukumbushe kama tayari unajua kuwa jana Bungeni Mbowe alikuwa gumzo kwenye mjadala wa kupitisha Azimio la kumpongeza Rais Magufuli.

Kiti cha Spika wa Bunge kikikaliwa na Job Ngugai mwenyewe kiliruhusu mjadala wa tukio la shambulizi la Mbowe. Wachangiaji walipangwa kimkakati ili kutimiza azma yao. Kuanzia kwa Spika Ndugai, Silinde, Lijualikali, Musukuma na hata Lusinde, wote walikejeli tukio hilo na kulihusianisha na ulevi. Walihitimisha kwa kusema kuwa Mbowe alikuwa amelewa na aliteleza kwenye ngazi zake na kuvunja/kutegua mguu wake. Tena akiwa na 'kimada'.

Wabunge hao niliowataja walikebehi na kumkejeli vya kutosha Mbowe na kulikejeli shambulo lake. Tayari wameshaingilia na kuvuruga uchunguzi wa Polisi kwenye tukio hilo. Wanaachwaje bila ya kukamatwa katika kutekeleza kauli ya kamanda Muroto? Wanaopaswa kukamatwa ni Spika Ndugai na Wabunge Silinde, Lusinde, Musukuma na Lijualikali. Wameshaingilia uchunguzi wa Polisi. Wameshakiuka marufuku ya Muroto.

Tunajua kuwa Mbowe anaponzwa na Lissu. Ukifika muda tutayasema yote. Kabla ya Uchaguzi Mkuu wa 2020. Kwanza tumalize hili la Mbowe.

RIP Pierre Nkurunzinza, mwanamichezo uliyeichezea hadi katiba na sheria!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kilosa, Morogoro)
Screenshot 2020-06-10 at 09.46.12.png
 
Mzee wangu leo umeamua kutupa kweli Kama jina lako linavyo shabihisha. Sitomkebehi wala kumkashifu bali nitajitahidi kuhoji;

1. Kiongozi Mkuu wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni saa 6 - 7 ulikua wapi bila ya kuwa na ulinzi wa ainayoyote?

2. KUB ni nani aliyemkimbiza hospitali baada ya shambulio?

3. Kauli za kujikanganya za John Mnyika Katibu Mkuu, taarifa ya kwanza hakujibu hoja ya pili taarifa ya pili katuambia wakati anashamvuliwa hakuwa peke yake!

A. Umeongozana na mtu anavamiwa na kuvunjwa mguu usipigwe hata kofi?

B. Aliongozana naye au huyu mtu wa pili alikua mbali na eneo la tukio hivyo washambuliaji hawakumuona?

IWAPO B NDIVYO ILIVYOKUA;
i. Maneno ya kwamba unaisumbua Serikali hayana ushahidi kwakua yanaweza kuwa ya kupika

ii. Hatuna shida ya kukuua ila kukuvunja mguu ili tuone kampaini zako utafanyaje?

Tuna muda gani umebaki kabla ya kuanza kampeini? Mguu unapona baada ya muda gani? Jinsi alivyoonekana jana hakupigwa antena bali POP ambalo hufungwa kwa kuteguka na si kuvunjika?

YOTE TISA KUMI DHANA YA KWAMBA SERIKALI IMEHUSIKA KWENYE TUKIO

Ni upuuzi au mpuuzi kiasi gani anayeweza kumvamia KUB ambaye muda wake uko ukingoni na kurejea ni majaaliwa?

Serikali imvamue Mbowe kwa lipi hasa? Miezi michache iliyopitwa walikua na Golden chance ya kumfunga si wangemalizana naye kule?

MUDA NI RAFIKI MWEMA, IWAPO HOJA HIZO ZITAPATIWA MAJIBU NA AFANDE MUROTTO HIYO NDIO ITAKUA PONA PONA YAKE NA IWAPO MATOKEO YATATHIBITISHA KWAMBA ALITELEZA TU!

MUNGU NDIYE AJUAYE HATIMA YAKE
Hayo ni maoni yako japo ni ya kipumbavu sana; serikali inaweza kukudhuru au kukutoa uhai ata kama wewe siyo Mbunge au KUB.

Suala la Mh Mbowe kutorudi Mbungeni ni baada ya uchaguzi wewe kuisemea utadhani kura imeshabigwa unaonesha ushaidi wa ujinga kwenye hoja yako.

Kumbuka pia serikali isiyolinda raia wake na kutopata wale wote wanaousika kwenye matukio yenye nia ya kuondoa uhai wa raia wake basi yenyewe ndiyo inakua inahusika kuyaratibu hayo matukio.

Kwaushauri japo siyo lazima uipokee; punguza ujinga kwani unaelekea kwenye upumbavu.
 
Mzee wangu leo umeamua kutupa kweli Kama jina lako linavyo shabihisha. Sitomkebehi wala kumkashifu bali nitajitahidi kuhoji;

1. Kiongozi Mkuu wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni saa 6 - 7 ulikua wapi bila ya kuwa na ulinzi wa ainayoyote?

2. KUB ni nani aliyemkimbiza hospitali baada ya shambulio?

3. Kauli za kujikanganya za John Mnyika Katibu Mkuu, taarifa ya kwanza hakujibu hoja ya pili taarifa ya pili katuambia wakati anashamvuliwa hakuwa peke yake!

A. Umeongozana na mtu anavamiwa na kuvunjwa mguu usipigwe hata kofi?

B. Aliongozana naye au huyu mtu wa pili alikua mbali na eneo la tukio hivyo washambuliaji hawakumuona?

IWAPO B NDIVYO ILIVYOKUA;
i. Maneno ya kwamba unaisumbua Serikali hayana ushahidi kwakua yanaweza kuwa ya kupika

ii. Hatuna shida ya kukuua ila kukuvunja mguu ili tuone kampaini zako utafanyaje?

Tuna muda gani umebaki kabla ya kuanza kampeini? Mguu unapona baada ya muda gani? Jinsi alivyoonekana jana hakupigwa antena bali POP ambalo hufungwa kwa kuteguka na si kuvunjika?

YOTE TISA KUMI DHANA YA KWAMBA SERIKALI IMEHUSIKA KWENYE TUKIO

Ni upuuzi au mpuuzi kiasi gani anayeweza kumvamia KUB ambaye muda wake uko ukingoni na kurejea ni majaaliwa?

Serikali imvamue Mbowe kwa lipi hasa? Miezi michache iliyopitwa walikua na Golden chance ya kumfunga si wangemalizana naye kule?

MUDA NI RAFIKI MWEMA, IWAPO HOJA HIZO ZITAPATIWA MAJIBU NA AFANDE MUROTTO HIYO NDIO ITAKUA PONA PONA YAKE NA IWAPO MATOKEO YATATHIBITISHA KWAMBA ALITELEZA TU!

MUNGU NDIYE AJUAYE HATIMA YAKE
Acha ujinga
 
Ni upuuzi au mpuuzi kiasi gani anayeweza kumvamia KUB ambaye muda wake uko ukingoni na kurejea ni majaaliwa?
Mkuu hapa mantiki yako siioni kabisa. Kama wamemvamia hawakumvamia kama KUB bali kama M/Kiti wa CDM ambaye ndiye anaetegemewa kuiongoza CDM kwenye mchakato wa uchaguzi 2020. U-KUB wake au kurejea bungeni siyo hoja hapa. Tafakari tena.
 
1.Membe aangaliwe SANA
2. ubalozi wa us tz uangaliwe sana tena SANA

i know SIO kazi ndogo lkn hawa watu wanajua pa kuishika tz haswa.

huu ni ushauri kwa wahusika kwa maslah ya taifa!
 
Mkuu hapa mantiki yako siioni kabisa. Kama wamemvamia hawakumvamia kama KUB bali kama M/Kiti wa CDM ambaye ndiye anaetegemewa kuiongoza CDM kwenye mchakato wa uchaguzi 2020. U-KUB wake au kurejea bungeni siyo hoja hapa. Tafakari tena.
Hizo hoja za juu umezielewa ili nikujibu hili?
 
Back
Top Bottom