Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,926
- 6,422
Huko ghorofani hakuna ccvtv kwani au ziliondolewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeongelea mantiki ya hoja hiyo, leta jibu.Hizo hoja za juu umezielewa ili nikujibu hili?
ukweli utabaki palepale wahuni ni wale mliowatuma wamshambulie
Ujawaza kwamba anaweza akawa pia anakwepa kupanda na chama chake Jukwaani?? .....kwa Kashfa za Rushwa ,Ngono,ubinafsi/umwamba na zote zimekuja dk za lala salama...ingekuwa ni wewe unatamani tena Siasa?Mkuu hapa mantiki yako siioni kabisa. Kama wamemvamia hawakumvamia kama KUB bali kama M/Kiti wa CDM ambaye ndiye anaetegemewa kuiongoza CDM kwenye mchakato wa uchaguzi 2020. U-KUB wake au kurejea bungeni siyo hoja hapa. Tafakari tena.
ALi Kessy na Spika kauli zao za kuongeza muda wa rais ni hatari sana!!
Sema pole pole ana Familia jamani , Ba'Mkwe, Mke,Batoto na Kiongozi mtarajiwa wa nchi msimuharibieKwa nini Joyce Mukya alikimbia?
wastuvurugie nchi wengine ndio tumepanda miche ya korosho tutavuna 2026ALi Kessy na Spika kauli zao za kuongeza muda wa rais ni hatari sana!!
Ina onekana exposure yako ni ndogo na huyu alivyo vamiwa ilikuwa issue ya kisiasa???Mkuu hapa mantiki yako siioni kabisa. Kama wamemvamia hawakumvamia kama KUB bali kama M/Kiti wa CDM ambaye ndiye anaetegemewa kuiongoza CDM kwenye mchakato wa uchaguzi 2020. U-KUB wake au kurejea bungeni siyo hoja hapa. Tafakari tena.
Hujamwelewa mleta uzi, issue hapa siyo kulewa, hata Kitwanga alilewa na kuingia bungeni na ulevi wake. Rudia kusoma uzi vizuri.Sasa kama alilewa, watu wasiseme?!
Wanajipendekeza hadi aibu!ALi Kessy na Spika kauli zao za kuongeza muda wa rais ni hatari sana!!
Hivi ni Spika kwa mdomo wake alisema!?ALi Kessy na Spika kauli zao za kuongeza muda wa rais ni hatari sana!!
Umemaliza mkuuMzee wangu leo umeamua kutupa kweli Kama jina lako linavyo shabihisha. Sitomkebehi wala kumkashifu bali nitajitahidi kuhoji;
1. Kiongozi Mkuu wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni saa 6 - 7 ulikua wapi bila ya kuwa na ulinzi wa ainayoyote?
2. KUB ni nani aliyemkimbiza hospitali baada ya shambulio?
3. Kauli za kujikanganya za John Mnyika Katibu Mkuu, taarifa ya kwanza hakujibu hoja ya pili taarifa ya pili katuambia wakati anashamvuliwa hakuwa peke yake!
A. Umeongozana na mtu anavamiwa na kuvunjwa mguu usipigwe hata kofi?
B. Aliongozana naye au huyu mtu wa pili alikua mbali na eneo la tukio hivyo washambuliaji hawakumuona?
IWAPO B NDIVYO ILIVYOKUA;
i. Maneno ya kwamba unaisumbua Serikali hayana ushahidi kwakua yanaweza kuwa ya kupika
ii. Hatuna shida ya kukuua ila kukuvunja mguu ili tuone kampaini zako utafanyaje?
Tuna muda gani umebaki kabla ya kuanza kampeini? Mguu unapona baada ya muda gani? Jinsi alivyoonekana jana hakupigwa antena bali POP ambalo hufungwa kwa kuteguka na si kuvunjika?
YOTE TISA KUMI DHANA YA KWAMBA SERIKALI IMEHUSIKA KWENYE TUKIO
Ni upuuzi au mpuuzi kiasi gani anayeweza kumvamia KUB ambaye muda wake uko ukingoni na kurejea ni majaaliwa?
Serikali imvamue Mbowe kwa lipi hasa? Miezi michache iliyopitwa walikua na Golden chance ya kumfunga si wangemalizana naye kule?
MUDA NI RAFIKI MWEMA, IWAPO HOJA HIZO ZITAPATIWA MAJIBU NA AFANDE MUROTTO HIYO NDIO ITAKUA PONA PONA YAKE NA IWAPO MATOKEO YATATHIBITISHA KWAMBA ALITELEZA TU!
MUNGU NDIYE AJUAYE HATIMA YAKE
Nimsikilize nani?Usimsikilize Msigwa, hachelewi kuyakana maneno yake na kuomba radhi
Ujawaza kwamba anaweza akawa pia anakwepa kupanda na chama chake Jukwaani?? .....kwa Kashfa za Rushwa ,Ngono,ubinafsi/umwamba na zote zimekuja dk za lala salama...ingekuwa ni wewe unatamani tena Siasa?
Someni tena ninaemjibu aliandika nini. Na mimi namjibu ya kuwa kuna sababu za anaesemekana amevamia kuvamiwa kisiasa. Yeye alikazia kwa kuwa U_KUB wa mwathirika unafikia tamati karibuni na kwamba kurejea kwake ni hakutarajiwi basi ni upuuzi kumvamia, na hicho ndio nilichomjibu. Sijasema hakuna sababu nyingine yeye kuvamiwa. Nilichambua logic/mantic ya statement yake.Ina onekana exposure yako ni ndogo na huyu alivyo vamiwa ilikuwa issue ya kisiasa???
on the beat to deter such attacks,' he said ( PA )
A Labour MP was attacked and mugged by a group of up to six people on his way home from Parliament.
Adrian Bailey, MP for West Bromwich West, had his wallet and phone stolen in the attack, which took place in Westminster.