Jisikilize weweNimsikilize nani?
Wewe?
Au Lijualikali au Lipumba au Mwambe and some other stupid politicians?
Au bwana mawe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jisikilize weweNimsikilize nani?
Wewe?
Au Lijualikali au Lipumba au Mwambe and some other stupid politicians?
Au bwana mawe?
Umeongea Ukweli 100% ila hata bunge likipitisha kwa kishindo na wapinzani FEKI kina mbatia na Lipumba wakaunga mkono sisi wananchi hatutakubali kamwe!!! Lazima tuliamshe DUDE ......JMK na BWM wametufanyia vitu vya ajabu sana,hivi kwani JK na BM hawajataka kuongeza muda ,why JPM ndio atake? Mtu anajenga ikulu ya kufa mtu ukiangalia unaona huyu mtu hana nia ya kutoka.Suala la Magufuli kutaka kuongezewa muda wa kukaa madarakani halikuanza jana na kauli za Keisy na Ndugai, hayo ni matamanio ya Magufuli toka mwanzo alipowatuma kina Juma Nkamia na wanaharakati wengine. Wanachofanya kina Ndugai hivi sasa, ni kuhalalisha tu mpango ambao tayari uko jikoni. Kitakachofanyika uchaguzi huu, ni kuchezea box la kura kwa kiwango cha juu, ili bunge lijae wanaccm maalum walioandaliwa na kamati ya uteuzi, na wabunge kadhaa wa upinzani toka kwa Mbatia na Lipumba, ili ajenda hiyo ikiletwa ipitishwe kwa asilimia 100. Hakuna mwanaccm yoyote awe mstaafu au mwingine yoyote atakayeweza kupinga hilo.
Wananchi wenyewe ndio wanaweza kupinga hilo, ila ili hilo litimie, tujiandae kushuhudia mauji ambayo hayajawahi kutokea hapa nchini. Je watanzania watakuwa na uwezo wa kulinda katiba yao? Hilo ni suala la muda.
Acha tu mkuu inasikitisha sana ametamka na kasema bunge lijalo wanauhakika 100% watarudi na kuipitisha hiyo hoja ya kessy kwa kishindo hata kama Rais hataki wao wataongeza tu.Hivi ni Spika kwa mdomo wake alisema!?
hii kesi imeisha kabla haijaanza.Mungu atupe atusaidie kujua kuwatendea mema wengine, Maisha yetu ni mafupi sana, Kwa nini kumtesa mwinzio! Kwa nini kusababishia wengine kifo! Kwa nini kuwasemea na kuwazushia wengine uwongo!
Mimi, namwamini Sana Mh Mbowe ni mtu mwenye Hekima Sana, mvumilivu sana, pia mnyenyekevu Sana, ninaamini atasema Yale yaliyomtokea
Na Kwa Wakati wa usiku wa manane alikuwa wapi, atasema
Na kwamba, Kwa nini hakutembea na walinzi wake siku hiyo, Atasema
Na Kwa nini baada ya kauli Ile kipindi Mh Lisu anapigwa lisasi, Chadema Chama makini kilisema kitajilinda chenyewe, viongozi wake watalindwa na vijana shupavu waliopikwa kijeshi huko Chadema, ilikuwaje tena wakaanza kutegemea ulinzi walioukataa kama Chama' bila Shaka pia atalitolea ufafanuzi,
Hawezi kusema Uwongo
Duh!!!Acha tu mkuu inasikitisha sana ametamka na kasema bunge lijalo wanauhakika 100% watarudi na kuipitisha hiyo hoja ya kessy kwa kishindo hata kama Rais hataki wao wataongeza tu.
hawana akiliALi Kessy na Spika kauli zao za kuongeza muda wa rais ni hatari sana!!
Tatizo sio kusema Bali tatizo ni kuwa Kamanda alikataza na kuonya atakaeingilia ataruka nae Sasa tunashangaa inekuwaje kashindwa kuruka nao kina Lusinde, Ndugai na MsukumaSasa kama alilewa, watu wasiseme?!
Kwani ikulu ni nyumba yake binafsiUmeongea Ukweli 100% ila hata bunge likipitisha kwa kishindo na wapinzani FEKI kina mbatia na Lipumba wakaunga mkono sisi wananchi hatutakubali kamwe!!! Lazima tuliamshe DUDE ......JMK na BWM wametufanyia vitu vya ajabu sana,hivi kwani JK na BM hawajataka kuongeza muda ,why JPM ndio atake? Mtu anajenga ikulu ya kufa mtu ukiangalia unaona huyu mtu hana nia ya kutoka.
Uzuri Msigwa hajakanusha kuhusu Spika kufahamu machafu yake ila katuongezea jingine kuwa na yeye analo file la Spika!
Ipo siku watalipa tu [emoji2955]Kuna habari kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa na Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe ameshambuliwa na 'watu wasiojulikana' jijini Dodoma alipokuwa akirejea nyumbani kwake usiku wa kuamkia jana. CHADEMA, kupitia kwa Katibu Mkuu wake John Mnyika, wakatoa taarifa ya awali kwa umma juu ya shambulio hilo la Mwenyekiti na kingozi wao huyo wa juu kabisa kwenye chama chao.
Nilipata faraja nilipokuona Kamanda Muroto ukijitokeza mbele ya wanahabari na wananchi wa Tanzania kwa ujumla kutoa kauli ya Jeshi la Polisi mkoa wa Dodoma kuhusu shambulio la Mbowe. Kwa umakini na ustadi mkubwa Kamanda Muroto ukauambia umma wa watanzania mambo makubwa matatu. Kwanza, uchunguzi dhidi ya tukio hilo umeanza na unafanywa na jeshi la polisi na vyombo vingine vya usalama.
Pili, tukio la Mbowe lisitumike kisiasa na kama mtaji wa kisiasa na yeyote. Na tatu, ni kupiga marufuku mtu yeyote kulizungumzia jambo hilo kwa minajiri ya kuingilia uchunguzi wa kipolisi. Nilikuelewa sana. Nilitamani na ninatamani kuona ukisimamia kauli zako juu ya shambulio dhidi ya Mbowe. Nikupe taarifa au nikukumbushe kama tayari unajua kuwa jana Bungeni Mbowe alikuwa gumzo kwenye mjadala wa kupitisha Azimio la kumpongeza Rais Magufuli.
Kiti cha Spika wa Bunge kikikaliwa na Job Ngugai mwenyewe kiliruhusu mjadala wa tukio la shambulizi la Mbowe. Wachangiaji walipangwa kimkakati ili kutimiza azma yao. Kuanzia kwa Spika Ndugai, Silinde, Lijualikali, Musukuma na hata Lusinde, wote walikejeli tukio hilo na kulihusianisha na ulevi. Walihitimisha kwa kusema kuwa Mbowe alikuwa amelewa na aliteleza kwenye ngazi zake na kuvunja/kutegua mguu wake. Tena akiwa na 'kimada'.
Wabunge hao niliowataja walikebehi na kumkejeli vya kutosha Mbowe na kulikejeli shambulo lake. Tayari wameshaingilia na kuvuruga uchunguzi wa Polisi kwenye tukio hilo. Wanaachwaje bila ya kukamatwa katika kutekeleza kauli ya kamanda Muroto? Wanaopaswa kukamatwa ni Spika Ndugai na Wabunge Silinde, Lusinde, Musukuma na Lijualikali. Wameshaingilia uchunguzi wa Polisi. Wameshakiuka marufuku ya Muroto.
Tunajua kuwa Mbowe anaponzwa na Lissu. Ukifika muda tutayasema yote. Kabla ya Uchaguzi Mkuu wa 2020. Kwanza tumalize hili la Mbowe.
RIP Pierre Nkurunzinza, mwanamichezo uliyeichezea hadi katiba na sheria!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kilosa, Morogoro)
Hayo ni maoni yako japo ni ya kipumbavu sana; serikali inaweza kukudhuru au kukutoa uhai ata kama wewe siyo Mbunge au KUB.
Suala la Mh Mbowe kutorudi Mbungeni ni baada ya uchaguzi wewe kuisemea utadhani kura imeshabigwa unaonesha ushaidi wa ujinga kwenye hoja yako.
Kumbuka pia serikali isiyolinda raia wake na kutopata wale wote wanaousika kwenye matukio yenye nia ya kuondoa uhai wa raia wake basi yenyewe ndiyo inakua inahusika kuyaratibu hayo matukio.
Kwaushauri japo siyo lazima uipokee; punguza ujinga kwani unaelekea kwenye upumbavu.
Namsikitikia sana Ndugai
Upumbavu unaita hoja! Shame on you!Hizo hoja za juu umezielewa ili nikujibu hili?
"---uncharted waters"unchanted waters
Mimi siishi England na sio Mzungu"---uncharted waters"
Sasa kama alilewa, watu wasiseme?!