Shambulio linalosadikiwa kufanywa na Israel dhidi ya Hezbullah kwa kupitia PAGERS lathibitisha akili kubwa ya Myahudi

Shambulio linalosadikiwa kufanywa na Israel dhidi ya Hezbullah kwa kupitia PAGERS lathibitisha akili kubwa ya Myahudi

Akili gani wewe wanazo huo ndio ugaidi wenyewe unachomeka vibomu ndani ya pager kwa kuwatumia wafanyakazi wa hilo shirika si unaliharibia biashara. Hio sio akili ni ujinga wa hali ya juu. Mfano mimi leo na maduka ni deal na staff wa kiwanda cha soda niwatilie sumu watu nao taka kuwauwa kwenye soda. Afu ni jisifie na akili, sifikiri watakao kosa kazi hapo.

Hio ndio akili yake ya mwisho, kashindwa vita na Hezbullah, kaona akifanya vile atawatisha Hezbullah. Sa ngojea kichapo atakacho pokea

Kaharibu biashara ya nani Mkuu......NI katika kuisafirisha ndio akatia mkono wake....Waulize Hizbollah walinunua kwa nani hizo Pager, mbona wako kimya.....Walimtafuta Dalali kumbe ni Myahudi......Inasemekana hata kuzipeleka Lebanon zilipelekwa na Iran........Jamaa zako wana akili fupi sana, inabidi warudi kwenye kutumia simu tu!ambazo wanajua wazi zitadukuliwa...!
 
hawaja intercept, kule kule ndani wanakotengeneza kulikuwa na maajenti wa mosad. na kampuni iliyotengeneza leseni ni ya Taiwan ila watengenezaji inasemekana ni wa ulaya. kwahiyo hapo kobaz aliagiza mzigo huo toka kwa myahudi moja kwa moja bila kujua. elimu kitu muhimu sana, imagine mwarabu angekuwana tech, tungeishi hapa duniani? Mungu kawapa mafuta, akawanyima akili. hapo tunaelewana sasa.

Mkuu inaonekana kampuni ya Taiwan ilitoa leseni tu kwa Kampuni ya BAC ambayo iko Hungary, ukienda Hungary hiyo ofisi inashangaa na kusema huwa hai deal na mambo hayo! Nimecheka sana.......! Na Hata Walkie talk....Kampuni ya Japan inasema iliacha kutengeneza hiyo model miaka 10 iliyopita!....

Na ianasemakana pia kuna uwezekano Iran ndio alizibeba kimagendo kuzipeleka Lebanon! Israel kawapiga pesa....na kuwauzia sumu!
 
Vitukuu wa pedophile watapinga,Israel
Hassan Nasrallah alipitisha azimio kuwa mawasiliano yote ya washiriki wa kikundi hicho na pia baina yao na washirika wao yasiwe kwa simu za kawaida kwa kwani Israel watayadaka. Pagers zinaaminika kwa kutoweza kuwa hacked.

Inavyoelekea Israel kwa kuona mbali, wakajipenyeza kwa watengenezaji wa hizo pagers kiasi kwa kukawa na batch fulani tu ambapo walipandikiza kifaa ambacho kwa kupokea signal fulani ya kipekee kitapandisha joto la batteries za pagers hizo na kulipuka.

Aidha, Israel wakafanikiwa kuhack pagers hizo na kustudy messages walizokuwa wakitumiana. Leo hii ndipo Israel wakatuma message ambayo Hezbullah hawakuihisi kuwa siyo yao wao Hezbullah. Ndiyo maana wengine kifaa hicho kiliwalipukia usoni wengine mkononi. Kuna ambao kutokana na eneo walilokuwepo walishindwa kukitoa kifaa hicho eneo la kiunoni au mfukoni mapema hivyo kiliwalipukia kikiwa kiunoni.

Vile vile kama kweli ni Israel waliofanya shambulio hili, ni uthibitisho mwingine kuwa ktk vita hivi waisrael tofauti na waislam wao wanajitahidi sana kutumia technolojia ili mashambulizi yao yalenge magaidi wa kiislam tu bila ya kudhuru raia wasio na hatia.

Hapa cha kujifunza kwa wale waislamu wanaomtafuta Mungu wa kweli ni kuwa

1. Mungu anataka kuwathibitishia kitabu chao kinachowachochea kuwa na chuki dhidi ya Israel hakiko sahihi

2. Kwamba wajifunze kuishi pamoja na Waisraeli, ambao wao tayari wameisha kubali hilo ndani ya Israel yenyewe ambako wako Waislamu wapatao 2 000,000

3. Inawezekana kabisa Mungu wa kweli ameruhusu surprises zote hizi ambazo Israel wamefanya ktk vita hivi:
• kuwapiga Gaza ndani ya nchi yao licha ya upinzani serikali ya Israeli inaopata toka nchi za waarabu serikali za Joe Biden, Ser3ya Keir Stamer (UK) UN, URUSI, CHINA

• Israel wamefichua Siri kubwa ambayo Dunia haikuwa inajua juu ya Mahandaki ya Hamas yanayokwenda hadi Misri ili kupitisha Silaha
• Vifo vya kushangaza vya Rais wa Iran na Waziri wake wa Mambo ya Nje
• Kuuawa kwa Kiongozi wa juu kabisa wa Hamas ndani ya Iran
• Kulipuriwa kwa Kiwanda cha Iran cha kutengenezea makombora ndani ya Syria
● Na leo hii hili shambulio la kipekee kabisa la kivita

Ni wakati sasa kwa Waislamu kusitukia huo msimamo wenu potofu, kabla haijawa too late. And my feelings ni kwamba licha ya shida zote hizi Israel inazopitia, wataivunja ngome ya Hamas, Hezbullah na kule Iran tutegemee sura tofauti ya Utawala tofauti na Utawala wa Kiayatollah.


View: https://x.com/LizaRosen0000/status/1836046514302398781

Vitukuu vya pedophile watapinga,ala(Shetani) mwenyewe alimuomba Mungu huruma dhidi ya gadhabu ya wayahudi
 
Hujui maumivu ya kudhulumiwa wewe kaa kimya pale kuna msikiti mtukufu aliswali mtume kabla ya kwenda mbinguni isitegemee tutakaa kimya kwanini wanataka kuuvunja? Kama sio ushenzi na ukafiri wao wayahudi watu wabaya sana kuliko race yoyote duniani na kila anayetetea ni muovu kama wao
Huyo pedophile aliyezikwa na kuoza hiyo mbingu kafika lini,wakati kila uchwa mnamswali? Dini na ujinga ni janga kwa dunia.
 
Kaharibu biashara ya nani Mkuu......NI katika kuisafirisha ndio akatia mkono wake....Waulize Hizbollah walinunua kwa nani hizo Pager, mbona wako kimya.....Walimtafuta Dalali kumbe ni Myahudi......Inasemekana hata kuzipeleka Lebanon zilipelekwa na Iran........Jamaa zako wana akili fupi sana, inabidi warudi kwenye kutumia simu tu!ambazo wanajua wazi zitadukuliwa...!
We bwege hizo Pager sio Hezbullah alifanya hizo order direct, walio fanya ni Iraq inawezekana wa Iraq ndio walitoa siri hizo kuwa za Hezbullah. Unacho ongea wewe ni uwongo mtupu. Iran hakuhusika na hizo pager pia kunawanafiki kule Lebanon wameisha tiwa mkonon, ndio Israel alikuwa anawatumia. We tulia sa uonne Israel watakavyo pokea kichapo ndio mtamjua Hezbullah si wakuchezewa.
 
Hujui maumivu ya kudhulumiwa wewe kaa kimya pale kuna msikiti mtukufu aliswali mtume kabla ya kwenda mbinguni isitegemee tutakaa kimya kwanini wanataka kuuvunja? Kama sio ushenzi na ukafiri wao wayahudi watu wabaya sana kuliko race yoyote duniani na kila anayetetea ni muovu kama wao
Acha kututisha wewe, unaona msikiti tu mengine huoni si ndio
 
Mkuu ule ni ugaidi kwa sababu umedhuru watu wengi pasipo kuchagua. Ni kama kupiga boom kariakoo kwa sababu Kuna gaidi mmoja kajificha huko.

Unashitakiwa kwenye mahakama za kimataifa.

Mfano Sasa hivi marekani ajue Kuna gaidi anatumia Iphone Tanzania aamue kulipia iphone zote kisa amuue Huyo mmoja.

Hii pia inakuambia simu sio salama
Mkuu soma vzr na uelewe ipo hv, hezbolla walinunua hzo pagers na kuwapa wafuasi wake watumie na sio wananchi wa kawaida. So waliokufa na kujeruhiwa ni wana kundi la hizzibolla unless mwana kikundi awe amekaacha home watoto wanakatumia
 
Mkuu soma vzr na uelewe ipo hv, hezbolla walinunua hzo pagers na kuwapa wafuasi wake watumie na sio wananchi wa kawaida. So waliokufa na kujeruhiwa ni wana kundi la hizzibolla unless mwana kikundi awe amekaacha home watoto wanakatumia
Ipashe hii Maislamists maana inapelekshwa kwa hisia zao tu zilizo jazwa uongo waQuran
 
Hujui maumivu ya kudhulumiwa wewe kaa kimya pale kuna msikiti mtukufu aliswali mtume kabla ya kwenda mbinguni isitegemee tutakaa kimya kwanini wanataka kuuvunja? Kama sio ushenzi na ukafiri wao wayahudi watu wabaya sana kuliko race yoyote duniani na kila anayetetea ni muovu kama wao
Mudi huyu aliyekuwa anabaka watoto wa miaka 9?
 
We bwege hizo Pager sio Hezbullah alifanya hizo order direct, walio fanya ni Iraq inawezekana wa Iraq ndio walitoa siri hizo kuwa za Hezbullah. Unacho ongea wewe ni uwongo mtupu. Iran hakuhusika na hizo pager pia kunawanafiki kule Lebanon wameisha tiwa mkonon, ndio Israel alikuwa anawatumia. We tulia sa uonne Israel watakavyo pokea kichapo ndio mtamjua Hezbullah si wakuchezewa.
Hata ashuke marehemu Mohamed hawezi saidia kitu Hezbullah lazima wachake yeye na washirika wake.
 
Back
Top Bottom