Imole
JF-Expert Member
- Jan 8, 2021
- 1,438
- 4,053
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
vipi kuhusu urefu wa suruali yake na ukubwa wa kichwa chake?🤔🤔Na je alikuwa na kiasi gani cha ndevu
Yes kama ana asili ya Africa kisha akawa mlokole laizma awe suspect namba mojaHuyo mbwa ana asili ya wapi? Dini yake? Hizo ni taarifa muhimu sana kufikia hitimisho.
Sema kwanini hao us na israel wameweza kutengeneza watu wa design hio kupitia hio dini au waarabu tu na sio jamii nyingine.......ukiona hivyo jua kuna mwanya wameuona na wanautumiaHakuna muislamu wa kweli anayeijua dini atashabikia kuua watu wasio na hatia, msilolijua hao wanaojilipua wametengenezwa na hao hao us na israel baadae ndo wameanza kuwabackfire . Msikilize sheikh hapo.
Track records?Yes kama ana asili ya Africa kisha akawa mlokole laizma awe suspect namba moja
Ni wale wale wavaa suruali za watotoHuyo mbwa ana asili ya wapi? Dini yake? Hizo ni taarifa muhimu sana kufikia hitimisho.
Trump anaandaa zuio rasmi la Kobaz kuhamia USAKobaz hawapoi, wanaamsha amsha huko duniani dah, mi hawa kobaz nikimkuta ndani ya dala dala nateremka, hachelewi kujilipua
Kwa hiyo wanatengenezwa:Hakuna muislamu wa kweli anayeijua dini atashabikia kuua watu wasio na hatia, msilolijua hao wanaojilipua wametengenezwa na hao hao us na israel baadae ndo wameanza kuwabackfire . Msikilize sheikh hapo.
Yah…..jamaa ni mzungu na wote aliowaua ni weusi!
Jamani hawa wabaguzi wa rangi wanashida pahala.
Kuna wazungu wanakuwaga na Xenophobia kwa watu weusi.Jamani hawa wabaguzi wa rangi wanashida pahala.
Yaani whites na Hispanic ni race tofauti?
Hii imekaaje!
Mhusika wameshamtaja kwani?Kuna wazungu wanakuwaga na Xenophobia kwa watu weusi.
Yani akiona black yeyote, Anakuwa na chuki dhidi yake. Na hapo hujamfanya kitu.
Wengine bills, loneliness na stress zina wasumbua.
Wanaamua wafe na kijiji. Ndio maana wana shambulia watu hovyo hovyo tu.
Mhusika wameshamtaja kwani?
Huyo mbwa ana asili ya wapi? Dini yake? Hizo ni taarifa muhimu sana kufikia hitimisho.
Ilitegemewa. Haya sasa.View attachment 3190340
FBI identifies New Orleans attacker as Shamsud-Din Jabbar, a US citizen from Texas who served in the US Army and worked as a real estate agent. ISIS flag, weapons, and a potential IED found in his truck. More IEDs discovered in the French Quarter
Alaaa! Si unaona! Huyu ni mzungu kabisa na aliowaua walikuwa ni watu weusi wote!View attachment 3190340
FBI identifies New Orleans attacker as Shamsud-Din Jabbar, a US citizen from Texas who served in the US Army and worked as a real estate agent. ISIS flag, weapons, and a potential IED found in his truck. More IEDs discovered in the French Quarter
Ni mzungu.Huyo mbwa ana asili ya wapi? Dini yake? Hizo ni taarifa muhimu sana kufikia hitimisho.
Unafikiri atakuwa DINI gani tena zaidi ya dini ya kaallah na pedophile wake moody!!Huyo mbwa ana asili ya wapi? Dini yake? Hizo ni taarifa muhimu sana kufikia hitimisho.
Mzungu huyo!!Ni mzungu.