Shambulizi la kigaidi kwa kutumia gari aina ya pickup new Orleans Marekani, 10 wauawa na 30 wajeruhiwa , muuaji akutwa amefariki

Shambulizi la kigaidi kwa kutumia gari aina ya pickup new Orleans Marekani, 10 wauawa na 30 wajeruhiwa , muuaji akutwa amefariki

Hakuna muislamu wa kweli anayeijua dini atashabikia kuua watu wasio na hatia, msilolijua hao wanaojilipua wametengenezwa na hao hao us na israel baadae ndo wameanza kuwabackfire . Msikilize sheikh hapo.
 

Attachments

  • HIYO_SIYO_JIHAD__@KHALIFAMPYA-TV__(360p).mp4
    10.7 MB
Huyo mbwa ana asili ya wapi? Dini yake? Hizo ni taarifa muhimu sana kufikia hitimisho.
Yes kama ana asili ya Africa kisha akawa mlokole laizma awe suspect namba moja
 
Hakuna muislamu wa kweli anayeijua dini atashabikia kuua watu wasio na hatia, msilolijua hao wanaojilipua wametengenezwa na hao hao us na israel baadae ndo wameanza kuwabackfire . Msikilize sheikh hapo.
Sema kwanini hao us na israel wameweza kutengeneza watu wa design hio kupitia hio dini au waarabu tu na sio jamii nyingine.......ukiona hivyo jua kuna mwanya wameuona na wanautumia
 
Hakuna muislamu wa kweli anayeijua dini atashabikia kuua watu wasio na hatia, msilolijua hao wanaojilipua wametengenezwa na hao hao us na israel baadae ndo wameanza kuwabackfire . Msikilize sheikh hapo.
Kwa hiyo wanatengenezwa:
Waarabu tu?
Waislam tu?

Mbona sijawahi kusikia gaidi wa Kijapani?
Mbona sijawahi kusikia gaidi la Kihindi?
 
Jamani hawa wabaguzi wa rangi wanashida pahala.
Yaani whites na Hispanic ni race tofauti?
Hii imekaaje!
Kuna wazungu wanakuwaga na Xenophobia kwa watu weusi.

Yani akiona black yeyote, Anakuwa na chuki dhidi yake. Na hapo hujamfanya kitu.

Wengine bills, loneliness na stress zina wasumbua.

Wanaamua wafe na kijiji. Ndio maana wana shambulia watu hovyo hovyo tu.
 
Kuna wazungu wanakuwaga na Xenophobia kwa watu weusi.

Yani akiona black yeyote, Anakuwa na chuki dhidi yake. Na hapo hujamfanya kitu.

Wengine bills, loneliness na stress zina wasumbua.

Wanaamua wafe na kijiji. Ndio maana wana shambulia watu hovyo hovyo tu.
Mhusika wameshamtaja kwani?
 
Mhusika wameshamtaja kwani?
1000018189.jpg

FBI identifies New Orleans attacker as Shamsud-Din Jabbar, a US citizen from Texas who served in the US Army and worked as a real estate agent. ISIS flag, weapons, and a potential IED found in his truck. More IEDs discovered in the French Quarter
 
View attachment 3190340
FBI identifies New Orleans attacker as Shamsud-Din Jabbar, a US citizen from Texas who served in the US Army and worked as a real estate agent. ISIS flag, weapons, and a potential IED found in his truck. More IEDs discovered in the French Quarter
Alaaa! Si unaona! Huyu ni mzungu kabisa na aliowaua walikuwa ni watu weusi wote!

Wazungu wabaguzi sana aisee.

😉.
 
Back
Top Bottom