Shambulizi la kigaidi kwa kutumia gari aina ya pickup new Orleans Marekani, 10 wauawa na 30 wajeruhiwa , muuaji akutwa amefariki

Shambulizi la kigaidi kwa kutumia gari aina ya pickup new Orleans Marekani, 10 wauawa na 30 wajeruhiwa , muuaji akutwa amefariki

Kwa hiyo wanatengenezwa:
Waarabu tu?
Waislam tu?

Mbona sijawahi kusikia gaidi wa Kijapani?
Mbona sijawahi kusikia gaidi la Kihindi?
Neno "gaidi" limefanywa kuwa jina (special name)kwa ajili ya jamii ya waarabu,vipi ulisikie kwa jamii ya watu wengine!?bali shughuli za kigaidi zinafanywa na watu wa mataifa mbalimbali kwenye maeneo tofauti ya dunia,hasahasa viongozi wa serikali za mataifa yenye maendeleo makubwa kiuchumi na yenye nguvu kijeshi.
 
Hakuna muislamu wa kweli anayeijua dini atashabikia kuua watu wasio na hatia, msilolijua hao wanaojilipua wametengenezwa na hao hao us na israel baadae ndo wameanza kuwabackfire . Msikilize sheikh hapo.
Kama kawaida lawama zote kwa John.

Upande wenu hakuna Muislamu muovu, wote wasafi. Wote mbinguni.
 
Kobaz hawapoi, wanaamsha amsha huko duniani dah, mi hawa kobaz nikimkuta ndani ya dala dala nateremka, hachelewi kujilipua
makafiri ndio maadui wa wakubwa dunia hii
 
Halafu ukute ni mzungu anaechukia watu weusi....

View attachment 3190186
Shamsud-Din Jabbar

250101-Shamsud-Din-Jabbar-ew-544p-19722d.jpg
 
Hakuna muislamu wa kweli anayeijua dini atashabikia kuua watu wasio na hatia, msilolijua hao wanaojilipua wametengenezwa na hao hao us na israel baadae ndo wameanza kuwabackfire . Msikilize sheikh hapo.
tukisema hii dini ni ya shetani, ilianzishwa na shetani na wote wanaoifuata mwisho wao ni motoni pamoja na shetani, muwe mnatuelewa.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Ni shambulizi la kigaidi huko new Orleans Marekani

Dereva aua watu 10 na kujeruhi wengine 30 baada ya kuendesha gari kwa spidi kubwa na kuvamia umati mkubwa wa watu walisherehekea mwaka mpya

Dereva huyo pia aliwapiga risasi polisi wawili na kuwajeruhi

Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:

CNN


What we're covering

• At least 10 people were killed and 30 injured when a driver rammed a pickup truck into a crowd during New Year’s celebrations on Bourbon Street in New Orleans early on Wednesday morning. A law enforcement official told CNN the suspect is dead.

• The driver’s actions were “very intentional,” said police Superintendent Anne Kirkpatrick. “This man was trying to run over as many people as he possibly could.” The man also shot at police officers, hitting two, who are in stable condition, Kirkpatrick said. The FBI is investigating it as an “act of terrorism.”

• Federal law enforcement agents are also checking on possible improvised explosives at the scene. Video from CNN affiliate WDSU showed a law enforcement robot being used to examine the underside of the vehicle.

• The attack in the popular French Quarter happened just hours before the city is expected to host The Sugar Bowl less than a mile away. The annual college football game draws fans from all over the country, with the University of Georgia set to take on Notre Dame tonight.

Speaker Johnson calls attack "an act of pure evil"

From CNN's Clare Foran
US Speaker of the House Mike Johnson called the New Orleans attack “an act of pure evil” and demanded swift justice in a post on X Wednesday morning.
“The vicious attack on innocent people celebrating the New Year in New Orleans early this morning was an act of pure evil, and justice must be swift for anyone who was involved,” the speaker said. “Please join us in praying for the victims, their families, and the first responders and investigators on the scene.”


Times of Israel

NEW ORLEANS — A driver in a pickup truck who officials said was “hell-bent on carnage” sped through a crowd of pedestrians in New Orleans’ bustling French Quarter district, killing 10 and injuring 30 revelers in a suspected terror attack early on New Year’s Day.

The FBI said it was investigating the deadly truck-ramming attack on New Orleans’ Bourbon Street as an act of terrorism and confirmed the suspected assailant was dead.

“This morning, an individual drove a car into a crowd of people on Bourbon Street in New Orleans, killing a number of people and injuring dozens of others,” the FBI said in a ..

Ule muhadhara ni lini?


...Ni Hayo Tu!!
 
Kama kawaida lawama zote kwa John.

Upande wenu hakuna Muislamu muovu, wote wasafi. Wote mbinguni.
Kumbe na wewe uelewa wako ni mdogo hivi, nimesema wapi hakuna muislamu muovu?

Hajalaumiwa mtu hapa na huo ndo ukweli, Us walimtengeneza osama baaadae akaja kuwalipua 911 au we hukuona. Sa tumia hio kama reference, muislamu kweli hawezi kumuua mtu asiye na hatia ukishamuona mtu anafnya hivyo jua hakuna muislamu hapo.
 
Nitareteremka daladala zote nitembee na mguu kama kila daladala lina kobaz aliyejitanda ninja usoni, huwa nawaogopa hawachelewi kujilipua
😂😂😂 Hao wanaojilipua hawajielewi mkuu, ni kama machizi flani
 
Ni kweli ila na congo pia ambapo hakutawaliki unasemaje? Hawa mashetani wanatumia kila njia kupata wanachotaka kwa jina la democracy, ugaidi na haki za binaadamu
Mie ndo sielewagi kwanini wa upande wa kule lazima waitwe magaidi ila hawa wengine utasikia tu waasi.........vikundi vya waasi vs vikundi vya magaidi
 
Low profile wanafadhiliwa na matajiri wa kiislam. Sawa na Iran inavyofadhili makundi kadhaa ya ugaidi. Hata Congo DRC Ina waislam toka nchi mbalimbali za Africa wanafadhiliwa na nchi za kiarabu kuuwa wakongo na kuchomwa vijiji wakijiita ADF. Leo hii hapo Zanzibar ukijenga Kanisa linachomwa moto, kama kuna muislam anabisha nimpe simu ya mtu anayeishi huko.
Mbwa wewe acha uongo.
DRC Congo MAKUNDI YOTE YANAFADHILIWA NA MATAJIRI WAKUBWA KUTOKA ISRAEL NA USA NA FRANCE AMBAO WANAVUNA BLOOD MINERALS.
ACHA UONGO HAUKUSAIDII KITU.
 
Mbwa wewe acha uongo.
DRC Congo MAKUNDI YOTE YANAFADHILIWA NA MATAJIRI WAKUBWA KUTOKA ISRAEL NA USA NA FRANCE AMBAO WANAVUNA BLOOD MINERALS.
ACHA UONGO HAUKUSAIDII KITU.
Pole sana mkuu. Matusi yako yanaonyesha ulivyo na hasira za kuua kama Irani na Waarabu wenzako. Tungeweza kupngana bila kutukana, hata hivyo pole tena kwa jazba.
 
Back
Top Bottom