Siri ya sifuri
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 2,335
- 1,967
Neno "gaidi" limefanywa kuwa jina (special name)kwa ajili ya jamii ya waarabu,vipi ulisikie kwa jamii ya watu wengine!?bali shughuli za kigaidi zinafanywa na watu wa mataifa mbalimbali kwenye maeneo tofauti ya dunia,hasahasa viongozi wa serikali za mataifa yenye maendeleo makubwa kiuchumi na yenye nguvu kijeshi.Kwa hiyo wanatengenezwa:
Waarabu tu?
Waislam tu?
Mbona sijawahi kusikia gaidi wa Kijapani?
Mbona sijawahi kusikia gaidi la Kihindi?
Kama kawaida lawama zote kwa John.Hakuna muislamu wa kweli anayeijua dini atashabikia kuua watu wasio na hatia, msilolijua hao wanaojilipua wametengenezwa na hao hao us na israel baadae ndo wameanza kuwabackfire . Msikilize sheikh hapo.
makafiri ndio maadui wa wakubwa dunia hiiKobaz hawapoi, wanaamsha amsha huko duniani dah, mi hawa kobaz nikimkuta ndani ya dala dala nateremka, hachelewi kujilipua
Mulemule, igawa ni mzawa na 'Former army-boy'Huyo mbwa ana asili ya wapi? Dini yake? Hizo ni taarifa muhimu sana kufikia hitimisho.
Shamsud-Din Jabbar
tukisema hii dini ni ya shetani, ilianzishwa na shetani na wote wanaoifuata mwisho wao ni motoni pamoja na shetani, muwe mnatuelewa.Hakuna muislamu wa kweli anayeijua dini atashabikia kuua watu wasio na hatia, msilolijua hao wanaojilipua wametengenezwa na hao hao us na israel baadae ndo wameanza kuwabackfire . Msikilize sheikh hapo.
Wadau hamjamboni nyote?
Ni shambulizi la kigaidi huko new Orleans Marekani
Dereva aua watu 10 na kujeruhi wengine 30 baada ya kuendesha gari kwa spidi kubwa na kuvamia umati mkubwa wa watu walisherehekea mwaka mpya
Dereva huyo pia aliwapiga risasi polisi wawili na kuwajeruhi
Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:
CNN
What we're covering
β’ At least 10 people were killed and 30 injured when a driver rammed a pickup truck into a crowd during New Yearβs celebrations on Bourbon Street in New Orleans early on Wednesday morning. A law enforcement official told CNN the suspect is dead.
β’ The driverβs actions were βvery intentional,β said police Superintendent Anne Kirkpatrick. βThis man was trying to run over as many people as he possibly could.β The man also shot at police officers, hitting two, who are in stable condition, Kirkpatrick said. The FBI is investigating it as an βact of terrorism.β
β’ Federal law enforcement agents are also checking on possible improvised explosives at the scene. Video from CNN affiliate WDSU showed a law enforcement robot being used to examine the underside of the vehicle.
β’ The attack in the popular French Quarter happened just hours before the city is expected to host The Sugar Bowl less than a mile away. The annual college football game draws fans from all over the country, with the University of Georgia set to take on Notre Dame tonight.
Speaker Johnson calls attack "an act of pure evil"
From CNN's Clare Foran
US Speaker of the House Mike Johnson called the New Orleans attack βan act of pure evilβ and demanded swift justice in a post on X Wednesday morning.
βThe vicious attack on innocent people celebrating the New Year in New Orleans early this morning was an act of pure evil, and justice must be swift for anyone who was involved,β the speaker said. βPlease join us in praying for the victims, their families, and the first responders and investigators on the scene.β
Times of Israel
NEW ORLEANS β A driver in a pickup truck who officials said was βhell-bent on carnageβ sped through a crowd of pedestrians in New Orleansβ bustling French Quarter district, killing 10 and injuring 30 revelers in a suspected terror attack early on New Yearβs Day.
The FBI said it was investigating the deadly truck-ramming attack on New Orleansβ Bourbon Street as an act of terrorism and confirmed the suspected assailant was dead.
βThis morning, an individual drove a car into a crowd of people on Bourbon Street in New Orleans, killing a number of people and injuring dozens of others,β the FBI said in a ..
Kumbe na wewe uelewa wako ni mdogo hivi, nimesema wapi hakuna muislamu muovu?Kama kawaida lawama zote kwa John.
Upande wenu hakuna Muislamu muovu, wote wasafi. Wote mbinguni.
Nitareteremka daladala zote nitembee na mguu kama kila daladala lina kobaz aliyejitanda ninja usoni, huwa nawaogopa hawachelewi kujilipuautateremka daladala ngapi mkuu
πππ Hao wanaojilipua hawajielewi mkuu, ni kama machizi flaniNitareteremka daladala zote nitembee na mguu kama kila daladala lina kobaz aliyejitanda ninja usoni, huwa nawaogopa hawachelewi kujilipua
Mie ndo sielewagi kwanini wa upande wa kule lazima waitwe magaidi ila hawa wengine utasikia tu waasi.........vikundi vya waasi vs vikundi vya magaidiNi kweli ila na congo pia ambapo hakutawaliki unasemaje? Hawa mashetani wanatumia kila njia kupata wanachotaka kwa jina la democracy, ugaidi na haki za binaadamu
duh hatari sanaNitareteremka daladala zote nitembee na mguu kama kila daladala lina kobaz aliyejitanda ninja usoni, huwa nawaogopa hawachelewi kujilipua
Hili n suluhisho toshaAtanunua gari yake binafsi.
Mbwa wewe acha uongo.Low profile wanafadhiliwa na matajiri wa kiislam. Sawa na Iran inavyofadhili makundi kadhaa ya ugaidi. Hata Congo DRC Ina waislam toka nchi mbalimbali za Africa wanafadhiliwa na nchi za kiarabu kuuwa wakongo na kuchomwa vijiji wakijiita ADF. Leo hii hapo Zanzibar ukijenga Kanisa linachomwa moto, kama kuna muislam anabisha nimpe simu ya mtu anayeishi huko.
Naunga mkono hojami hawa kobaz nikimkuta ndani ya dala dala nateremka, hachelewi kujilipua
Pole sana mkuu. Matusi yako yanaonyesha ulivyo na hasira za kuua kama Irani na Waarabu wenzako. Tungeweza kupngana bila kutukana, hata hivyo pole tena kwa jazba.Mbwa wewe acha uongo.
DRC Congo MAKUNDI YOTE YANAFADHILIWA NA MATAJIRI WAKUBWA KUTOKA ISRAEL NA USA NA FRANCE AMBAO WANAVUNA BLOOD MINERALS.
ACHA UONGO HAUKUSAIDII KITU.