Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijakimbilia kulaumu.Tusikimbilie kulaumu bila kujua undani wa tatizo lililosababisha safari kufutwa!!!!!.
Tiba
Sorry, nilimaanisha kuahirisha. asante kwa kunikosoa. nitaenda kubadilisha posts zangu zote...Wakuu hili neno "kuhairisha" badala ya "kuahirisha" limesharasimishwa au namna gani katika lugha ya kiswahili, mbona watu wengi wanalitumia hapa JF?
Tutafute mbadala. so long as hatuna airline nyingine tutaendelea kulia tu. tuwakaribishe ethiopian?KQ is now a shame of Africa. Hawana kitu cha kujivunia tena. Advantage waliyokuwa nayo ni kuwa a hub of this part of Africa. Ukitaka ku connect kwenda nchi yeyote ya Africa kutokea Dar, KQ ilikuwa na solution.
Nadhani shirika la ndege la Kenya linapiga mbizi kwenye matope sasa.
Yoooote anayofanyiwa mwafrika amejitakia mwenyewe..... hakuna wa kulaumu...Haaaaa ndugu yangu, kuna wengi wenye fujo kuliko zako waliambiwa tu rooms za regency na panari zimejaa kwa hiyo wanatumwa kajamba nani lodge. baada ya 2 hours ya ubishi na ugomvi ilibidi wawe wapole tu na wakubali vocha. Mimi hapa nilipo sio pabaya. In fact ningejilipia kwa hela yangu mwenyewe ningekuja hapa hapa. Ni town kati ila hapana fujo na kuna facilities zote za modern hotel. ka 3 star fulani...
Happens always!? U r kidding bro.This happens always, trust me it is very frustrating!