Shame on Efm radio kwa kudhalilisha CEO wa Simba SC

Soon nitaongea na vyombo vya habari nitajaza nafasi ya wazi kwa kusema kosa la Mkude maana hyo nafasi ipo Wazi kabsa.
 
Akidhalilishwa dada angu ntaumia mm na kulalamika mimi sababu ni dada yangu je we Barbra una uhusiano nae upi? Na ndio maana nikakuambia unachokilalamikia hakina mashiko.
Tafuta pesa ndugu yangu hayo mambo mengine yatakusababishia ugonjwa wa moyo.
 
Uko sahihi mkuu na simamia kile unachokiamini, kwa mtu yoyote mwenye heshima kwa mwanamke haijarishi atakuwa yanga au lipuli lazima ataungana nawewe kwenye hili swala, achana na hawa wakosoaji ndio wanafanya dunia iendelee kuzunguka kwenye muhimili wake
 
Akidhalilishwa dada angu ntaumia mm na kulalamika mimi sababu ni dada yangu je we Barbra una uhusiano nae upi? Na ndio maana nikakuambia unachokilalamikia hakina mashiko.
Tafuta pesa ndugu yangu hayo mambo mengine yatakusababishia ugonjwa wa moyo.
we inakuuma kuona kuna wanaomtetea Barbra asidhalilishwe? udhalilishaji wa barbra uliofanywa na katanga na francis mhando umekusaidia nini?
Huu muda unaopmbania Barbra asitetewe ungekuwa unatafuta hela na kuniacha nipate magonjwa ya moyo
 
ndiyo maana hata mwanamke akibakwa utasikia agh alikuwa amevaa nguo ya kubana shauri yake,huko zanzibar mtoto wa miaka 13 kabakwa hakimu anamzodoa kwamba kazoea hakuna hukumu kwa mbakaji
Hapa andhalilishwa Barbra watu wansema agh Mo ni tapeli sana,simba hawajiheshimu ndo maana hawaheshimiwi
 
Wanajua kuna mashabiki wahuni pia wanoweza kutoa sababu zao kihuni na zikawa halali
 
we inakuuma kuona kuna wanaomtetea Barbra asidhalilishwe? udhalilishaji wa barbra uliofanywa na katanga na francis mhando umekusaidia nini?
Huu muda unaopmbania Barbra asitetewe ungekuwa unatafuta hela na kuniacha nipate magonjwa ya moyo
Kelele zako zote ni sababu ya Simba wala sio Barbra, kwani ni wanawake wangapi wanadhalilishwa hata kwenye jamii inayokuzunguka na hukuifungulia uzi hapa?

Au hakuna dada yake aliye-date na mwanaume alafu hakuolewa nae? Au unahisi huo sio udhalilishaji?

Utapoteza nguvu nyingi kumtetea mtu ambaye level aliyoko kuna gape kubwa sana mpka ulipo ww.
 
Hizi tafsiri ni za kwao au zako binafsi?
 
Kutongozwa atongozwe barbara kuumia uumie wewe!
 
Laiti Barbara angekua na sura ya kazi kama ya Ndalichako au Mama Makinda angepewa heshima. Wanawake warembo hawapewi heshima wanayostahili hasa sehemu za kazi.
 
Hapa sasa unaanza kuongea kizalendo. Eh! Wilaya ipi ina Pisikali chombo ya Fundi?
 
Laiti Barbara angekua na sura ya kazi kama ya Ndalichako au Mama Makinda angepewa heshima. Wanawake warembo hawapewi heshima wanayostahili hasa sehemu za kazi.
kabisaa kabisaa
 
Uko sahihi, wacha Mkude ajengewe sanamu pale Msimbazi.... Muddy kazidi utapeli...[emoji41]
 
Huu umbea sasa, yaani mtu atoe hela kuidhalilisha Simba kwa tukio lililoamriwa na Simba? Weka ushabiki pembeni ongea kinachoeleweka.
 
Wanatoa hundi ina jina la mlipwaji lakini kiasi anaachiwa mlipwaji ajaze mwenyewe.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…