Shame on some Tanzanians in this Forum celebrating the Terror Attack

Shame on some Tanzanians in this Forum celebrating the Terror Attack

Mleta mada unaomba huruma kwa kuanzisha Kilio hum!!
Wacha kuchengesha mada
sisi tumekuwa tukiwakumbusha
Mlianzisha mada humu Marekani Imetoa Onyo kwa Raia wake kudhuru Tanzania eti kisa Ushoga,Ugaidi
akashindwa kuonya Kenya leo kipo wapi!!
JlHakuna anae furahia kifo cha mwanadamu yeyote
Ila mjitahidi kuwa na Akiba ya maneno
 
some guys hapa are very happy.
There is no one happy about this, lakini ukweli ni kwamba wenzenu Uganda baada kuondoa majeshi yao Somalia wako peaceful kwa nchi yao. Sasa nyinyi mnaufanya kichwa ngumu so lieni kimyakimya.
 
some guys hapa are very happy.
Kama wapo ni wale wenye roho za kishetani kama walivyo materrorist. Eleweni Wakenya ni ndugu zetu, watani zetu wa jadi, majirani zetu wakati wa shida na raha, na watu wetu wa karibu. Poleni maana msiba wenu ni msiba wetu pia
 
There is no one happy about this, lakini ukweli ni kwamba wenzenu Uganda baada kuondoa majeshi yao Somalia wako peaceful kwa nchi yao. Sasa nyinyi mnaufanya kichwa ngumu so lieni kimyakimya.
Wewe ni mpumbavu kabisa. Wakiondoa majeshi hata Tanzania watafika hawa materrors
 
This are the guys happy and always wishing kenya is attacked,according to how they are texting it clearly shows they are pleased with what happened yesterday in 14 Riverside:
Ichoboy kadoda11 MOTOCHINI REDEEMER. joto la jiwe Geza Ulole

SHAME ON YOU a$$holes!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
How can you be happy to see people being killed? anyway the terrorists have been killed and over 700 people saved from the attack,it was unfortunate we lost 14 people let them R.I.P. I see a foolish NIGGAR Ichoboy insisting that 48 people died.dude did u kill them? shetani ashindwe.

About 300 Tanzanians died in the Ferry accident and no Kenyan celebrated such infact Uhuru donated some cash and staff..Washenzi mashetani mushindwe kabsa.
Msapere! I can assure you ,some of your fellow Kenyans are happy with the attack. One of them is what you call K24 tv channel. How can this tv channel enjoy playing music while other channels are showing the event live. I was shocked
 
Kumbuka jumuia ya EA ,ni kama kundi la familia nyingi zilizoungana , anaefurahia janga la mwenzake ni mwehu . Ni uungwana !! Mambotela uko wapi ? Hao wehu wakatubu !

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa wapotezee ni kizazi cha nyoka, wahangaikaji wa mjini bila mbele wala nyuma hutafuta kiki/attention kwenye mitandao ili kupunguza msongo wa mawazo, Watanzania wengi wamesikitishwa na kilichotokea, Whatsapp yangu imefurika rambirambi kutoka kwa Watanzania marafiki zangu.
Trolls za humu ukizifungulia uzi hivi ndio zinapata raha, lakini ukizipuuza zinaishia kuteseka sana. Wamenitag sana wakijaribu kuniita kwenye hizo sherehe zao za kuchekelea yaliyotokea, lakini nawapuuza, inawauma sana, just don't feed trolls, they will just crawl back into their caves of miseries.
 
This are the guys happy and always wishing kenya is attacked,according to how they are texting it clearly shows they are pleased with what happened yesterday in 14 Riverside:
Ichoboy kadoda11 MOTOCHINI REDEEMER. joto la jiwe Geza Ulole

SHAME ON YOU a$$holes!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
How can you be happy to see people being killed? anyway the terrorists have been killed and over 700 people saved from the attack,it was unfortunate we lost 14 people let them R.I.P. I see a foolish NIGGAR Ichoboy insisting that 48 people died.dude did u kill them? shetani ashindwe.

About 300 Tanzanians died in the Ferry accident and no Kenyan celebrated such infact Uhuru donated some cash and staff..Washenzi mashetani mushindwe kabsa.
acha owoga aisee, nani amefurahia sasa?
 
We nawe ufiche ukilaza wako
Ccm inaingiaje kwenye mada hii
Wewe huwafahamu vizuri hawa wakenya
Ukitoa ushauri kinzani naawazo yao hapo mbaya
Tatizo lao nimajisifu
nihawa hawa kutwa husema JWTZ inauliwa na mapanga Congo
Hilo kweli lipo sahihi!!
Tumewaeleza Wakenya wa Jf waache ujinga wakufurahia Marekani kutanua kambi yao Kenya bila kujua wale wana yao na sio kwafaida ya mkenya
Tutaniane sana na majirani zetu lakini wakati wa matatizo tuwe pamoja
 
There is no one happy about this, lakini ukweli ni kwamba wenzenu Uganda baada kuondoa majeshi yao Somalia wako peaceful kwa nchi yao. Sasa nyinyi mnaufanya kichwa ngumu so lieni kimyakimya.
Majeshi ya uganda bado yapo kule hata ndio wengi zaidi, 6000- 8000 ivi..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona Uganda wako Amani toka wajitoe kwenye mapigano yasio na faida?
Una uhakika kuwa wako na amani unless na wewe ni mmoja wao hao materrors. Hakuna anayeweza kutapa kuwa yuko salama kama hawa mashetani bado wako. Nahisi na wewe una sympathize nao maana sioni unalotetea hapa
 
We do not celebrate.

We have warned you several times, get out of Somalia. Stop killing the innocent Sheikhs in Mombasa. You never listened.

You have created the monster, now deal with it without trying to smear Tanzanians. I believe millions of Kenyans are celebrating. Namely the Somalis and Muslims in Mombasa.
 
Mleta mada unaomba huruma kwa kuanzisha Kilio hum!!
Wacha kuchengesha mada
sisi tumekuwa tukiwakumbusha
Mlianzisha mada humu Marekani Imetoa Onyo kwa Raia wake kudhuru Tanzania eti kisa Ushoga,Ugaidi
akashindwa kuonya Kenya leo kipo wapi!!
JlHakuna anae furahia kifo cha mwanadamu yeyote
Ila mjitahidi kuwa na Akiba ya maneno
shetani ushindwe..unapenda ukiona damu ya watu ikimwagika..shetani ushindwe kabisa
 
Back
Top Bottom