Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

Nani ajuaye ndugu yangu Dunia ina mengi sana!

Hizo ni tuhuma tu labda tusubiri itakavyoweza kuthibishwa pasina Shaka !

Pengine ilikuwa zamani labda siku hizi walishaachaga!

Nazani uchunguzi wa kina utatakiwa kufanyika kwa haki!

Wakati mwingine si vema kumkuhuku mtu kwa historia huenda aliachaga !
Aliacha kivipi akati amekutwa na mzigo!!!
 
Mange nae kwa visa. Huyu dada kasoma mkwawa high school 1997-1999 life yake ilikua ya kawaida akiwa na gruop lake la G6 dadas na alikua social sana. Alipomaliza alijutahid kujikwamua nakumbuka aliajiriwa ktk mojawapo ya kampuni za Mengi.hakuja mjini kwa lori alishakua wa mjini kitambo.
Hili la madawa limenishtua hakua mtu wa tamaa hizo.

Miaka mingi sana sana mpenzi wake alikuwa kwenye game, naye mpaka anaolewa anajua in and out za mpenzi wake maana haikuwa siri biashara za Abdul.. Kama mwanamke mwenye hekima alipaswa kumshauri mme wake kubadirika na kujikita kwenye biashara nyingine lakini bado aliendelea kumsaidia mme wake kutakatisha fedha na kujifanya mjasiriamali huku akiwashauri mabinti kujifunza kupitia yeye..

Hakuna asiyemjua Abdul kuanzia Ilala, Magomeni mpaka Kinondoni lilibaki suala la muda tu Serikali kufanya kazi yake..
 
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji6][emoji16][emoji6][emoji6]acha kabisaaa
hizo laana utakazo pata si za nchi hii, kuna mwl flan alisepa na denii, aiseee sijawahi ona mtu aliewahi laaniwa kama yuleee, wanawake ndio walikua wengii tena wa uswazii, hahaaa ila jamaaa ana roho ngumuu, hakurudi nyumaaa
 
Muuza ngada hatosheki
Ni wachache sana wanaokubali kuachana na kazi hii na kufanya mambo mengine
Mwisho wa Unga ni jela,kufa,kuutumia
Formula ya biashara ya Unga ni ipo siku hela mali zote zitarudi huko
Ona shkuba hakuna mtu aliyekuwa anauza kma yeye lkn leo yuko wapi?

Ova
Waliojaribu na kuacha natumai walipata mitaji ya biashara na wakaboresha maisha yao...maisha huwa hayatabiriki unasoma weeeh mpaka PhD unaishia kusubiri nyongeza ya mshahara kutoka kwa JPM Mei mosi na bado unakutana na hakuna.
 
Aliacha kivipi akati amekutwa na mzigo!!!


Imethibitishwa wapi kuwa ni kweli amekutwa na mzigo?

Nisome vizuri katikati ya mistari nazani utanielewa!

Tunapojadili tujaribu ku provide %

Ndo maana sheria inataka kuthibitishwa Mahakamani.
 
Huyu dada aliolewa ndoa ya kwanza na mwanaume mmoja mstaarabu sana. Walibahatika kupata mtoto wa kike. Yeye ndiye chanzo cha ndoa kuvunjika.

Sasa mwana kulitafuta mwana kulipata.


Tatizo wasichana wa siku hizi wengiwao hawapendi mwanaume asie na pesa hata kama ni mstaarabu/mwenye tabia nzuri, aliyejikita katika imani/dini...sasa hawa wasichana wanachoangalia awe na pesa tu haijalishi yeye ni mlevi,malaya, muuza madawa,mnyanyasaji....wanawake ni watu wa ajabu sana ni wachache tu wanaojielewa...
 
Thubutu Kuna kipindi mmewe alisimama hii biashara maisha yakayumba Shamimu alikuwa anakazwa na......... bila kificho Nsembo alikuwa mdogo acha
weka wazi alikua anakazwa na YULE JAMAA NYUMBA ZAKE ZILIZOWEKWA SOKONI NA SERIKALI DR SHIKA AKAZUGA KUNUNUA.....akampeleka mbuga za wanyama yeye na mashosti zake kwa gharama za milioni 28
nashangaa wanaosema nsembo ni tajiri aliyumba sana hapa katikati sidhani hata kama milioni kumi alikuwa nayo,atakuwa alipata nguvu baada ya kuona Daud Bashite yupo poa na kina kinje na kanyau kwa hiyo game on na yeye akaanza kurudi kwenye game sasa
 
Imethibitishwa wapi kuwa ni kweli amekutwa na mzigo?

Nisome vizuri katikati ya mistari nazani utanielewa!

Tunapojadili tujaribu ku provide %

Ndo maana sheria inataka kuthibitishwa Mahakamani.
Mkuu hao walomkamata wanafanya kazi kwa kufuata Sheria, wamekuta mzigo kilichobaki ni kwenda kuthibitishwa mahakamani tu hapo.
 
weka wazi alikua anakazwa na YULE JAMAA NYUMBA ZAKE ZILIZOWEKWA SOKONI NA SERIKALI DR SHIKA AKAZUGA KUNUNUA.....akampeleka mbuga za wanyama yeye na mashosti zake kwa gharama za milioni 28
nashangaa wanaosema nsembo ni tajiri aliyumba sana hapa katikati sidhani hata kama milioni kumi alikuwa nayo,atakuwa alipata nguvu baada ya kuona Daud Bashite yupo poa na kina kinje na kanyau kwa hiyo game on na yeye akaanza kurudi kwenye game sasa
Kwelii mjini kuna mambo wenyewe wanasema mji huo wenu mzito...
 
Q plus wakina D watoto wadogo
Kuna bro mmja hata jna nlikuwa naye moro
Anaitwa A analima hatari na hataki kusikia mambo ya ngada
Watu walimuona fala muoga
Huyo nakumbka alijipeleka mwenyewe kwa nzowa nakumwambia mzee nimeacha mambo hyo na alisaini
Ni mkulima mwenzangu Sema yuko vzuri
Ukitaka ugombane naye mchomeke stori za biashara za ngada.....

Ova
Aisee! Kweli watu mnajua kutiririka humu. Wenye kazi yao wanadesa tu kwenye huu uzi.
 
Boss naongea ninachokifahamu. Sizingumzii makapi, nazungumzia Uncut heroine toka wao wanapopaita shamba, uzito wa gram 400 popote pale duniani haifiki bei uliyoitaja ya million 200. Na uncut heroine ndo inayosafirishwa na naamini ndo waliyokamatwa nayo hao mabwana. Huyo teja itakuwa kakwambia hizo data akiwa hajui what it worth.

Umezungumzia swala la pipi, pipi za madawa zinafungwa katika standard ya gram 10 kwa pipi moja. Hivyo katika hiyo gram 400 zitatoka pipi 40 za kumeza.

JF hakuna kinachoharibika..
 
Back
Top Bottom